Ni kweli kuwa Diamond anamuogopa King Kiba???

Status
Not open for further replies.
Watoto halali au haramu?
 
Umejibu kishabiki.......kuhusu tigo kudhamin fiesta hiyo hoja haina mashiko mbona kesho anaenda kufanya show zanzibar iliyozaminiwa na cjui halotel.....ukweli jamaa ashaanza kuwa muoga
Biashara ni makubaliano so siyo lazima kila deal ku-sign.
 
You are so brave aseeeeee.Hongera sana kwa kujitambua.
 
WHO IS ALIKIBA....??? wewe Sikia ALIKIBA anauchu na Tuzo ndo maana ALIJIPENDEKEZA....FIESTA mkataba wa Diamond upo waziii,Pili Fiesta haikuwa na Hela ya kumlipa Diamond,ndo Maana Alijaza Mashabiki Nigeria kama yupo Tanzania......Show za FIESTA NI level ya kina Rayvanny na Harmonize sio DIAMOND SHOW hela Laki 2 Diamond na Band ile mtawalipa nini????

Alikiba aNa kitu gani cha kuogopwaa watoto wengi kuwa nao ndo aogopwe au? Kwa vile anaishi k/koo kwenye nyumba ya kupanga ndo aogopwee???

Alikiba Mashabiki wake Mnaaumia sanaaa Kiuhalisiaaa msanii wenu badooo....Agopwe kisaaa Kingereza hajui anajua tuu you know au? Aogopwe kisaa alikuwa anachekwa kwenye interview au aogopewe nini? Aogopwe kisa hajawahi kuwa nominated BET au aogopwe na nini???? Aogopwe kisaaa KANYE WEST hamjui au agopewe nini.....

Msanii hata Burundi hawamjui aogopewe nini??? Alikiba wakugombea Tuzo na SHETTA mtoto wa juzi huyu???? Alikiba hata YOUTUBE hawamtambui ataogopewa na nini
 
Jamani kwenye ukweli semeni ukweli Ali kiba na Diamond hawafanani na mashabiki wanataka kulazimisha ....Ali Kiba ajipange kimziki ili aweze kumfikia Diamond akikaa awasikilize mashabiki wake wanamlostisha ...Diamond keshapiga hatua sana....next level
 
Wamemaliza kumtukana WizKid ndio wamehamia JF, haya mambo mengine bhana!!!
 
www lodilofa una smat kaz kupigia picha za uchi,kisa cha mondi kutokwenda fiesta xo kiba n mkataba wa voda unambana na fiesta tigo ndo walichukua deal!
 
Umejibu kishabiki.......kuhusu tigo kudhamin fiesta hiyo hoja haina mashiko mbona kesho anaenda kufanya show zanzibar iliyozaminiwa na cjui halotel.....ukweli jamaa ashaanza kuwa muoga
Hehe...
Watu wengine bhana...
Unauliza swali alafu unajijibu mwenyewe...
Basi hakukua na haja ya wewe kuuliza swali...
Ungeandika tu kwa herufi kubwa,kwamba DIAMOND ANAMUOGOPA ALI KIBA...
Be straight..!
 
Like u care! Yaani mtu akitaka kutrend anaanzisha hoja ya Diamond na Kiba. HAMCHOKI?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…