Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Kwani wewe umepima kipindi icho miaka ilikiwa inahesabiwaje??

Go back to school maana ninyi mnaonekana hamjui anno domino na before Christ , Fanya utafiti kabla hujaongea chochote
Hayo yote si uliambiwa njoo na kile ulifanyia utafiti kaka sio story za vitabu ambazo ata mapango yaa andeni yameizidi bibilia kwa ushaidi wa michoro yake ya zamani zile
 
Hahahahahahaaaaaa!!! nimebaki kucheka tyuu!!!! Kweli nimeamini Bible imewapoteza wengi.
Hail SATAN & LUCIFER THE KING
( full freedom to ask & think)
Lucifer = the morning star.
 
Hayo yote si uliambiwa njoo na kile ulifanyia utafiti kaka sio story za vitabu ambazo ata mapango yaa andeni yameizidi bibilia kwa ushaidi wa michoro yake ya zamani zile


Baadae ngoja nifanye kazi nitafute pesa we endelea kutafuta ushahidi mapamgoni
 
mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini biblia inasema adam na hawa waliishi miaka 900.
je hao walio andika adam na hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
usiseme ni uongo wakati wewe huna ukweli jiangalie
 
Swali la kitoto, ungeuliza labda je Adam na Hawa ndo binadamu wa kwanza kuishi kutokana na biblia au je biblia iliruhusu watoto kumlala mama yao kama Adam na Hawa ni binadamu wa kwanza??
Hao waliondika adamu na hawa waliishi miaka 900 na ukawamini hao ndio walikufanya wewe mtoto.
 
Siku 365 over
Kabla hujaenda mbali,

Wapi kwenye biblia imeandikwa mwaka mmoja una siku 365?

Je kalenda unayoitumia (ya siku 365 au 366) imetengenezwa na nani? Na Kwa ajili ya nani?
 
Nafunga nianze kuichambua. Vipimo vilivyotumika ni ufunuo ambao Mungu alimfunulia mwandishi

Kamfunulia lini?....tutaamini vipi beyond doubt "ndoto" zake zilitoka kwa mungu na sio hallucinations zake tu?

Ni ngumu kuprove..na kwanini afunulie watu wachache tu wanaopatikana kwenye kakipande kadogo sana ka jangwa kanapatikana hapo middle east?kwanini?je mungu ni mbaguzi?

Waandishi ni self appointed nassistic human beings who compiled mountains of lies to control other human beings...full of nonsense
 
Kwani wewe umepima kipindi icho miaka ilikiwa inahesabiwaje??

Go back to school maana ninyi mnaonekana hamjui anno domino na before Christ , Fanya utafiti kabla hujaongea chochote
Inamaana wakati huyo jamaa anaandika biblia miaka ilikuwa inahesabiwa kama sasa hivi.
 
Mkuu upo vizuri, ila mashabiki wa dini hawajaelewa. Watu wamelewa kwa maneno na matamko ya kuambiwa.
 
Dah! mtu wa Mungu mbona mkali sana?jitahidi kupunguza hasira na jazba unapojadili mambo haya Mama.
 
Tena ninaamuru kwa jina la Yesu hiyo smartphone iwe ya mwisho kuimiliki
Unaemkufuru Roho Mtakatifu
Watu wote tuseme Amina.
[emoji53] naona vitisho na kuhukumu kumeshaanza.
Mbona sasa unapingana na Mungu unayemsoma kwenye bible. Maana yeye kasema usihukumu ila yeye pekee. [emoji23]kweli wafia dini mnasoma kitu msichokielewa..
Na ndo mana ukianbiwa uthibitishe uwepo wa Mungu mnaanza kuruka ruka na kuishia kulaani na kutishia.

Nachelea kusema wewe unamwabudu Mungu usiyemjua
 
tunasema kwa maandiko sio kuropoka kama wewe
 
[emoji2] yani kwa matusi haya uliyotukana hapa.
Kwenye hyo jehanamu yenu ya kufikiria unatatakiwa uchomwe moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…