residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mtu mzima na mwenye busara taulo likimdondoka,huchutama.Wewe ndio unasogeza goal post.
View attachment 2911472
Halafu hao AU pia wanashida ya ku defined roles.
AUC chairman and AUC chairperson kuna tofauti gani. Hata magazeti mengi hayajui tofauti.
No no no..Compare and contraat between Odinga na Jk.Daaah...nyie kwenu amna Elimu gani? Yaani mmefanya suala la uongozi sasa lionekane jepesi sana toka kikwete awe rais imeonesha kila mtu anaweza kuwa rais. Urais umekuwa Urahis. Keshokutwa na wewe utataka kuwa rais. Na kwa kuwa watanzania wengi ndo hivyo unapata urahisi.
U r right. But as far as Jk na Odinga are compared, JK is the bestNyie watanzania mmekata tamaa sana. Yaani mtu anaweza mfikiria kikwete kuwa kiongozi wa maana? Hamna watu kabisa inaonekana. Anyway. Ngoja nijiandae na safari yangu nyingine baada ya kutoka Ethiopia. Muwe na uchungu na nchi zenu nyie madogo.
wewe mwenye akili nyingi zilizozidi ubongo mbona kazi inaishia kusema wenzako tu?Hivi kuna binadamu hawatosgeki ? Ana shida gani ? Kuna shida mahali....maana hata mke hamna kitu kichwani amelazimisha ubunge khsaa mtoto kilaza wa karne....lakini fitna na shirkii
Wewe chizi tu huna lolote unalojuwa zaidi ya kuropoka ropoka tu kama mwehu.Nyie watanzania mmekata tamaa sana. Yaani mtu anaweza mfikiria kikwete kuwa kiongozi wa maana? Hamna watu kabisa inaonekana. Anyway. Ngoja nijiandae na safari yangu nyingine baada ya kutoka Ethiopia. Muwe na uchungu na nchi zenu nyie madogo.
Doesn’t even add up, hiyo nafasi wanayoiongelea ni technical post. Ni sawa na katibu mkuu wa wizara.Mtu mzima na mwenye busara taulo likimdondoka,huchutama.
Jitahidi uwe unasoma kwa utulivu na hata kurudia mara 10 ili uelewe.
Odinga is the best. Or I am the best.U r right. But as far as Jk na Odinga are compared, JK is the best
Tulia na mwanaume mmoja. Usiwe na tamaa. Makonda akisoma hii text si atakasirika? Shauri yako. Alikutumia nauli ya kujia Dar? Lile ombi lako la kuwa ununuliwe boda boda anakuambia njoo Dar uchukue. Dogo jiandae... Ameshanunua mafuta.Wewe chizi tu huna lolote unalojuwa zaidi ya kuropoka ropoka tu kama mwehu.
Inategemea Africa inataka nini kwa wakati wa sasaOdinga is the best. Or I am the best.
Mzee inabidi ujibidishe kusoma vitu vya Africa sana. Ulichiandika ni aibuEbu tueleze hiyo nafasi yako anaeachia ni nani? Na list ya wagombea.
African Union Commissioner chairman ni moja tu. Na ndio imeenda Mauritania; halafu ili ushike hiyo nafasi lazima uwe sitting president pia wa nchi unayotoka.
Hapa umeeleweka. Kama inataka kufisadiwa zaidi iopt kikwete. Kama inataka maendeleo ya nguvu Odinga. Nimekuelewa.Inategemea Africa inataka nini kwa wakati wa sasa
Africa inataka amaniHapa umeeleweka. Kama inataka kufisadiwa zaidi iopt kikwete. Kama inataka maendeleo ya nguvu Odinga. Nimekuelewa.
Haiwezi kuwa na amani ikiwa na wanafiq na ni bora kupigana na adui ambaye mmekunjiana uso kuliko kucheka na adui anayetabasamu na kisha anakuchoma kisu nyuma. Wanafiq ni wachawi na mashetani. Hapo namkumbuka Magufuli. Alikuwa straight sana.Africa inataka amani
Wahi buku saba umetimiza shidt yakowewe mwenye akili nyingi zilizozidi ubongo mbona kazi inaishia kusema wenzako tu?
ni akili gani hizo zinazoishia kuzungumzia wengine tu badala ya kufanya la maana?
HahaaaaaWanaenda Kigali kufanya Nini? Acheni wivu wa kijinga. Kama mnapambana na waasi pambaneni nao wakiwa Congo. Mnahangaika na Rwanda ya Nini?. Kwenu Kuna shida ya sukari, Deni la nje limeongezeka, umeme shida, bima ya afya hospitali hazijalipwa etc. Ila unahangaika na kuovamia Rwanda ili update Nini?.
Wakati Banyamulenge wanamsaidia kabila miaka ya 1996 mbona hamkulalamika?. Ila Leo ndio mnalalamikia Banyamulenge. Acheni ujinga.
Wanaotakiwa ukiacha sifa ya kuwa na masters, anatakiwa awe amewahi ku hold Senior position ya uongozi wa nchi kama waziri kwenda juu.Doesn’t even add up, hiyo nafasi wanayoiongelea ni technical post. Ni sawa na katibu mkuu wa wizara.
JK yeye anachojua ni porojo za siasa sio kusimamia wataalamu; ndio kabisa hilo halipo.
Ni sawa kama anaenda kuleta stability Congo DRC na sio kupambana na Rwanda.Hujui hiyo vita hapo congo Ina athari kubwa ya uchumi Huku EAC?? Congo ilitulia ni faida kwa nchi za ukanda wa EAC....Wacha mventwaa wafurushwe
Ni kweli alimwapisha. Ila baadae waliachana baada ya Raila kuungana na Kenyatta.Umesahau alimwapisha kinyume na utaratibu?
Punguza dharau. Unajifanya kujua mambo kumbe boya tu. Huyo Kikwete si ndio alitumia majeshi Zanzibar kuzuia Maalim asiwe Rais wa Zanzibar na kumzonga Jecha mpaka akafuta matokeo?. Si ndio huyu Kikwete aliyeshindwa kuipa Tanzania katiba mpya?. Punguza maneno mengi.Ukiwaweka kikwete na odinga kwenye mizani ya kiuongozi, odinga hamfikii hata nusu. Jk ame practise presidency not just competing kama huyo odinga. The guy has been number one kwenye nchi mashuhuri kama tanzania, huwez mlinganisha na Odinga. A trial n error presidency candidate, never. Anatembelea history tu ya baba ake not otherwise