DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

MAKANGEMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
2,670
Reaction score
7,655
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe,mtu ajapona lakini anaona bora akajiuguze nyumbani mwenyewe kwenye chumba chake cha efu arobaini kwa mwenzi.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu,na watakao zimudu hawatoboi mienzi hata miwili.
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni,kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe.Hizi gharama alimia 90 ya watanzania hatuzimudu.
Endapo kama Habari hii ina Ukweli, Basi Muhimbili ni Hoteli ya kitalii wala siyo Hospitali tena.
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni,kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe.Hizi gharama alimia 90 ya watanzania hatuzimudu.
1.Ndio ni elfu 50,000/=
2.ni kweli kama taifa hatupo salama Kwa mambo mengi si tu,gharama za hospitali-----bajeti ya ofisi ya mkuu wa wilaya ni mara 10 ya bajeti ya hospitali ya wilaya
3.Tanzania ni zaidi ya jehenamu
4.Ndio watanzania zaidi ya 90%ni masikini ila baa na makasino yanajaa,sigara zinanunuliwa,shisha zinavutwa,harusi zinachangiwa na hio hospitali ulioitaja huwa inajaaga hatakitanda hakuna
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu.

DR HAYA LAND ndiyo maana tungependa ndugu wachange zaidi, kutulipia masurufu zaidi.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Hapo kuna mawili na swali lako lina utata..., Yaani gharama (cost inayotumika hicho kitanda kuwepo hapo kilipo) au bei inayochajiwa (yaani huenda cost per day na uangalizi ni elfu 20 au laki mbili) lakini wanachaji elfu 50/=

All in all binafsi nilishasema Afya ni Huduma hivyo tuwekeze kwenye Hospitali za UMMA hivyo affordability iwe muhimu zaidi...

 
sasa kama mnalalamika hiyo 50K wakati hapo agakhan kuna mpaka wodi ya milioni moja kwa siku na ndiko wanakoenda hao kina diblo dibala na wafuasi wao wote hadi chawa wao kila siku hata wakiwa na mafua, then nyie mnahangaika na 50k na bado mnaendelea kuwasujudia nyambaf kuleni jeuri yenu simliamua wenyewe shida alaaaah mnakuja kmlalamikia nani humu mkiwa na hasira andamaneni. Nyambaf,
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu.
Gentleman,
zidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe.

ukiwa na kipato cha uhakika na ukiwa na bima ya Afya huwezi kua na mashaka na matibabu na wala huwezi kupotoshwa na kutishwa na yeyote. epuka uvivu.

Muhimbili kila idara imejaa wagonjwa wakitafuta tiba, kuna wakati ilifikia hadi wanalala sakafuni kwa wingi wao.

hiyo inamaanisha waTanzania wana uwezo wa gharama za muhimbili.

sasa hiyo asilimia 90 unaojaribu kupotoshwa eti hawawezi kumudu, inaweza kua ni wewe na huyo mpotoshaji pekee ambao ndiyo hamumudu hizo, ila mnamudu kula bata mpka asubuh kwetu Pazuri na kwingineko, na huku mkimiliki iPhone ya milioni 4, isiyo na vocha wiki nzima 🐒
 
Back
Top Bottom