Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Hakuna watu wanafiki kama hao, hata haijulikani wanatakaga nini?
Unachuki sana na waislam, utakufa kwa presha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna watu wanafiki kama hao, hata haijulikani wanatakaga nini?
Sina chuki hata kidogo,ila badilikeni aisee,acheni ugaidi na roho mbaya kwa wasio waislamu.Unachuki sana na waislam, utakufa kwa presha
Kosa la US ni kusupport ushogaHaya mataifa mawili yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo, China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu.
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za Magharibi.
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao.
Tatizo ni nini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.
Unataka tusapoti ushoga Kama USA na Israeli?Sina chuki hata kidogo,ila badilikeni aisee,acheni ugaidi na roho mbaya kwa wasio waislamu.
Kwani yule mtawazishwa mavi kashindwa na Israeli hata Mmarekani na uingereza waje kumsaidia ??
Msapoti ushoga mara ngapi wakati huko pwani mliko ndio hali mbaya,kama zenji kutoka raia,askari hadi wafungwa wamefikia kiwango cha kucheza hadi filamu,nyie ni magwiji wa huo uchafu.Mfano mzuri humu jukwaani haipiti muda mmeutaja kwakuwa ndicho mnachokipenda sisi wengine hata kutaja tu ni kinyaa.Unataka tusapoti ushoga Kama USA na Israeli?
Kumbe kanisa la mashoga la kipentekoste la Mbeya ni Zanzibar?Msapoti ushoga mara ngapi wakati huko pwani mliko ndio hali mbaya,kama zenji kutoka raia,askari hadi wafungwa wamefikia kiwango cha kucheza hadi filamu,nyie ni magwiji wa huo uchafu.Mfano mzuri humu jukwaani haipiti muda mmeutaja kwakuwa ndicho mnachokipenda sisi wengine hata kutaja tu ni kinyaa.
Kwani wewe unamuamini mtawazishwa mavi kuwa ni Mungu?Wayahudi hawamuamini Yesu,ebu kua na akili wewe gaidi.
China however policy yao ni kuto kuacha dini kuwa na nguvu. Pale wanapoona dini ina rise wanaishughulikia. Thats policy yao
kwamba Russia sio wakristo ? umekunywa nin sheikh?Ni kwa sababu ni mataifa makubwa lakini hayana Ukristo, ni hilo tu hakuna lingine
Lete ushahidi na mimi nikuletee movi za watu wa pwani na Zanzibar.Kumbe kanisa la mashoga la kipentekoste la Mbeya ni Zanzibar?
Hapo kwenye Ughuyr na upisi kali naomba uongeze maelezo kwa faida yanguDunia ni kubwa sana mkuu ngoja nijaribu kadri ya uwezo wangu kuelezea
1. China Wana Ugomvi na Waisilamu wenye Asili ya Turkic (Ughuyr) ila wapo vizuri na Waislamu wenzao wenye Asili ya Hui so ni Mixture ya Ubaguzi wa Dini na Rangi, hao Hui japo ni Waisilamu nao wanapigana pia na Ughuyr, kwa point of view ya uislamu tunateteta Waislamu wenzetu popote walipo ila kwa point of view ya Kichina ni Ubaguzi wa Mchina kwa asie Mchina. Ughuyr na minorities wengi China ndio wanakuwa pisi Kali pia.
2. Urusi Ugomvi wao na Waislamu uliisha zamani, Sasa hivi Chechen wengi ndio wanaotumika na Putin kuimarisha nguvu yake. Pia Waislamu wengi zinaenda na wakristo wa Orthodox na madhehebu mengine ya East, Russia ni Orthodox na sio Russia Tu Armenia, Lebanon na Nchi nyingine za huo Ukanda zenye wakristo wengi utaona pia allies wao ni Waislamu, Kuna Ugomvi mkubwa wa maelfu ya miaka baina ya Kanisa la Magharibi na Mashariki.
3. Bottom line kinachogombaniwa ni pesa, ukiwa Muislamu toka Gulf unatokea Qatar, Saudia ama Kuwait unagombaniwa popote Duniani, ila ukiwa Muislamu Masikini unatokea Afrika, Afghanistan, Pakistan, Bangladesh utawekewa maelfu ya vikwazo.
Mbona mpaka biblia iko ya mashoga au huelewi nikuwekee ushahidiLete ushahidi na mimi nikuletee movi za watu wa pwani na Zanzibar.
Ninyi ndio wenyewe wenye uchafu wenu.
Kama hii?,Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan":Mbona mpaka biblia iko ya mashoga au huelewi nikuwekee ushahidi
Kama hii?,Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan":
Huko ndio tabia yenu hiyo tunafahamu hata wewe ni mke wa mtu na unaifurahia.Si ndio mkajazana huku Zanzibar mnatafuta mabasha,huku mkijaribu kujenga makanisa yenu ya mashoga
Huko ndio tabia yenu hiyo tunafahamu hata wewe ni mke wa mtu na unaifurahia.
Nikija huko huwa naleta mzigo wa kitimoto soko kubwa liko huko.
Nikuletee kilo ngapi??
Usivunge mkuu.