Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo chalii ana miezi 4,5,6, Kichaa huwapanda Sana kipindi hiki utafanya nn arifu?
Kwahiyo hapo unamkomoa mama yako au??Unajua ugumu wa kumwaga nje ww ni Sawa ujafanya mapenzi tu Mara ya mwisho kumwaga nje labda nilivyopiga punyeto
Kwahyo unataka niendelee kumvumilia mwanamke kiburi, jeuri kisa kanizalia
Hao chalii 2 ni mwanamke alinisusia akazan ananikomoa nikapeleka kwa bibi huko Nina chalii 1 Mama ake ndye aliondoka naye mkorof sana yule mbulu [emoji856][emoji856]
Aisee nikiwa na mtoto halafu eti alete kajukuu kwangu, hakyanani ntamtimua na hako katoto kake.Upo sahihi kabisa Chief...vijana waache kukwepa majukumu na kuwabebesha wazee wao ila wawajibike kwa watoto wao.
Huu upuuzi wa masela kujifanya hawataki kumwaga nje umepotezea wahuni wengi malengoKwahiyo hapo unamkomoa mama yako au??
Tumia hata kinga basi, acha kuwatesa wazazi wako.
Wao kazi yao ilikua kukulea wewe na sio hao viumbe wako.
Hii kitu mnafeli sana, mnawaua wazee wenu kabla ya muda kwa kuwaongezea majukumu muda ambao walitakiwa kupumzika na kufanya ishu za kujilisha wao tu.
Ni vizuri mtoto akalelewa na baba na sio babu.
As long as anakupa utelezi,hakikisha utamu unao MwenyeweDah nimechoka kinyama machalii zangu , inauma ile mbaya ... Rn Nipo KWA sebule Nataka nitoke nikale monde ila namhofia chalii angu.
Pole sana..kosa ni lakoMaisha ni safari na msafiri ni mimi na wewe, katika Maisha kuna kuzaliwa, kukua then kufa, wale wenye bahati kama sio walio imara huoa na kupata chance ya kuproduce their offsprings , hii ni KWA kila kiumbe japo huko mwituni huwa hatuiti ndoa.
Kuna Muda unatamani umsororoe hiyo medulla oblongata ila unaishia kuonea huruma machalii, ni kwere arifu ila nini Kitaeleweka tuuNdio hivyo walivyo bablay, inabidi uishi nae kwa akili hapo fasi ya dwasi
Wanafichuaga makucha yao, mwanzoni wanakudere tu
Yente bablayKuna Muda unatamani umsororoe hiyo medulla oblongata ila unaishia kuonea huruma machalii, ni kwere arifu ila nini Kitaeleweka tuu
Inflation makes weddings expensiveSasa mgombea akiwa na kero utampaje kura? Hapana chezea kampeni.
Makofi??? Hiyi ni usnge bro....Inflation makes weddings expensive
It also makes marriage risky
Makofi kadhaa is the solution
Acha utapeli wakoNjema aisee,ukiniita Ivo na kibaridi hiki nahisi umeniweka ndan tayaree[emoji12]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]sasa tuhangaike ya nini kufanya kampeni na tayari jimbo limeshakuwa languWanawake ni Kama wanasiasa.
Muda wa kampeni unakua umeisha[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣Yaan wewe na mapenzi sijui walikufanya nnAcha utapeli wako
Ushaanza mambo yako
Huo ni unafiki
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaan baada ya kujua jamaa ni dokta tayar nyege zimekupata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan wewe na mapenzi sijui walikufanya nn
🤣🤣🤣🙌 Hilo si jina tu ndugu yangu.Yaan baada ya kujua jamaa ni dokta tayar nyege zimekupata
Acha huo usanii wako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app