Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Nappe aliachwa , akaita bolt lakini madereva walikuwa wana-cancel maana walikuwa na wasiwasi wa kupotea. Naskia alikuja kupata bajaji ya Uber baadae sana.Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Poleni sana πππUzushi tuu
Toa ukweli wako!Uzushi tuu
Ni kweli kabisaaaa..Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je, ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Ndiyo mi nilikuwepo, tulishuhudia Nape akitafuta uber na kuondoka. Nitaweka picha na video soonHizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je, ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Na ndio vigezo ambavyo watu hutumia kama msingi wa maamuzi.Nchi hii unafiki na umbeya ni mwingi sana
Bila picha picha huwa hainogi.Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je, ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Alipata wapi plate number za STK???Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je, ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Au tajiri Motsepe aliwaambia SAfA agombee urais pale harafu asichukue mshahara wakamgomea akaenda kupeleka rupia CAF wakampa..Madaraka ni matamu kuliko Fedha kama unabisha muulize Trump au Ramaphosa ππ
Cheki chuma hiyo hii gari Tamu
ππππAlipata wapi plate number za STK???
Akaunti huwa haijai i.e huwezi kutosheka na pesaMtu akaunti ina mamilioni
Mno mno sshv tunasahaulishwa trilion zilizopigwa BOTIla CCM wanajua kucheza na akili za wananchi wao sanaaaa........
Waziri akirudishwa nyumbani dereva anavyorudi peke yake anabadili plate numberSizan kam itifak inaelekez hvyo number ibadlishwe
Madereva wa serikali wanayaweza hayoHizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini.
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je, ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape out, Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari