Ni kweli hali ya maisha imekuwa ngumu, na pia ni kweli hizi tozo hazikubaliki, sasa wananchi tuseme kwa vitendo imetosha

Ni kweli hali ya maisha imekuwa ngumu, na pia ni kweli hizi tozo hazikubaliki, sasa wananchi tuseme kwa vitendo imetosha

Hata democracy Sisi yetu Iko juu kuliko hao wote

Au to you meaning ya democracy ni mpinzani kuwa rais ? Au kuwa mbunge?

Turudi kwenye topic, Lete fact ya Bei ya Mafuta Kwa inchi zinazotuzunguka, au ww unaaakili zaidi ya kujua bei imepungua kuliko serikali zote
Gasoline prices per litre, octane-95: We show prices for Zambia from 09-May-2022 to 15-Aug-2022. The average value for Zambia during that period was 25.68 Zambian Kwacha with a minimum of 24.15 Zambian Kwacha on 16-May-2022 and a maximum of 26.75 Zambian Kwacha on 04-Jul-2022. For comparison, the average price of gasoline in the world for this period is 32.72 Zambian Kwacha.

Zambia kwa zaidi ya mwezi mzima, bei ya mafuta haijapanda.

Zambia Gasoline prices, litre, Zambian Kwacha

[https://www]
 
Mi nahisi mama yeye analala Kama katoto kachanga Hawazi chochote kile,akiamka asubuhi abaletewa kila kitu ye anaitikia tu,sioni anachofanya ktk hii nchi uju kaahh!!
 
Gasoline prices per litre, octane-95: We show prices for Zambia from 09-May-2022 to 15-Aug-2022. The average value for Zambia during that period was 25.68 Zambian Kwacha with a minimum of 24.15 Zambian Kwacha on 16-May-2022 and a maximum of 26.75 Zambian Kwacha on 04-Jul-2022. For comparison, the average price of gasoline in the world for this period is 32.72 Zambian Kwacha.

Zambia kwa zaidi ya mwezi mzima, bei ya mafuta haijapanda.

Zambia Gasoline prices, litre, Zambian Kwacha

[https://www]

Wanaagiza au wanatumia ambayo waliweka akiba ?
 
Kwa lugha rahisi tu wananchi sisi ndio wenye nchi na huyu Mwigulu Nchemba na mama sisi ndio mabosi wao, sisi siyo vijakazi wao hili lieleweke dhahiri shairi.

Kwakuwa ugumu huu wa maisha hauchagui itikadi za vyama au wasiokuwa na vyama, kupitia thread hii tukusanye maoni ya wananchi jinsi ya kuratibu na kufanya maandamano makubwa nchi nzima yasiyo na kikomo kupinga maisha magumu na hizi tozo za kipuuzi.

Ni muda mufafaka Sasa Kwa Watanzania tuungane tuweke vyama pembeni, dunia nzima maandamano yenye mafanikio ni ya kiraia siyo ya vyama vya Siasa, nguvu mnayoitumia kwenye Simba day na Yanga day tukiunganisha pamoja kukataa kuswagwa kama Ng'ombe kwenye nchi yetu, Mwigulu ataachia mwenyewe ofisi ya umma na mama atasikia kilio chetu.

Uamuzi ni wetu tuendelee kuwekeza kwenye ujinga na mambo yasiyokuwa na Tija kama lete mzungu au tuchukuwe hatua Sasa.

Kama hatuwezi kuchukuwa hatua Sasa tukae kimya jumla tuache ulalamishi tuache serikali itekeleze ilani ili ituletee maendeleo na watu wote tukae kimya.

Sasa nakaribisha maoni na ushauri namna ya kuratibu maandamano nchi nzima kupinga maisha magumu, hili linawezekana timiza wajibu wako, hili vuguvugu likipamba moto na wakaona tupo serious watarekebisha tatizo kabla ya maandamano makubwa nchi nzima.
Tatizo tumemwachia Samia afanye atakavyo.
 
Hakuna namna inabidi wapigwe tu.... (Kama Pinda alivyosema)
 
Ndio maana nikakwambia usiwe mshabiki wa mwanasiasa yoyote Cha msingi uunga mkono pale ambapo mwanasiasa anapokuwa sahihi tu
Nani mshabiki wa vyama? mimi kuwataja Lissu na Mbowe kwenye comment yangu hakunifanyi niwe mshabiki wa chama, tatizo nakuona una allergy na hayo majina ambayo kwako unayaona hayana sifa yoyote nzuri, ndio maana nimekuuliza mtaje unayeona hana kasoro.. umeshindwa.
 
