DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

DOKEZO Ni kweli Hospitali ya Taifa Muhimbili kulala kwa siku ni gharama zake ni tsh 50,000?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe,mtu ajapona lakini anaona bora akajiuguze nyumbani mwenyewe kwenye chumba chake cha efu arobaini kwa mwenzi.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu,na watakao zimudu hawatoboi mienzi hata miwili.
Kule wodi maalumu mkewangu nimemlaza juzi ilikuwa 60000.
 
Viongozi wanafanya mambo ya hovyo.

Serikali haishindwi kufanya gharama za matibabu ziwe sawa na bure lakini viongozi hawajali kabisa.
Nakubalina na Wewe kabisa 100%
Kama tukibadilisha Sera na Wizara ya afya ipokee Ruzuku na Hospitali Zisijiendeshe zipokee Pesa Moja kwa Moja kama vipokeavyo Vyuo na Mashule Tunaweza Kumudu Gharama
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe,mtu ajapona lakini anaona bora akajiuguze nyumbani mwenyewe kwenye chumba chake cha efu arobaini kwa mwenzi.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu,na watakao zimudu hawatoboi mienzi hata miwili.
From experience zile private ward nikama 85k per day kiasi kwamba ukikaa kwa siku let's say 14

Halafu kwenye hiyo let's say 50k hupewi chochote hakunaa CHAKULA Wala free water..

Wanazidiwa na hospital Kama massana, kairuki, kitengure e.t.c inashangaza na kusikitisha Sana Kama taifa.
 
Kuna daktari la JF anakuuliza muhimbili unataka ulipe bei gani?
Ni sahihi kwa muhimbili kuweka bei hiyo, sababu ya kupata uwezo wa kujiendesha, ila serikali ilipaswa ibebe hizo gharama kwa asilimia kubwa sana, ifike hatua mtanzania alipe kidogo sana ama asilipe kabisa, haileti maana viongozi wanafanya ubadhirifu, wanatembelea magari ya kifahari, viongozi na wenza wao wanalipwa.. Halafu mtanzania akalipie kitanda 50k kwa siku hapo muhimbili.

Nchi ina laana hii.
 
Nakubalina na Wewe kabisa 100%
Kama tukibadilisha Sera na Wizara ya afya ipokee Ruzuku na Hospitali Zisijiendeshe zipokee Pesa Moja kwa Moja kama vipokeavyo Vyuo na Mashule Tunaweza Kumudu Gharama
Na hii inawezekana, kama tu viongozi wetu wataacha ubinafsi na uroho, wakabeba machungu ya mtanzania, wakaamua kuwa msaada kwa watanzania, kuwa daraja la tanzania yenye maendeleo makubwa.
 
From experience zile private ward nikama 85k per day kiasi kwamba ukikaa kwa siku let's say 14

Halafu kwenye hiyo let's say 50k hupewi chochote hakunaa CHAKULA Wala free water..

Wanazidiwa na hospital Kama massa a, kairuki, kitengure e.t.c inashangaza na kusikitisha Sana Kama taifa.
Nikusahihishe Private Ward ni 100k Per day..
 
Na hii inawezekana, kama tu viongozi wetu wataacha ubinafsi na uroho, wakabeba machungu ya mtanzania, wakaamua kuwa msaada kwa watanzania, kuwa daraja la tanzania yenye maendeleo makubwa.
Yeah kabisa..
Kwa sababu walianza kujitoa Miaka ya 2010 hibi huduma wakaanza kuziita Kuchangia Huduma ya matibabu wananchi mkafurahia kusikia Hivyo walipoona Kumbe Wananchi wanaweza kutoa Pesa ya Matibabu..

Serkali ikajitoa Mazima kusimamia Hospitali kifedha,,..
Kwa hospitali zijitegemee kwa 95%..
Sasa unajiuliza Hospitali zitatoa wapi Hayo mapato..
Sera Zikatungwa na Ndiyo unaona Hizo pesa Zinazolalamikiwa Ingekuwa Kama serkali inawajibika Ipasavyo wananchi wasingetozwa hizo pesa
 
Yeah kabisa..
Kwa sababu walianza kujitoa Miaka ya 2010 hibi huduma wakaanza kuziita Kuchangia Huduma ya matibabu wananchi mkafurahia kusikia Hivyo walipoona Kumbe Wananchi wanaweza kutoa Pesa ya Matibabu..

