Ni kwanini waislam wanazipenda sana China na Russia kuliko USA

Status
Not open for further replies.
Ameuliza kwa nini, ulitakiwa ujibu swali
Hizo sababu zinazo wafanya nyinyi muishobokee Israel pamoja na kuwaona kama mavi ndo hizo hizo zinazo fanya na wengine waipende china hivyo hilo ndo jibu.
 
Ila marekani ndiyo anaongoza kuvuruga nchi za waislamu kuliko hao China na Russia sasa hapo unategemea nini kutoka kwa waislamu?

Iraq ilishawaambia marekani watoe majeshi yao wanakataa kazi ya kuiba mafuta.

Syria haitaki majeshi ya marekani katika nchi yao lakini, wao wameng'ang'ana ili kuidhoofisha hiyo nchi na kuiba mafuta sasa hapo unategemea nini kutoka kwa waislamu?

Kama marekani ataacha kuvuruga hapo mashariki ya kati akawa kama China, Russia, Canada, au nchi zingine za namna hiyo basi chuki za waislamu kwa marekani na uingereza itapungua sana
 
TUMIA AKILI ...CHINA NA URUSSI AZIJAVUKA MIPAKA ZENYEWE KAMA ZINA MATATIZO NA WAISLAMU BASI NI WANDANI YA NCHI YAO ...TOFAUTI NA MAREKANI YEYE WAISLAMU WALIO NCHI NYINGINE NDIYO ANAWACHUKIA NA KUWAFANYIA FITINA USIKU NA MCHANA
stormryder
 
Ajabu ni kuwa wanapenda sana Ulaya.

Wengi utawakuta Uingereza na nchi nyingine za ulaya.
 
Ins

Ina maana hujui chanzo cha hizo chuki serious? Hujui marekani ndiyo nchi inayoongoza kuzivuruga nchi za waislamu hapo mashariki ya kati? Halafu unategemea nini kutoka kwa waislamu
 
Nimeshangaa kuskia kuna sehemu inapendwa na Waislamu, hawa nimewazoea kama watu wenye majungu majungu na hasira wasiopenda chochote au popote.
 
But muislam toka Tanzania, Irani, Iraq, Morocco , Yemeni na Palestine hawi treated kama kutoka Gulf. Na huwezi kuwasikia wenzetu kutoka Gulf wanajitoa muhanga au kuua watu wengine. Gulf ni Waislamu wenye pesa na wanajipenda sana na pia si wasiasa kali. Mi mwenyewe nataka nikapate uraia wa Gulf..... Qatar, Dubai,
 
Wanaamini ndio nchi pekee zilizobaki zenye uwezo wa kumuangusha super power usa baada ya ala kushindwa kazi yake.

Kwani yule mtawazishwa mavi kashindwa na Israeli hata Mmarekani na uingereza waje kumsaidia ??
 


Kama nyinyi wakristo mnavyoipenda Israeli na kujipendekeza kwao lakini wayahudi wanawafukuza na kuwatukana lakini badoooo mnajipendekeza kama malaya


View: https://www.youtube.com/shorts/vaMWogdX4Kc
Yesu kaangushwa chini na mayahudi na kuvunjwa Jerusalem


View: https://www.youtube.com/shorts/v2w14c3wXlU
 
Wakikujibu nitag

Kuna sehemu ya China waislam walitaka kujitenga, wakawa wanawekwa kwenye uwanja wa mpira na kula shaba
Hatari mzee, China wanawaua kwa kasi sana hawa watu.
 
Hakuna watu wanafiki kama waislamu nchi za kiislamu ndo zinaongoza kushiriki bahati nasibu ya kwenda marekani...
Inasemekana yule mmama mtu mzima anayeongoza kuutukana Ukristo humu ndani FaizaFoxy anaishi Canada, nchi ya Kikristo.
 
Murussia Hanaga masihara na magaidi ya kiislamu hivyo mara nyingi Putin husema "Kazi ya kuwapeleka magaidi Kwa Mungu ni yake ila kazi ya kuwahukumu ni ya Mungu mwenyewe.
Gaidi hana Dini mkuu! Russia kuna Waislamu kibao na ile Chechnya unayoisikia na Waislamu tupu ilo jimbo
 
Hii ni perception na haina uhusiano wowote na dini, Ni lini waislam walikaa na wewe wakakwambia wanaichukia Marekani na wanaipenda China na Russia?
Kwanini kila jambo watu mnalitazama kidini hii inaashiria hata Dini yako imeendekeza udini. Kimsingi Dini zote zipo kwajili ya Vilaza tu.
 
Kwahiyo kabla US na UK hawajaingia huko uarabuni mlikuwa mkiwapenda?
 
Wanawapenda Ruzzia mdomoni tu na katika ligi za kipumbavu za mitandaoni ila kiuhalisia wakipewa kuchagua kuishi watachagua Marekani.
FaizaFoxy mwenyewe anasema na kujivunia amesoma Canada
 

Kwa taarifa yako China watu wanasilimu sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…