Hizo tozo na Kodi ndio zinazojengwa vituo vya Afya, shule, zahanati, huduma za maji,umeme Hadi vijijini, kwa hiyo lazima ujuwe kuwa hata ulaya walipitia huku, Hakuna njia fupi katika kupata maendeleo, watanzania wametulia na wanaendelea kumuunga mkono mh Rais kwa kuwa tunaona maendeleo yanayoletwa na mh Rais,

Lazima tuanze kujitegemea wenyewe kwa kuhakikisha kuwa tunachangia maendeleo yetu wenyewe, Tusipende kujirundikia mimadeni tu, maana madeni Ni mzigo na yanaleta utumwa, tujifunge mikanda na tujibane ili kujenga nchi yetu,

Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza akaandamana wakati anaona namna mh Rais anavyo fanya kazi usiku na mchana kuijenga nchi hii na kuinua maisha ya watu, hakuna wa kuandamana wakati anaona tozi hizo zikielekezwa katika miradi ya maendeleo, hakuna wa kuandamana wakati kila mtu anaona namna mh Rais alivyo tanguliza maslahi ya Taifa kwa kuhakikisha kuwa kila sent inayopatikana Ina kwenda kuwekezwa mahali penye kero kwa watu

Wananchi tupo na mh Rais na tunaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu, tunaendelea kuona namna anavyo gusa maisha ya watu wote, tunaona namna mh Rais anavyo fanya kazi kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeachwa nyuma
Kweli kabisa sisi ndio tunatakiwa kujenga nchi yetu Tozo ni kwaajili ya aendeleo ya taifa letu na watu wasichokijua tunakua tunawasaidia wale wasio na uwezo kama kupitia tozo hsp watu watatibiwa kwa gharama nafuu elimu bure mikopo kwa wananchi ili waweze kujiajiri
 
Tupunguze kukopa nje ili tozo zipungue..nchi inalazimika kuweka tozo nyingi ili kuonesha uhimilivu wa kurejesha madeni
Lazima tutoe tozo ili tufanye maendeleo serikali haijawai kukulupuka kila kitu kimepangwa muda murefu
 
Hizo tozo na Kodi ndio zinazojengwa vituo vya Afya, shule, zahanati, huduma za maji,umeme Hadi vijijini, kwa hiyo lazima ujuwe kuwa hata ulaya walipitia huku, Hakuna njia fupi katika kupata maendeleo, watanzania wametulia na wanaendelea kumuunga mkono mh Rais kwa kuwa tunaona maendeleo yanayoletwa na mh Rais,

Lazima tuanze kujitegemea wenyewe kwa kuhakikisha kuwa tunachangia maendeleo yetu wenyewe, Tusipende kujirundikia mimadeni tu, maana madeni Ni mzigo na yanaleta utumwa, tujifunge mikanda na tujibane ili kujenga nchi yetu,

Hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza akaandamana wakati anaona namna mh Rais anavyo fanya kazi usiku na mchana kuijenga nchi hii na kuinua maisha ya watu, hakuna wa kuandamana wakati anaona tozi hizo zikielekezwa katika miradi ya maendeleo, hakuna wa kuandamana wakati kila mtu anaona namna mh Rais alivyo tanguliza maslahi ya Taifa kwa kuhakikisha kuwa kila sent inayopatikana Ina kwenda kuwekezwa mahali penye kero kwa watu

Wananchi tupo na mh Rais na tunaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu, tunaendelea kuona namna anavyo gusa maisha ya watu wote, tunaona namna mh Rais anavyo fanya kazi kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeachwa nyuma
Machawa siku zenu zinahesabika, Nyerere alipokuwa anasema tufunge mikanda viongozi wa serikali walitumia land Rover 109, siyo nyinyi mbwa mnaotembelea V8 halafu mnahubiri tufunge mikanda, mwisho wenu hauko mbali.
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo iendelee tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu, badala ya kuchangia harusi na masharehee mengine sasa tunaweza kuchangia 1200 maendeleo ya barabara zetu, hospitali, maji n.k

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.

wanao pinga tozo ni wahuni wachache wenye matatizo ya afya ya akili.
Ni Heri ya anayepiga punyeto anaitendea nchi haki kuliko kumwaga ndani ukazaa kibwengo kama hiki.
 
Lazima tutoe tozo ili tufanye maendeleo serikali haijawai kukulupuka kila kitu kimepangwa muda murefu
Huyo Mzee wa Msoga aliweza vipi kuendesha serikali bila tozo na mishahara hewa juu na aliweza kulipa?
 
Vuguvugu......
Hili ni vuguvugu la mabadiriko ya kweli, wakiweka pamba masikioni watajuta milele.
Tunakuja Kwa style ya minyoo wala haiitaji mimba wala mayai kuzaliwa.

Watatuheshimu tu safari hii, tayari majiji matano kuna wananchi wamejitolea kuratibu vuguvugu hili.
 
Machawa siku zenu zinahesabika, Nyerere alipokuwa anasema tufunge mikanda viongozi wa serikali walitumia land Rover 109, siyo nyinyi mbwa mnaotembelea V8 halafu mnahubiri tufunge mikanda, mwisho wenu hauko mbali.
Kwani wewe huoni miradi mbalimbali inayotokana na tozo zetu, huzioni huduma zikiwa zimesogezwa karibu yako au upo wapi huko ambako huoni huduma na miradi inayopendeza na kuvutia
 
Kabla ya kuandamana,tutumie njia ya mazungumzo na viongozi.
Kumbukeni hasara za maandamano zinaweza kuligharimu taifa letu;ikiwa ni pamoja na kuharibu miundombinu,mali za watu binafsi na hata kugharimu maisha.

After all:
SI TUNA WABUNGE AMBAO NI WAWAKILISHI WETU?.
 
Back
Top Bottom