1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,199
- 2,859
Uongo mtupu,mm silambagi asali.Asali + Limao = Kifo
Sijui kama ni kweli au vipi ila nimewahi kusikia.
Wakati wa fasting napenda kutumia kijiko kimoja cha sukari nakamulia na ndimu au limao kwny maji moto kikombe kimoja cha chai,nakunywa.Nakuwa fit whole day.
Kuna faida nyingi mwilini kuliko uzushi.