Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #21
hahahhahhaaa dah basi ndugu yanguNB hizi kazi sio nzuri sema ni umasikini tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahhahhaaa dah basi ndugu yanguNB hizi kazi sio nzuri sema ni umasikini tu
asante sana sanaKwa mujibu wa PGO,inamtambua Police Officer kama Askari mwenye kuanzia Nyota Moja(Assistant Inspector)na kuendelea. Kuanzia Constable mpaka Station Surgent(Meja) hao wanatambulika kama Rank and File.
Hapana, kuna hasara pia zinazotokana na kuzifanya hizi kazi kuwa za kudumu badala ya mikataba mifupi mifupi.Weeee basi Tanzania tumepiga hatua kumbe Mpwa. Thanks Kwa maelezo
nadhani wanazo ila zitakua zile za chini kabisa kwa baadhi yao, nazungumzia hawa wadogo kwa rankDuuuh! hivi wana bima za afya kweli?
Hakika polisi kazi yao basi ina stress.
Kuna kitu Yoda hujaelewa kabisa.Hapana, kuna hasara pia zinazotokana na kuzifanya hizi kazi kuwa za kudumu badala ya mikataba mifupi mifupi.
Mkataba kwa mwanajeshi Marekani ni miaka minne full ya active duty na miwili 2 ya reserve. Unaweza kuongezewa mkataba wa kazi kulingana na uhitaji na umuhimu wako, ndio hao unawaona wengine wanakuwa maofisa wa jeshi.
Hawa ajira yao inapaswa kuwa ya mkataba wa miaka ata 7, kwasababu ikiwa ya kudumu wanajisahau sana, hawatendi haki, rushwa na dhulma imekithiri.Hii ni Post ya kuomba UELEWA. Kuna Mahali nilikua nimekaa na Wadau zikaanza story hapa na pale, Kuna jamaa akasema Polisi hasa wa rank ndogo na hawa akina kajamba nani HAWANA ajira za kudumu Hadi ufikie Rank Fulani?
Akaendelea kufafanua kuwa hawa ni Wafanyakazi wa "Idara" na sio watumishi wa Umma NDIO maana hata RPC tu anaweza kumfukuzisha KAZI ASKARI na hakuna Cha kufanya.
Tafadhali Mwenye uelewa na JAMBO hili atuelimishe. Wengine hatujawahi kubahatika kuingia kwenye utumishi wa serikali.
Wanayo bima ya NHIF na hawakatwi kwenye mshahara.Duuuh! hivi wana bima za afya kweli?
Hakika polisi kazi yao basi ina stress.
Ni kweli askari polisi wana mikataba.Hii ni Post ya kuomba UELEWA. Kuna Mahali nilikua nimekaa na Wadau zikaanza story hapa na pale, Kuna jamaa akasema Polisi hasa wa rank ndogo na hawa akina kajamba nani HAWANA ajira za kudumu Hadi ufikie Rank Fulani?
Akaendelea kufafanua kuwa hawa ni Wafanyakazi wa "Idara" na sio watumishi wa Umma NDIO maana hata RPC tu anaweza kumfukuzisha KAZI ASKARI na hakuna Cha kufanya.
Tafadhali Mwenye uelewa na JAMBO hili atuelimishe. Wengine hatujawahi kubahatika kuingia kwenye utumishi wa serikali.
Kwa mujibu wa PGO,inamtambua Police Officer kama Askari mwenye kuanzia Nyota Moja(Assistant Inspector)na kuendelea. Kuanzia Constable mpaka Station Surgent(Meja) hao wanatambulika kama Rank and File.
Duuuh! basi yawezekana ndiyomaana wengine wanaamua kula rushwa,maana wanajua muda wowote wanaweza kufukuzwa kazi au kupata majeraha kutokana na utimizaji wa majukumu yao...,sasa kama askari polisi anakua hana bima yenye kueleweka,si tatizo hilo aisee,mi naona hili jeshi la polisi, yawezekana viongozi wao hawako makini.nadhani wanazo ila zitakua zile za chini kabisa kwa baadhi yao, nazungumzia hawa wadogo kwa rank
Kwahyo apunguze shobo au sio😂😂Mimi nilalamike maisha magumu? Au umejibu tu? Kama ulipo ni asubuhi doesn't mean Kila mahali ni asubuhi
Sisi ni dereva uber, tunasubiri abiria hapa Mwenge. Tukafanye kazi gani?Yani mnaacha kufanya kazi mnaingia vijiweni asubuhi yote hii alafu mnalalamika maisha magum
Kwa maelezo yako, inamaana askari wa jeshi la polisi,yule ambaye yuko PLAIN,nikimaanisha constable,siyo mwajiriwa wa jeshi la polisi,inamaana anatambulika kama KIBARUA tu,anaenda kituoni,akifanya kazi,anaandikiwa,mwisho wa mwezi anapigiwa hesabu,analipwa,anasepa zake,sindiyo?ofisa anayetambulika ni nyota 3 na kuendelea.labda ungesema mtumishi mwajiriwa ni kuanzia nyota 1 na kuendelea.
ila kuna Afisa wa polisi.
huyu ni askari yeyote wa polisi unayemuonconstabla.
kwa lugha inayeoeleweka ni kwamba yuko ktk muda wa matazamio bado.Kwa maelezo yako, inamaana askari wa jeshi la polisi,yule ambaye yuko PLAIN,nikimaanisha constable,siyo mwajiriwa wa jeshi la polisi,inamaana anatambulika kama KIBARUA tu,anaenda kituoni,akifanya kazi,anaandikiwa,mwisho wa mwezi anapigiwa hesabu,analipwa,anasepa zake,sindiyo?
huyo ni mwanamgambo wa Israel toka Shelui achana nae ana msongo wa mawazoMimi nilalamike maisha magumu? Au umejibu tu? Kama ulipo ni asubuhi doesn't mean Kila mahali ni asubuhi