Ni kwanini wanawake siku hizi wamekuwa wabaya sana?

Ni kwanini wanawake siku hizi wamekuwa wabaya sana?

Wote ni mambwa na hao wanaokubali kufanya nao, mbona wengine umewatoa??
Waache kutoa hizo pesa hao mbwa uliowaficha uone km watafanya hivo mxiewwww!!
Wizo achana naye huyo atakupandisha presha ya macho mimba iharibike bure!!

Na venye kupata mimba ilivyo ngumu saivi, tunabugia mizizi ya kila aina kama masokwe lakini mimba nehiii....

Umalaya tunafanya na nani kama sio waooo.... sisi sote ni malaya, hakuna kupona kwenye hilooooo kwa kweRi!!!! 😉😉😉
 
Wizo achana naye huyo atakupandisha presha ya macho mimba iharibike bure!!

Na venye kupata mimba ilivyo ngumu saivi, tunabugia mizizi ya kila aina kama masokwe lakini mimba nehiii....

Umalaya tunafanya na nani kama sio waooo.... sisi sote ni malaya, hakuna kupona kwenye hilooooo kwa kweRi!!!! 😉😉😉
Wizo mimba imetoka mwenzio nimerudi ubinti 🤣🤣🤣🤣
 
Nilikuwa nagombania mwendokasi wakanipush wizo na kimimba kikatoka 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mabwakuuu!!

DC hajakununulia land cruiser jamani walau hata kaland cruiser tu cha milioni mia mbili cha kutembelea mjini hapa pisi kali unagombania mwendokasi inahusuuuu

Sijapentaaa
 
Uzuri wanawake wa JF hatujali sana, we Tafuta wanawake wa kuwamanipulate huko mtaani, humu hupati mtu.

Watu tumeitwa majina yote ninini unadhani hatujasikia?
 
Back
Top Bottom