Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake. Mimi binafsi bado sijaona Rais bora aliyewahi kutokea tangu uhuru mpaka leo, bado hajatokea.
Wote waliopita kuanzia Nyerere hadi huyu mama yenu hakuna ninaye weza kumpatia sifa zinazoshahili. Wote ni bure kabisa.
Wote waliopita kuanzia Nyerere hadi huyu mama yenu hakuna ninaye weza kumpatia sifa zinazoshahili. Wote ni bure kabisa.