Serkali ikajitoa Mazima kusimamia Hospitali kifedha Kwa hospitali zijitegemee kwa 95%..
Sasa unajiuliza Hospitali zitatoa wapi Hayo mapato..
Sera Zikatungwa na Ndiyo unaona Hizo pesa Zinazolalamikiwa Ingekuwa Kama serkali inawajibika Ipasavyo wananchi wasingetozwa hizo pesa
Katika hili viongozi ni wa kulamiwa, hawawezi kukwepa hizi lawama, tuna viongozi waroho na wabinafsi mnooo
 
Gentleman,
zidisha juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji ulionao ni nguvu zako mwenyewe.

ukiwa na kipato cha uhakika na ukiwa na bima ya Afya huwezi kua na mashaka na matibabu na wala huwezi kupotoshwa na kutishwa na yeyote. epuka uvivu.

Muhimbili kila idara imejaa wagonjwa wakitafuta tiba, kuna wakati ilifikia hadi wanalala sakafuni kwa wingi wao.

hiyo inamaanisha waTanzania wana uwezo wa gharama za muhimbili.

sasa hiyo asilimia 90 unaojaribu kupotoshwa eti hawawezi kumudu, inaweza kua ni wewe na huyo mpotoshaji pekee ambao ndiyo hamumudu hizo, ila mnamudu kula bata mpka asubuh kwetu Pazuri na kwingineko, na huku mkimiliki iPhone ya milioni 4, isiyo na vocha wiki nzima 🐒
Hapa umetukana mkuu ukisoma data zilizopo maktaba za taifa.

Asilimia 90% wanaishi vijijini shughuri kuu ni kilimo Cha jembe la mkono vile vile pia average of living kwa watanzania still ipo low compared na developed countries.

Pia majority ya watanzania wanaishi below 1 US Dollar Tena majority hatuna hata BIMA za afya.

Case study huyu msanii kijana kafariki namsikia STEVE NYERERE ANALALAMIKA wasanii hawana bima za afya

Binafsi siungi mkono hizo gharama za 50k nibora zishushwe Zaid maana tuna rasilimali nyingi Sana ambazo tukizifanyia utilization effectively tunaweza kupunguza hizo gharama zikawa nafuu na affordable kwa majority yetu.

Think twice.
 
Hapa umetukana mkuu ukisoma data zilizopo maktaba za taifa.

Asilimia 90% wanaishi vijijini shughuri kuu ni kilimo Cha jembe la mkono vile vile pia average of living kwa watanzania still ipo low compared na developed countries.

Pia majority ya watanzania wanaishi below 1 US Dollar Tena majority hatuna hata BIMA za afya.

Case study huyu msanii kijana kafariki namsikia STEVE NYERERE ANALALAMIKA wasanii hawana bima za afya

Binafsi siungi mkono hizo gharama za 50k nibora zishushwe Zaid maana tuna rasilimali nyingi Sana ambazo tukizifanyia utilization effectively tunaweza kupunguza hizo gharama zikawa nafuu na affordable kwa majority yetu.

Think twice.
Gentleman,
nadhani ni kwasababu huenda mtoa hoja na pengine wengine hawajaugua au kuuguza ama kutembelea muhimbili na kuona idadi ya wagonjwa waliopo, ukilinganisha na hospitali zingine.

Unafuu na upatikanaji wa huduma muhimu za binadamu ambazo kila mTanzania anaweza kumudu gharama.

Mbona hawaendi kwenye mahospitali yenye unafuu kuliko muhimbili? Na hayo mahospitali nafuu zaidi ya muhimbili watu waende huko?

Bima ya afya ni muhimu sana kwa kila member wa familia 🐒
 
Usiombe ukalazwa Aga Khan Hospital, hata kama unatumia bima watahakikisha wanajishughulisha na wewe kwa kila aina ya ushauri mpaka wanakumalizia salio lako lote la matibabu la mwaka halafu wanalazimisha referral uende Muhimbili na ukifika kule kwanza unapokelewa na misuto kibao ili siku nyingine usirudie makosa.
 
