Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond anatumia unga?? Mwana anakaa stejini masaa mawili anaimba na kucheza hiyo energy anaipata kwenye unga au ??
Itoshe tu kukuambia mziki una hela, na kunawasanii Ni matajili kupitia mziki.Naomba kuuliza hawa wasanii wetu haya tunayoyaongeleaga humu yana uhalisia ama ni dhahani.
Nilipigwa na butwaa kuja kuona harmo ile gar ya aud 4 alipost na kusema yake, wakat ameachwa na sarah tukaona gari linaombwa.
Nikawaza msanii anaejiita mkubwa anashindwa kumiliki Aud 4 ya milion 20,
Basi niishie kusema tu hata hizo milion 600 usikute ni maneno tu ya media, lakini naamin wasanii wetu wanaishi maisha ya kipato cha chini sana.
[emoji3] ebitoke aliwah kusema nipost gar langu, kisha akala kona! Nikajua huyu itakuwa gar hana ama analo la kawaida tofaut na sifa anazotaka jamii imchukulie
Ngada ni kitu ganidiamond anakula ngada maajabu.
UngaNgada ni kitu gani
Mwamba anafanya show kwa masaa mengi kuliko msanii yoyote Tena mfululizo mpaka kuna wakati Uongozi wa Wasafi ukataka umtafutie daktari leo useme anatumia ngada me nakuelewaje alafu msemaji wa hiyo taarifa ni Mange ambaye Inajulikana wazi ana chiki binafsi na DiamondStill ni tetesi. Ila kila jambo huanza kama tetesi
Yeye alionyesha fadhila gani kwa Ruge?fadhila zipi tena hizo anazodai wakati ameshamlipisha mwenzake million 600?
diamond anakula ngada maajabu.
🤣🤣🤣 madogo gani wanao mkimbiza? Uje na ushahididiamond alijiona boss na kujisahau Sasa hivi madogo wengi wanamkimbiza kimziki ila siyo hela .
Akina bonge la nyau😂🤣🤣🤣 madogo gani wanao mkimbiza? Uje na ushahidi
Elezea sasa alimfanyia nini huyo Ruge?Yeye alionyesha fadhila gani kwa Ruge?
Wabongo tunapenda sana kupangia watu maisha.
Mihadarati kama anatumia si ananunua kaa pesa yake jama...
Kuna mtu hapo kasema eti mwamba ana stress sana
Ila anachofanya Diamond ndio sawa?Je anachofanya Harmonize ni sawa?
Mabaunsa hawana msaada wowote wale ni kama escort team tu, nimeshuhudia hilo kwa bausa wa future kimbaumbau kama barnaba alimkalishaKuweni Kama Tyson mdamwingine mnazichapa kavu ,kutaneni kitaa bila mabaunsa wenu
[emoji23][emoji23][emoji23] kheeeh wee kwan mie kusema ndo kuwa? Kwan hapo nmesema nna amini?Uyo da mange ndio mhamuzi wa maisha yako, anachokisema unakiamini 100%