GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu mkiwa ni Wataalam, Wabobezi na Mangwena.
Asanteni.
Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu afanye kazi yake.Hatufanani tabiaKazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu mkiwa ni Wataalam, Wabobezi na Mangwena.
Asanteni.
Kwasababu "they always mind their own businesses"Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Comments zenu mkiwa ni Wataalam, Wabobezi na Mangwena.
Asanteni.
Mwenyezi Mungu anisamehe ila sina Imani na hawa Daudi Mchambuzi, adriz, Bila bila na Bujibuji Simba Nyamaume nahisi ni Watu wa SSIT ( Mfumo )We mwenyewe unahisiwa ni tiss
Nasikia nawe uko SSIT Mkuu je, ni kweli?Huyo adriz kuna uzi tulinyukana kisawasawa akanikimbia, ana mrengo wa dini fulani anaitetea sana. Bujibuji Simba Nyanaume ni mgumu kumbandua kwenye hoja zake, kunyukana naye itaka pumzi kubwa. Daudi mchambuzi huyu member sijawahi kunyukana naye namuona ni mpole fulani hivi. Anyway humu tupo members wenye kazi na ujuzi mbalimbali tutaendelea kunyukana kwa hoja tukitofautiana fikra pevu
mi mbona sina umaarufu humu? Sitajwitajwi kama nyie haipiti wiki mnatajwatajwa sana. Mi ni raia wa kawaida sana, sina umaarufu wowote nchi hiiNasikia nawe uko SSIT Mkuu je, ni kweli?
Hahaha mkuu watu wa mfumo huwa wanavaa zile suti kama za Musiba ze kichwa maji.Mwenyezi Mungu anisamehe ila sina Imani na hawa Daudi Mchambuzi, adriz, Bila bila na Bujibuji Simba Nyamaume nahisi ni Watu wa SSIT ( Mfumo )
Hapana, mi ni raia wa kawaida tuNasikia nawe uko SSIT Mkuu je, ni kweli?
bujibuji si alijifanya wakike na kujiita Giles? sasa huyu sifala tuu..Mwenyezi Mungu anisamehe ila sina Imani na hawa Daudi Mchambuzi, adriz, Bila bila na Bujibuji Simba Nyamaume nahisi ni Watu wa SSIT ( Mfumo )