Ni kweli kuwa Shaka ni mpwa wa Rais Samia? Na kama ni kweli CCM mmebariki nepotism hii ndani ya chama?

Ni kweli kuwa Shaka ni mpwa wa Rais Samia? Na kama ni kweli CCM mmebariki nepotism hii ndani ya chama?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Niko Zanzibar kutafuta namna ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu mwenyeji wangu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu mama mwamnyamazia ?

NYONGEZA........,................
Nepotism ni mbaya, inaudhi wengi na inaminya haki na fursa za walio wengi. Alipofariki Rais Magufuli wapwa zake Hery James (alikuwa paymaster general) na Dotto James (alikuwa mwenyekiti UVCCM) walifukuzwa kwenye nyadhifa zao nyeti na kupewa vyeo vya kufutia machozi. Nikadhani wanaccm mmejifunza. Sasa mbona mnarudia makosa?
 
Ridhiwani ni mtoto wa Kikwete rais mstaafu, Salma mama yake Riz1. Hussein ni mtoto wa mwinyi, Karume nao baba na mwana Marais. Sasa ajabu ya samia na Shaka iko wapi?
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Niko Zanzibar kutafuta namnq ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu bibi mwamnyamazia ?
Ukiacha Hilo je vipi ukatibu mwenezi anauweza? Kama anaweza basi tuendelee na mengine
 
Watu wengine mnashangaza Sana mawazo yenu na namna mnavyofikiri, kwa hiyo akiwa mpwa wa Rais haruhusiwi kuwa kiongozi? Akiwa mpwa wa Rais anakuwa amekosa sifa za kuwa kiongozi? Akiwa mpwa wa Rais Hana haki ya kuteuliwa ? Kwa hiyo akili yako na mawazo yako maana yake mpaka leo George bush au Uhuru kenyata wasingefika walipo kiuongozi na kuwa Marais wa nchi zao kwa kuwa baba zao walikuwa Ni marais,. Hillary Clinton asingefika alipofika kiuongozi kwa kuwa mume wake alikuwa Rais. Acha mawazo mfu na ya kizamani, kinachoangaliwa ndani ya CCM Ni uwezo wa mtu kiuongozi katika kumudu mujukumu ya nafasi husika pamoja na sifa alizonazo kiuongozi kiujuzi kielimu kiuzoefu kitaaluma na mambo mengine Kama hayo. Ndani ya CCM haiangaliwi Dini ya mtu au kabila la mtu au ukoo wa mtu au fedha za mtu au sura ya mtu au ukanda wa mtu.Hakuna ubaguzi wa aina hiyo ndani ya CCM na ndio maana CCM inaendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania na kuwa kimbilio la wanyonge,. Ndani ya CCM yeyote anaweza kuwa kiongozi ikiwa amekidhi sifa na vigezo vya nafasi anayoomba bila kujari Hali yake ya kiuchumi,hakuna ubaguzi ndani ya CCM ndio maana watu wanatimiza ndoto zao bila shida yoyote Ile Wala vizingiti vya kibaguzi Kama ilivyo katika vyama vingine.
 
Niko Zanzibar kutafuta namnq ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu bibi mwamnyamazia ?
giphy.gif
 
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Jibu swali, ni "mpwa" wake au sio mpwa wake?
 
Niko Zanzibar kutafuta namnq ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu bibi mwamnyamazia ?
Ikulu sahivi ni ya Wazimbar tupu
 
Watu wengine mnashangaza Sana mawazo yenu na namna mnavyofikiri, kwa hiyo akiwa mpwa wa Rais haruhusiwi kuwa kiongozi? Akiwa mpwa wa Rais anakuwa amekosa sifa za kuwa kiongozi? Akiwa mpwa wa Rais Hana haki ya kuteuliwa ? Kwa hiyo akili yako na mawazo yako maana yake mpaka leo George bush au Uhuru kenyata wasingefika walipo kiuongozi na kuwa Marais wa nchi zao kwa kuwa baba zao walikuwa Ni marais,. Hillary Clinton asingefika alipofika kiuongozi kwa kuwa mume wake alikuwa Rais. Acha mawazo mfu na ya kizamani, kinachoangaliwa ndani ya CCM Ni uwezo wa mtu kiuongozi katika kumudu mujukumu ya nafasi husika pamoja na sifa alizonazo kiuongozi kiujuzi kielimu kiuzoefu kitaaluma na mambo mengine Kama hayo. Ndani ya CCM haiangaliwi Dini ya mtu au kabila la mtu au ukoo wa mtu au fedha za mtu au sura ya mtu au ukanda wa mtu.Hakuna ubaguzi wa aina hiyo ndani ya CCM na ndio maana CCM inaendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania na kuwa kimbilio la wanyonge,. Ndani ya CCM yeyote anaweza kuwa kiongozi ikiwa amekidhi sifa na vigezo vya nafasi anayoomba bila kujari Hali yake ya kiuchumi,hakuna ubaguzi ndani ya CCM ndio maana watu wanatimiza ndoto zao bila shida yoyote Ile Wala vizingiti vya kibaguzi Kama ilivyo katika vyama vingine.
Tatizo lenu hamna akili ya kuelewa hoja ya mleta mada.

