Ni kweli hali ya maisha imekuwa ngumu, na pia ni kweli hizi tozo hazikubaliki, sasa wananchi tuseme kwa vitendo imetosha

Hivi akili zenu huwa mnafungia kabatini? Ikiongelewa demokrasia hamtaki kufananishwa na Kenya na IPO East Africa, Ila likija swala Bei ndio mnataka kujifananisha, huwa mnatumia akili zipi?

Hata democracy Sisi yetu Iko juu kuliko hao wote

Au to you meaning ya democracy ni mpinzani kuwa rais ? Au kuwa mbunge?

Turudi kwenye topic, Lete fact ya Bei ya Mafuta Kwa inchi zinazotuzunguka, au ww unaaakili zaidi ya kujua bei imepungua kuliko serikali zote
 
Ndio maana nikakwambia usiwe mshabiki wa mwanasiasa yoyote Cha msingi uunga mkono pale ambapo mwanasiasa anapokuwa sahihi tu
 
Sri Lanka imeisha onyesha mfano.
 
SERIKALI liangalie hili mbona Kuna njia nyingi za kujipatia Kodi Bila kuchukua tozo za muamala ya simu na benki, SERIKALI zilizopita zilijiendesha vipi Bila hizi tozo? Hakika SERIKALI ya Sasa inapesa ya kutosha tunatarajia kuona makubwa kupitia tozo zetu.
 
Siku hizi vilevi aviguswi kabisa sijui kama mnajua kwa nini ? Zamani kukitokea tatizo la fedha basi kimbilio ni kwenye vilevi
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.
 
Wewe ni mpumbavu tu!

Si ndio ulikuwa unademka viuno humu kwamba anaupiga mwingi?
 
ukitaka kumtawala mtu masikini ili asikusumbue muwekee hali ngumu atahangaika kutafuta ugali na kukuacha ufanye siasa zako
 
Utaratibu mzuri ni kuwa,

Ww na family yako muanze kuandamana na mabango pale nje ya get la ikulu

Then watu wengine watafata
Acheni michango ya kipuuzi. Kuandamana kama njia ya kufikisha ujumbe kwa watawala ni njia halali kisheria.

Watu wanapojadili mambo ya maana, kama huna hoja, nyamaza, endelea kusoma na kufuatilia hoja za wenye hoja, kama unataka.
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo xi3ndeleee tena zitazamwe njia zingine ili tuchangie maendeleo yetu.

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.
 
Mku huu sio wakati wake kwani tunafanyiwa mambo ya ovyo sana.
Kuendana uanachama wangu hili limenifikisha mwisho kabisa kumbuka tuliowapa dhamana hawataki kujiongeza kwa ubuni njia mpya ambazo hazituumizi wanatuchukilia vibaya sana.
Kuna kundi kubwa sana halina ajira lakini nalo wameshindwa kulifanyia ufumbuzi ardhi tunayo ya kutosha lakini hawataki kuwekeza ili kubuni ajira wao wanasubiria kilichoiva tu
 
Hakuna ishu ya usaliti

Tunazungumza ukweli, msemaji wa serikali ameshasema atatolea maelekezo ishu mzima

So tusubiri serikali iseme

Inchi zote duniani zinalipa Kodi, hakuna maendeleo bila kodi
Wewe huelewi hata kinachojadiliwa. Kuna mtu ameongelea kukataa kulipa kodi? Watu wanaongelea hizi zinazoitwa tozo, siyo kodi.
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo iendelee tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu, badala ya kuchangia harusi na masharehee mengine sasa tunaweza kuchangia 1200 maendeleo ya barabara zetu, hospitali, maji n.k

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.

wanao pinga tozo ni wahuni wachache wenye matatizo ya afya ya akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…