Ni kwanini wanawake siku hizi wamekuwa wabaya sana?

Mchawi ni 50/50.
 
Mali kitu gani ndugu, kesho unadanja shwaaaa ndani ya futi sita unaacha hicho kitv na sabufa...

Mie katika vitu sinaga muda wa kuwaza ni mali ya mtu
Madam watu Wana tofautiana, nime bahatika kuhudhuria wiki hii kesi ya familia 1.
Aisee ni balaa, vitu vidogo vina haribu.

Aisee hizi mambo za kuwindana ndani, sizi wezi.
Na kitu ambacho Siki pendi ni maigizo
 
1.Vikoba.
2.Michezo majina matatu mchezo mmoja.
3.Mikopo.

Hivyo vitatu ndio sababu ya mizinga ya hovyo hovyo kwa siku hizi. Hapo bado hujaweka bundle.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…