Mleta mada Sexless anazungumzia nepotism. Je, mnaelewa maana ya nepotism au mnakurupuka tu mifano yenu isiyokuwa na kichwa wala miguu.
Unatoa mfano wa George Bush Junior, Uhuru Kenyatta, Hussein Mwinyi nk. Je, George Bush Junior aliteuliwa na baba yake kugombea urais wa Marekani?
Je, Uhuru Kenyatta aliteuliwa na baba yake marehemu Jomo Kenyatta kugombea urais wa Kenya? Au Hussein Mwinyi aliteuliwa na baba yake Ali Hassan Mwinyi kugombea urais wa Zanzibar?

Jibu ni dogo na rahisi. Hapana. Sababu wakati wanagombea urais wazazi wao hawakuwepo madarakani.
Lakini, kwa issue ya Shaka ni tofauti. Samia yupo madarakani kama Rais na mwenyekiti wa chama halafu anamteua ndugu yake kushika wadhifa mkubwa ndani ya chama, hiyo ndiyo inaitwa "nepotism", kupeana nafasi za kazi au kupandishana vyeo au kuteuana kindugu. Hii ndiyo hoja ya mleta mada.

Sasa turudi kwenye hoja ya msingi, Je, Shaka, ni kweli ni mpwa wa rais Samia?

Na kama ni kweli, Je, uteuzi wake siyo nepotism??
 
Niko Zanzibar kutafuta namnq ya kuufanya mkono uende kinywani. Katika stori mbili tatu kagusia kuwa Shaka ni mpwa wa rais Samia.

Nimestushwa sana na hiyo kitu ambayo mwenyeji wangu ananiambia kuwa kwa hapa Zanzibar inajulikwna na kila mtu.

Hebu ndugu wadau nijuzeni. Habari hii nanyi mnayo? Mbona hamuisemi? Ina afya kwa chama na taifa? Kwann haikemewi ndani na nje ya chama? Kwann tunaruhusu nepotism hii?

Jiwe alimuweka mpwa wake kuwa paymaster general. Tukapiga kelele kwa pamoja japo hatukufanikiwa kuzibua masikio ya yule bwana. Sasa mbona huyu bibi mwamnyamazia ?
Haijalishi kama ni mpwa au wana uhusiano gani, kinachoangaliwa ni weledi wa mtu aliyeshika nafasi husika.

Kama Shaka ana vigezo vya kushika nafasi yake na kachaguliwa kihalali hapo kuna shida gani?

Kama Samia ana sifa za kushika wadhifa alionao na kachaguliwa kihalali hilo nalo lina shida gani?

Ingekuwa mtu kapewa nafasi kwa kigezo cha undugu pekee ilhali hana sifa za kushika nafasi hiyo hilo lingeleta shida.
 
Haijalishi kama ni mpwa au wana uhusiano gani, kinachoangaliwa ni weledi wa mtu aliyeshika nafasi husika.

Kama Shaka ana vigezo vya kushika nafasi yake na kachaguliwa kihalali hapo kuna shida gani?

Kama Samia ana sifa za kushika wadhifa alionao na kachaguliwa kihalali hilo nalo lina shida gani?

Ingekuwa mtu kapewa nafasi kwa kigezo cha undugu pekee ilhali hana sifa za kushika nafasi hiyo hilo lingeleta shida.
Ndio maana nchi haiongozwi. .inasubiri Neema ya Mungu tu.
 
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Nani kamtoa kwenye KIFUNGO cha kufukuzwa KAZI YA UKATIBU WA CCM MKOA MOROGORO kwa RUSHWA ya kumpata MEYA aliyopewa na MWENYEKITI MAGUFULI na KUMPA UKATIBU MWENEZI?
 
Ni mpwa au sio mpwa wake??
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha Lami,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa ndani ya CCM tangu enzi na enzi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwapo tangu enzi za chipukizi,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa katibu Mkuu wa UVCCM Taifa chini ya Mkt Herry James,

Shaka Hamdu Shaka amekuwa Katibu wa Mkoa wa Morogoro,
===
Shaka Hamdu Shaka amekuwako kwenye Siasa hata kabla ya Rais Samia kujiingiza fully kwenye Siasa toka Private Sector,

Leo kujadili na kumjadili Shaka Hamdu Shaka kuwa ni mpwa wa Rais Samia au Sio ni Uzwazwa kama Uzwazwa ulivyo,

Shaka Hamdu Shaka hajaletwa na Rais Samia kwenye Siasa bali kakutwa na Rais Samia akiwa mahiri na hodari sana kiasi cha kutamani amsaidie katika nafasi hii ya "Uenezi wa Chama "

#Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Back
Top Bottom