Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Wapi nilisema jamani umeanza kunisingiziaMrs bui bui SI uli sema mwenyewe 😃.
Halafu zuri ehh??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nilisema jamani umeanza kunisingiziaMrs bui bui SI uli sema mwenyewe 😃.
Halafu zuri ehh??
Yani hekaheka tupu lo
Mrs bui bui selfika Sasa😃, ulisema juziWapi nilisema jamani umeanza kunisingizia
Wanataka 50/50 huku wanauza Nyapu.Ni kwanini wanawake siku hizi wamekuwa waovu Sana.
Wanawake wengi wamejaa ujeuri, umalaya, roho mbaya, uongo, Ukatili, kukosa utu, kupenda pesa kupita kiasi.
Mbona wanawake miaka ya 2000 down hawakuwa hivyo. Hizi tabia siku wamezitoa wapi.
Wanawake wamekuwa vyanzo vikubwa vya uvunjifu wa ndoa. Wanawake hawaheshimi tena waume zao. Hawa watu wamevamiwa na nini? Wanawake wameiharibu mno dunia. Wanafanya umalaya utafikili mbwa. Wamegeuka kuwa ombaomba kwa kutumia jinsia zao.
Sijui wamepatwa na nini
Mwingine kayakoroga mwenyewe lakini anataka watu wote tuyaoge.Sijui kwanini watu wanaona mapokeo yao binafsi yanatosha kukashifu kundi la watu/jamii nzima.
Wee selfie yako iko wapi?Mrs bui bui selfika Sasa😃, ulisema juzi
Hiki kimechangia sana. Kuna Msichana akihangaika sana kimaisha kwa sababu ya Kuwasikiliza akina Uwoya na demu wake Hamoniza( simjui jina) kwa kusikiliza stori zao za Insta.Technological progress.
Mambo yamebadilika uwepo wa mitandao unafanya watu wajifunze tabia mpya Binti yako uliemlea kwa maadili ya kujiheshimu siku akishika smartphone akamuona gigy money anaishi maisha mazuri(feki) akiulizwa kazi yake ni nini haoni aibu kusema ana danga/umalaya siyo ajabu na yeye akaona kumbe inawezekana na umalaya siyo kitu cha ajabu.
Sahivi mabint hawaoni aibu kusema wana danga na wako proud kabisa wakati zamani ilikua ni aibu, hivyo hivyo kwa wanaume wanaokua mashoga.
😅😅😅 mwenzako nina Harrier Tako la NyaniWizo unaanza kuzingua
Nifundishe kudrive wizo nikiuza vijora ninunue hata vits 😜😅😅😅 mwenzako nina Harrier Tako la Nyani
Hapo si ajabu hata kumuona uso kwa uso hajawahi katuma nauli imeliwa anakuja kutukana humu, nauli yenyewe ukute elf 10 tu.Kijana kaliwa nauli anakuja kutukana nchi nzima
Athari za utandawaziNi kwanini wanawake siku hizi wamekuwa waovu Sana.
Wanawake wengi wamejaa ujeuri, umalaya, roho mbaya, uongo, Ukatili, kukosa utu, kupenda pesa kupita kiasi.
Mbona wanawake miaka ya 2000 down hawakuwa hivyo. Hizi tabia siku wamezitoa wapi.
Wanawake wamekuwa vyanzo vikubwa vya uvunjifu wa ndoa. Wanawake hawaheshimi tena waume zao. Hawa watu wamevamiwa na nini? Wanawake wameiharibu mno dunia. Wanafanya umalaya utafikili mbwa. Wamegeuka kuwa ombaomba kwa kutumia jinsia zao.
Sijui wamepatwa na nini
Athari za utandawazi.Ni kwanini wanawake siku hizi wamekuwa waovu Sana.
Wanawake wengi wamejaa ujeuri, umalaya, roho mbaya, uongo, Ukatili, kukosa utu, kupenda pesa kupita kiasi.
Mbona wanawake miaka ya 2000 down hawakuwa hivyo. Hizi tabia siku wamezitoa wapi.
Wanawake wamekuwa vyanzo vikubwa vya uvunjifu wa ndoa. Wanawake hawaheshimi tena waume zao. Hawa watu wamevamiwa na nini? Wanawake wameiharibu mno dunia. Wanafanya umalaya utafikili mbwa. Wamegeuka kuwa ombaomba kwa kutumia jinsia zao.
Sijui wamepatwa na nini
Download UPX ipo playstore Kisha Ka search stripchartHuu ni mtandao wa aina gani Mkuu mbona sijawahi usikia Mkuu.? Stripchart
Nenda playstore kadownload UPX au VPN nyingine Kisha TAFUTA stripchart. ComMtandao gani mwamba, tusanue au tukumbushe, ni telegram au
Anza mi nafuata😆Wee selfie yako iko wapi?