Nikusahihishe Private Ward ni 100k Per day..
Mwezi wa pili nilipo kua nimevunjika mguu nilikua private ward kwa wiki moja na siku mbili nililipa 85k per day labda nilifanyiwa discount

Ila nilishangaa Sana Sana walibadilisha mashuka kila asbh na kupimwa pressure kila asbh Ila ni Bora hata hoteli ningepewa japo breakfast Ila ni gharama Sana mkuu kwa watanzania wenzangu wa Hali ya chini..
 
Kwanini gharama ziwe juu kwani huyo anakuwa sio mtanzania hakuna shule uliyonipa zaidi hizo ni hadaa tu za serikali.....mtu kazidiwa ghafla uanze kusbiri rufaa anadhani uhai ni sabani utaenda dukani kwa mangi ununue kama ikiisha.
Kuna utaratibu kaka huwezi tu kukulupuka kuja muhimbili wakati mtaani kuna zahanati pia anzia ngazi ya chini fikiria sasaiv watu muhimbili wanafika wagonjwa karibja 1000 wanaotibiwa imagen kama mtu anaumwa kichwa anakuja muhimbili wahudumu si watakuwa vichaaa? Huoni kuwa mrundikano wa wagonjwa utakuwa mkubwa na pia kusambaa kwa magonjwa ya kuambukiza yanaweza ongezeka
 
Habari zenu wakuu.

Hizi taarifa za kwamba gharama za kitanda hospitali ya taifa Muhimbili kuwa ni tsh 50,000 ni za kweli au story za vijiweni, kama hizi gharama ni za kweli basi kama taifa hatupo salama na nimeamini Tanzania ndio jehanamu yenyewe,mtu ajapona lakini anaona bora akajiuguze nyumbani mwenyewe kwenye chumba chake cha efu arobaini kwa mwenzi.

Hizi gharama asilimia 90 ya watanzania hatuzimudu,na watakao zimudu hawatoboi mienzi hata miwili.
Tuna serikali isiyojali maisha ya raia wake.

Samia amegeuza maisha na uhai wa Watanzania fursa ya kiuchumi
 
Kuna utaratibu kaka huwezi tu kukulupuka kuja muhimbili wakati mtaani kuna zahanati pia anzia ngazi ya chini fikiria sasaiv watu muhimbili wanafika wagonjwa karibja 1000 wanaotibiwa imagen kama mtu anaumwa kichwa anakuja muhimbili wahudumu si watakuwa vichaaa? Huoni kuwa mrundikano wa wagonjwa utakuwa mkubwa na pia kusambaa kwa magonjwa ya kuambukiza yanaweza ongezeka
Hata enzi za wakoloni walikuwepo Watanganyika kama wewe ambao walitetea kila kitu cha mkoloni. Na waliwasnitch wwpambania uhuru
 
Gentleman,
nadhani ni kwasababu huenda mtoa hoja na pengine wengine hawajaugua au kuuguza ama kutembelea muhimbili na kuona idadi ya wagonjwa waliopo, ukilinganisha na hospitali zingine.

Unafuu na upatikanaji wa huduma muhimu za binadamu ambazo kila mTanzania anaweza kumudu gharama.

Mbona hawaendi kwenye mahospitali yenye unafuu kuliko muhimbili? Na hayo mahospitali nafuu zaidi ya muhimbili watu waende huko?

Bima ya afya ni muhimu sana kwa kila member wa familia 🐒
Mkuu,
Unajua hospitali namba moja TANZANIA ni muhimbili so ndio kimbilio nchi nzima

Unajua Kuna watu hupewa referral kuja muhimbili from either bugando,kcmc e.t.c japo na izo ni hospital kubwa hapa nchini..

Unajua mwaka 2010 mpaka 2020 watu wenye matatizo ya Figo ilitakiwa wake dar es salaam TZ kupata huduma na kimakazi?! Baba mdogo angu Ali survive miaka 10 na issue ya Figo na aliacha kila chake akaja dar kupambania uhai..

Dialysis unajua gharama zake..mkuu acheni siasa majority humu tunatoka backgrounds za kimaskini Ila mnajipofusha fikra zenu.

TZ sisi majority ni maskini ie case study YANAYO ENDELEA BAADA YA MASAA 72 KARIAKOO KWENYE WOKOZI AJAR
 
Back
Top Bottom