Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Miaka ya tisini nilikuwa nasikia sana stori za uchunaji ngozi maeneo mbalimbali ya nchi, stori zenyewe zilikuwa za kutisha sana kwamba watu wanamkamata mtu hasa watoto wadogo wanawachoma sindano fulani ngozi yote inaumuka kisha wanaichana na kuivua tu.
Hizi story za uvunaji ngozi ya binadamu zilikuwa ni matukio halisi ya ukweli au ni story za uzushi tu uliokuwa unavuma kutoka pande moja ya nchi kwenda nyingine(urban myth) ?
Hizi story za uvunaji ngozi ya binadamu zilikuwa ni matukio halisi ya ukweli au ni story za uzushi tu uliokuwa unavuma kutoka pande moja ya nchi kwenda nyingine(urban myth) ?