King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hongera kwa kushare uzoefu wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh yaani usniff kidogo upate nguvu ya ajabu tunadanganyana. Unga kadri unavyo endelea kuutumia afya inazidi kudhoofika na kama ingekuwa hivyo kama usemavyo Whitney sauti yake ukali wake ingekuwa kama honi ya treni.
Husifanya masihala na unga,unga unadhoofisha afya na ufanisi wa kazi lazima ushuke.
Mkuu uwe unaelewa,kila mtu anajua utumiaji wa unga ni mbaya tunayo mifano ila nilichoeleza kipo sahihi.Cocaine ni stimulants ukitumia inakupa mzuka huchoki lakini ukiiendekeza ilawa ndio ulevi wako lazima ile kwako.Mhhh yaani usniff kidogo upate nguvu ya ajabu tunadanganyana. Unga kadri unavyo endelea kuutumia afya inazidi kudhoofika na kama ingekuwa hivyo kama usemavyo Whitney sauti yake ukali wake ingekuwa kama honi ya treni.
Husifanya masihala na unga,unga unadhoofisha afya na ufanisi wa kazi lazima ushuke.
Inshu ipo wazi jamaa anakula ngadaKabisa Spartcus mnyama mkali (Shuzi lime mpata Mjamba.........)
Siwanasema Simba ana utajiri wa ajabu, anashindwa vipi nunua asee...Hivi unaijua 1.5B??? Achana na mapicha picha ya instagram.
Ajenge kwanza Mansion ndiyo nitaamini hayo magari ananunua kwa pesa hizo na ni ya kwake na wala siyo ya kiki.
Ila hawa wasanii nahisigi muda mwngne wanaweza kukupa stress kumbe mnafanana tu uwezo au wamekuzidi padogo au umewazidi, ila tofauti yeye ni maarufu basi.Hivi unaijua 1.5B??? Achana na mapicha picha ya instagram.
Ajenge kwanza Mansion ndiyo nitaamini hayo magari ananunua kwa pesa hizo na ni ya kwake na wala siyo ya kiki.
Siwanasema Simba ana utajiri wa ajabu, anashindwa vipi nunua asee...
Wewe tena....... tililika.Inshu ipo wazi jamaa anakula ngada
Kwa mMkuu uwe unaelewa,kila mtu anajua utumiaji wa unga ni mbaya tunayo mifano ila nilichoeleza kipo sahihi.Cocaine ni stimulants ukitumia inakupa mzuka huchoki lakini ukiiendekeza ilawa ndio ulevi wako lazima ile kwako.
Haina madhara? Nataka niwanunulie wanangu maana hawataki kulaMkuu protein powder ni vyakula mbali mbali vyenye protein vimesagwa pamoja na kuwa unga. Watu wengi wanaofanya mazoezì ya kujenga mwili hutumia kwani ni rahisi kuliko kununua vyakula vyenyewe na kuvipika.
Hiyo NGADA ni madawa ya kulevya kama sikosei ambayo hata mimi sijawahi kuyaona japo nasikia ukitumia unalewa. Hiyo powder nimeiona sana na wanangu waliokuwa wakitaka kujaza vifua na miili yao kirahisi wameitumia sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbon bado sana,hawa jamaa kitaumana sana na mbaya zaidi mmakonde sio kama Ali Kiba...hana dogo wala kubwa yeye jino kwa jino kwa lolote na vyovyote vile[emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ile miguu alivaa pensi duh kama miwa inafanana na ya dullah makabila
Jaribu kucheki na walimu wako wa nutrition, wanaweza kukusaidia mawili matatuHaina
Haina madhara? Nataka niwanunulie wanangu maana hawataki kula
Endelea kusema hivyo mwenzako anapiga hela kwenye app yakeHuyo nyumbu mangr soon atavuta mkwanja mrefu kwa app yake kupitia manyumbuz, watamsapoti sana
Hivi kashafungua hyo App?Endelea kusema hivyo mwenzako anapiga hela kwenye app yake
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Sijui sifatilii sana hayo mamboHivi kashafungua hyo App?