Uhalisia haupo hivyo mkuu.....ingekua hivyo kweli huenda Ccm wasingetufanyia haya.Kwa lugha rahisi tu wananchi sisi ndio wenye nchi na huyu Mwigulu Nchemba na mama sisi ndio mabosi wao, sisi siyo vijakazi wao hili lieleweke dhahiri shairi.
Be positive hata kama unajiaminisha huwezi kuingia barabarani, ziko njia nyingi za kuipa ujumbe serikali moja Kwa moja kwamba mtaani Sasa tumechoka tunaweza kufanya maamuzi yoyote.kwenye kiibodi kama hivi sawa
Mkuu mbona unaanza kuingiza itikadi ya vyama hivi hujamuelewa mtoa madaWacha machungu ya tozo yaje kuleta practical lesson labda tutaelewa somo vizuri zaidi, sababu zile theory za kina Lissu na Mbowe naona tumeshindwa kabisa kuzielewa.
😁 thubutu, kwa jF au kule ZoomCall , hapo sawaSasa tumechoka tunaweza kufanya maamuzi yoyote
Lissu anakula kuku ulaya, Mbowe keshalambishwa asali bila sisi wananchi kufanya maamuzi tutaendelea kudidimizwa.Wacha machungu ya tozo yaje kuleta practical lesson labda tutaelewa somo vizuri zaidi, sababu zile theory za kina Lissu na Mbowe naona tumeshindwa kabisa kuzielewa.
Kwa lugha rahisi tu wananchi sisi ndio wenye nchi na huyu Mwigulu Nchemba na mama sisi ndio mabosi wao, sisi siyo vijakazi wao hili lieleweke dhahiri shairi.
Kwakuwa ugumu huu wa maisha hauchagui itikadi za vyama au wasiokuwa na vyama, kupitia thread hii tukusanye maoni ya wananchi jinsi ya kuratibu na kufanya maandamano makubwa nchi nzima yasiyo na kikomo kupinga maisha magumu na hizi tozo za kipuuzi.
Ni muda mufafaka Sasa Kwa Watanzania tuungane tuweke vyama pembeni, dunia nzima maandamano yenye mafanikio ni ya kiraia siyo ya vyama vya Siasa, nguvu mnayoitumia kwenye Simba day na Yanga day tukiunganisha pamoja kukataa kuswagwa kama Ng'ombe kwenye nchi yetu, Mwigulu ataachia mwenyewe ofisi ya umma na mama atasikia kilio chetu.
Uamuzi ni wetu tuendelee kuwekeza kwenye ujinga na mambo yasiyokuwa na Tina kama let's mzungu au tuchukuwe hatua Sasa.
Kama hatuwezi kuchukuwa hatua Sasa tukae kimya jumla tuache ulalamishi tuache serikali itekeleze ilani ili ituletee maendeleo na watu wrote tukae kimya.
Sasa nakaribisha maoni na ushauri namna ya kuratibu maandamano nchi nzima kupinga maisha magumu, hili linawezekana timiza wajibu wako, hili vuguvugu likipamba moto na wakaona tupo serious watarekebisha tatizo kabla ya maandamano makubwa nchi nzima.
Kwa lugha rahisi tu wananchi sisi ndio wenye nchi na huyu Mwigulu Nchemba na mama sisi ndio mabosi wao, sisi siyo vijakazi wao hili lieleweke dhahiri shairi.
Kwakuwa ugumu huu wa maisha hauchagui itikadi za vyama au wasiokuwa na vyama, kupitia thread hii tukusanye maoni ya wananchi jinsi ya kuratibu na kufanya maandamano makubwa nchi nzima yasiyo na kikomo kupinga maisha magumu na hizi tozo za kipuuzi.
Ni muda mufafaka Sasa Kwa Watanzania tuungane tuweke vyama pembeni, dunia nzima maandamano yenye mafanikio ni ya kiraia siyo ya vyama vya Siasa, nguvu mnayoitumia kwenye Simba day na Yanga day tukiunganisha pamoja kukataa kuswagwa kama Ng'ombe kwenye nchi yetu, Mwigulu ataachia mwenyewe ofisi ya umma na mama atasikia kilio chetu.
Uamuzi ni wetu tuendelee kuwekeza kwenye ujinga na mambo yasiyokuwa na Tina kama let's mzungu au tuchukuwe hatua Sasa.
Kama hatuwezi kuchukuwa hatua Sasa tukae kimya jumla tuache ulalamishi tuache serikali itekeleze ilani ili ituletee maendeleo na watu wrote tukae kimya.
Sasa nakaribisha maoni na ushauri namna ya kuratibu maandamano nchi nzima kupinga maisha magumu, hili linawezekana timiza wajibu wako, hili vuguvugu likipamba moto na wakaona tupo serious watarekebisha tatizo kabla ya maandamano makubwa nchi nzima.
Kwahiyo tujinyonge kama Mkwawa?Be positive hata kama unajiaminisha huwezi kuingia barabarani, ziko njia nyingi za kuipa ujumbe serikali moja Kwa moja kwamba mtaani Sasa tumechoka tunaweza kufanya maamuzi yoyote.
Chifu Mkwawa hakuwa Mkenya.
Wewe ni mjinga kabisa, Mkwawa alishinda vita dhidi ya Wajerumani mpaka Wajerumani wakakimbia na kurudi kwao, safari ya Pili Wajerumani ndio wakaja na Majeshi ya mamluki akiwemo baba yake mzazi Sykes Kwa kupitia Kwa Chifu wa Wasangu ambaye alimsaliti Mkwawa na kutowa ramani ya vita.Kwahiyo tujinyonge kama Mkwawa?
Kwa lugha rahisi tu wananchi sisi ndio wenye nchi na huyu Mwigulu Nchemba na mama sisi ndio mabosi wao, sisi siyo vijakazi wao hili lieleweke dhahiri shairi...
Hata Makaburu walikuwa na vibaraka wao weusi, wewe si wa kwanza kuhujumu harakati za watu wanaojitambuwa.Utaratibu mzuri ni kuwa,
Ww na family yako muanze kuandamana na mabango pale nje ya get la ikulu
Then watu wengine watafata