MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
- Thread starter
- #21
Kaka ni kivumbi hapo na hospitali ya taifa.Noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka ni kivumbi hapo na hospitali ya taifa.Noma
Omba Mungu alinde afya yako.Hili balaa sasa
Nchi inaongozwa na kikundi cha wahuni.1.Ndio ni elfu 50,000/=
2.ni kweli kama taifa hatupo salama Kwa mambo mengi si tu,gharama za hospitali-----bajeti ya ofisi ya mkuu wa wilaya ni mara 10 ya bajeti ya hospitali ya wilaya
3.Tanzania ni zaidi ya jehenamu
4.Ndio watanzania zaidi ya 90%ni masikini ila baa na makasino yanajaa,sigara zinanunuliwa,shisha zinavutwa,harusi zinachangiwa na hio hospitali ulioitaja huwa inajaaga hatakitanda hakuna
Inchi imeoza hiiKitoeni hiki chama madarakani kwenye sanduku hamtaki kusikia. Wanatenga mabajeti makubwa kununua magari ya wabunge na viongozi huku mwananchi wa chini aanazidi kumenyeka
50k kwa siku halafu usingizi tu ni kipengele sio kipolepole mzee wanguHuwaga nawashangaa sana wanaosema Watanzania tuwe Wazalendo
Kulala yaahn kugeuza mgongo kulia na kushoto na kulala chali(kulalia mgongo) kwa masaa kadhaa kwa siku ni tsh 50,000 na kumbuka hiko kitanda ni kama vya boardingHapo kuna mawili na swali lako lina utata..., Yaani gharama (cost inayotumika hicho kitanda kuwepo hapo kilipo) au bei inayochajiwa (yaani huenda cost per day na uangalizi ni elfu 20 au laki mbili) lakini wanachaji elfu 50/=
All in all binafsi nilishasema Afya ni Huduma hivyo tuwekeze kwenye Hospitali za UMMA hivyo affordability iwe muhimu zaidi...
Afya ni Huduma, tuboreshe Hospitali za Umma
Afya ni Huduma kwa Jamii wala sio chanzo cha Mapato hivyo ni Muhimu sana kwa hizi Kodi zetu tunazolipa kuhakikisha Huduma za Kiafya zinamfikia kila mmoja wetu bila kujali kipato chao. Lakini sio sahihi kushinikiza watu binafsi kwa kuwapangia Bei au Kuwalazimisha wachukue BIMA sababu huenda kwao...www.jamiiforums.com
Mzee hii watanzania wengi hawajui kwakuwa wanadunda tu na afya zao za mchongo.Mama.., Mama.. anaupiga mwingi, yalisikika mazumbukuku
Huna akili.sasa kama mnalalamika hiyo 50K wakati hapo agakhan kuna mpaka wodi ya milioni moja kwa siku na ndiko wanakoenda hao kina diblo dibala na wafuasi wao wote hadi chawa wao kila siku hata wakiwa na mafua, then nyie mnahangaika na 50k na bado mnaendelea kuwasujudia nyambaf kuleni jeuri yenu simliamua wenyewe shida alaaaah mnakuja kmlalamikia nani humu mkiwa na hasira andamaneni. Nyambaf,
Kwanini gharama ziwe juu kwani huyo anakuwa sio mtanzania hakuna shule uliyonipa zaidi hizo ni hadaa tu za serikali.....mtu kazidiwa ghafla uanze kusbiri rufaa anadhani uhai ni sabani utaenda dukani kwa mangi ununue kama ikiisha.Ngoja nikuelimishe kidogo
Hiyo gharama inachajiwa kama wewe umeenda pale bila rufaaa na ukienda bila rufaa unawekwa kwenye kundi la private client
Ukieenda na rufaa gharama zake nafuu hazipo ivyo kabisa ilo kundi linaitwa costsharing ambapo serikali inakuchangia gharama za matibabu
Ukienda nenda kiholehole lazima gharama ziwe juu
Nadhani la muhimu tuweke muda kutafuta pesa
Ofcourse haifai sababu bei hio sio affordable lakini sidhani kama watu wanakwenda hospitali ili walale bali ni zile huduma zinazopatikana sababu sidhani kama ukisema utasimama basi watakuchaji pesa ya sakafu.....Kulala yaahn kugeuza mgongo kulia na kushoto na kulala chali(kulalia mgongo) kwa masaa kadhaa kwa siku ni tsh 50,000 na kumbuka hiko kitanda ni kama vya boarding
Bima za kibongo ni utapeli mwengine kama wa michango ya NiFFA na watu wa kariakooBima ni 155,000 kwa mwaka.
Ofcourse haifai sababu bei hio sio affordable lakini sidhani kama watu wanakwenda hospitali ili walale bali ni zile huduma zinazopatikana sababu sidhani kama ukisema utasimama basi watakuchaji pesa ya sakafu.....
Anyway hii nchi sasa hivi watu hawana kabisa basic needs...
Tunawaza Jehanamu pakoje kumbe ni humu tz.Hii nchi ndo jehanamu yenyewe
ziko real mi nimewakatia watu wa familia na mmoja alikuwa na magonjwa ya muda mrefu gharama za matibabu nilishasahau kitambo sana. Tatizo tunapenda kubeza kila kitu. Hakuna tatizo kubwa kama kuwa anarchist, unakuwa unaishi kwenye denial state kila wakati huku wewe ndie unaeteseka!Bima za kibongo ni utapeli mwengine kama wa michango ya NiFFA na watu wa kariakoo
Hiyo ni hela nyingi sana watanzania asilimia 90 hawaimuduTunawaza Jehanamu pakoje kumbe ni humu tz.