Ni kwanini wanawake wengi huwa wapole sana pale wanapoihitaji ndoa ila wakishaipata wanakuwa wakorofi

Ni kwanini wanawake wengi huwa wapole sana pale wanapoihitaji ndoa ila wakishaipata wanakuwa wakorofi

Alichokuwaaa anakitaka kashakipata au bado hajakipata?
Sasa wewe hapo ng'amua kati ya hayo mambo mawili....

Nje ya hapo hujaoa rafiki yako....
Kilichowaunganisha ni SEX na siyo LOVE
 
Lieutenant... This is bravo coy... Platune 1.... Reporting... One man down.... Female terrorist on sight..... Over
 
Unajua ugumu wa kumwaga nje ww ni Sawa ujafanya mapenzi tu Mara ya mwisho kumwaga nje labda nilivyopiga punyeto

Kwahyo unataka niendelee kumvumilia mwanamke kiburi, jeuri kisa kanizalia
Hao chalii 2 ni mwanamke alinisusia akazan ananikomoa nikapeleka kwa bibi huko Nina chalii 1 Mama ake ndye aliondoka naye mkorof sana yule mbulu [emoji856][emoji856]
Kwahiyo hapo unamkomoa mama yako au??

Tumia hata kinga basi, acha kuwatesa wazazi wako.
Wao kazi yao ilikua kukulea wewe na sio hao viumbe wako.

Hii kitu mnafeli sana, mnawaua wazee wenu kabla ya muda kwa kuwaongezea majukumu muda ambao walitakiwa kupumzika na kufanya ishu za kujilisha wao tu.

Ni vizuri mtoto akalelewa na baba na sio babu.
 
Upo sahihi kabisa Chief...vijana waache kukwepa majukumu na kuwabebesha wazee wao ila wawajibike kwa watoto wao.
Aisee nikiwa na mtoto halafu eti alete kajukuu kwangu, hakyanani ntamtimua na hako katoto kake.

Akate mauno huko halafu kojo lake nililee mimi bila sababu za msingi.
 
Kwahiyo hapo unamkomoa mama yako au??

Tumia hata kinga basi, acha kuwatesa wazazi wako.
Wao kazi yao ilikua kukulea wewe na sio hao viumbe wako.

Hii kitu mnafeli sana, mnawaua wazee wenu kabla ya muda kwa kuwaongezea majukumu muda ambao walitakiwa kupumzika na kufanya ishu za kujilisha wao tu.

Ni vizuri mtoto akalelewa na baba na sio babu.
Huu upuuzi wa masela kujifanya hawataki kumwaga nje umepotezea wahuni wengi malengo

Alafu wanaiMind kama excuse kumbe hawana control ya kuifanya😆😆
 
Dah nimechoka kinyama machalii zangu , inauma ile mbaya ... Rn Nipo KWA sebule Nataka nitoke nikale monde ila namhofia chalii angu.
As long as anakupa utelezi,hakikisha utamu unao Mwenyewe
 
Maisha ni safari na msafiri ni mimi na wewe, katika Maisha kuna kuzaliwa, kukua then kufa, wale wenye bahati kama sio walio imara huoa na kupata chance ya kuproduce their offsprings , hii ni KWA kila kiumbe japo huko mwituni huwa hatuiti ndoa.
Pole sana..kosa ni lako
 
Ndio hivyo walivyo bablay, inabidi uishi nae kwa akili hapo fasi ya dwasi

Wanafichuaga makucha yao, mwanzoni wanakudere tu
Kuna Muda unatamani umsororoe hiyo medulla oblongata ila unaishia kuonea huruma machalii, ni kwere arifu ila nini Kitaeleweka tuu
 
Kwa Nini wanaume wengi Huwa wapole wanapokutongoza ila baada ya hapo ni mwendo wa MICHEPUKO Tu?
 
Back
Top Bottom