Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Itoshe tu kukuambia mziki una hela, na kunawasanii Ni matajili kupitia mziki.
 
Still ni tetesi. Ila kila jambo huanza kama tetesi
Mwamba anafanya show kwa masaa mengi kuliko msanii yoyote Tena mfululizo mpaka kuna wakati Uongozi wa Wasafi ukataka umtafutie daktari leo useme anatumia ngada me nakuelewaje alafu msemaji wa hiyo taarifa ni Mange ambaye Inajulikana wazi ana chiki binafsi na Diamond
 
reymage kwani umepitia huku, usisahau ww ndio dishi langu, habari zoote za mjini nasubiri kupata kwako, king'amuzi changu nimekitegesha kwa wa dishi lako [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…