Ni kweli kwamba Profesa Janabi hajawahi kusomea wala kuwa Daktari Bingwa wa Moyo?

Ukiipitia hyo CV yake inatosha kabisa mwenda kugombea huko, japo kushinda itategemea na ambao atashindana nao.
 
Mkuu samahani, naomba kuuliza.

NI nani alisema janabi Ni daktari bingwa ea magonjwa ya moyo, au nani alisema janabi anatibu watu moyo, au nani alishawai kutibiwa na janabi moyo?

Au ni zile clip zake zinakuchanganya?
 
Kuna mtu hapo nimemuuliza swali jepesi anajua fellowship ya cardiology inachukua miaka mingapi na inahusu nini hajajibu .

Hapo ndio nilipocheka na kufunga mjadala maana naona nitajadiliana na mtu ambaye mada imemzidi kimo.
Watu wanabisha ila Hata Fellowship hawajui maana Yake...
Wanahisi Fellowship Ni Course ya miezi sita..
Ile Ni kwenda Kula Mashule Wangapi hawafiki Huko?
 
🤣🤣 ndo maana Nimekuuliza Unajua Ulichokuwa unakisema..
FEllowship zinaanzia Miaka 2 Mpaka 10 inategemea Na Aina Ya Fellowship..
Sasa hayo mafunzo maalumu yenye Miaka mimgi ndo tunaita Fellowship..🤣🤣🤣
Hapana.
Kuna fellowship nyingi sana za miezi mpaka mwaka mmoja tu. Hutegemea professional, taasisi, na malengo. Hazina muda mahususi wa kufanana. Urefu wa muda wa mafunzo hauamui mafunzo kuitwa fellowship. Hakuna uhusiano wowote kati ya muda wa mafunzo na hayo mafunzo kuitwa fellowship.
 
Hayo mavyeo sijui wanayapataga wapi
 
Ngoja sasa nikusaidie jibu ni jepesi.

Mtu mwenye leseni ya NAPLEX akifika Tanzanzia anapractice moja kwa moja bila mtihani wowote atakachoapply ni ile registration ni kama $75.

Ila mtu mwenye leseni ya PCTZ akija US lazima afanye training kadhaa upya na lazima afanye application na kufanya NAPLEX ndio ataruhusiwa kupractice.
 
Hii nakubaliana na wewe,mfano Dokta Kamugisha utamkuta hospitali zote hizo
 
Ndugu yangu achana na conclusion za namna hiyo, hizo ni conclusion za kilayman sana. Wagonjwa wangapi wako wametibiwa na dr wa urusi na wangapi wametibiwa dr wa muhumbiri then ukaja na hitiimisho kwamba dr wa urusi ni mbovu kuliko dr wa tanzania!
 
Watu wanabisha ila Hata Fellowship hawajui maana Yake...
Wanahisi Fellowship Ni Course ya miezi sita..
Ile Ni kwenda Kula Mashule Wangapi hawafiki Huko?
Ni ajabu sana anayehoji ubora wa elimu ya U.S ndio mtu ambayo nchi kuna kozi ilianzisha inaitwa ADDO kama sikosei nilishangaa eti mtu anasoma mwezi mmoja na anaruhusiwa kufanya dispensing ya dawa like serious??
 

Mkuu, kwa maelezo yako haya, hakuna atakayepinga kwamba wewe siyo Daktari Mbobezi wa Watoto Njiti kwa sababu, uliofanya kwanza MMED (Paed) kisha Fellowship ya Neonatal.

Kwa Prof, hakuna mahali kwenye CV yake panaonyesha alifanya kwanza MMED (Internal Medicine) kabla ya kufanya Fellowship ya Moyo ili kuwa Daktari Mbobezi wa Moyo (Super Specialist) kama anavyotambulika. Na ndiyo Hoja ya mtoa mada.

Tujitahidi kumuelewa mtoa mada, kwa tija ya mjadala wetu na kunifanya jukwaa (JF) kuendelea kuwa kisima cha maarifa.

Naamini, wengi wataelewa ngazi/hatua za Taaluma ya Udaktari na baadhi yao kuhamasika kusoma Udaktari kwa namna moja ama nyingine.
 
Hapana Mkuu!
Janabi kafanya vyote..
Janabi kasoma MD, Mmed (Internal medicine Specified In tropical Medicine)

Kaja Akafanya Fellowship ya Cardiology Na akafanya reseaexh na study kibao mpaoa Kufikia Alipo We Jiulize Fellowship alifanya mwaka 2001 kama sijakosea sana Sasa Mpaka Leo study ngapi kafanya..

Mleta mada ana Chuki binafsi na Janabi nimewahi kueleza Humu kuhusu Janabi tangu mwaka jana
 
Fellowship Ya Moyo Ikiambatana na MMED ya Internal medicine..

Yes Inafaa Kumpa mtu Jina la Daktari Bingwa Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo..
 
Mlikuwa wapi siku zote hizo anatibu watu mkijua kabisa siyo dkt wa moyo mbwa nyie?mkiambiwa hamna akili mnakataa!!
 
Nitajie Fellowship Moja tu ambazo Inatolewa kwa Miezi au Mwaka mmoja..
Niko tayari Kujifunza..
Karibu
 
Ni ajabu sana anayehoji ubora wa elimu ya U.S ndio mtu ambayo nchi kuna kozi ilianzisha inaitwa ADDO kama sikosei nilishangaa eti mtu anasoma mwezi mmoja na anaruhusiwa kufanya dispensing ya dawa like serious??
Elimu Ya USA ni elimu Ambayo Iko Very practical Kuliko Yetu Nimekaa Kule..
Ukimaliza Zako MD haugusi Mgonjwa Bila Kufanya Residency angalau ya Miaka mitatu ambayo Huku Tunaita MMED..Au attending Dr.. yaani Ili upate Medical Licences lazima Ufanye Residency..

Elimu yao Ni Very practical Daktari aliyesomea USA yuko Vizuri Kuliko aliyesomea Tz
 
Mimi siwezi kutetea upumbavu; lakini kwanza hebu twende taratibu?
1. Kwa nini umemhusisha na ubingwa wa magonjwa ya moyo? Kajitangaza hivyo yeye mwenyewe au vipi. Eleza hili kwanza limetoka wapi, halafu tutaendelea na mengine.
Katika nafasi hiyo ya WHO hawatafuti mtu mwenye sifa za ubingwa maalum wa matibabu.

2. Je, huyu ni daktari ( anayo shahada yoyote ya udactari); hata bila kuwa na huo "ubingwa wa moyo"?

3. Sita tetea chochote cha kuvunga vunga katika maswala ya elimu popote; kwa hiyo kama anadai kisicho kuwa halali, hiyo ni sababu ya moja kwa moja kumwondoa na kumdharau.

Hata hivyo, inaonyesha ujuha mkubwa sana kudhani kuwa Tanzania itakuwa na haki ya kupewa tena hiyo nafasi, kwa sababu ya yaliyo tokea. Huu ndio ujinga wenyewe. Tunapeleka uswahili wetu hadi kwenye maeneo yasiyo hitaji uswahili. Tunajiaibisha sana.

Lakini nilisikia akijisifu mwenyewe, kuwa alimfanyizia mtihani huyo marehemu aliye poteza uhai, na nadhani hata mke wake vile vile. Hilo pekee linaonyesha ulimbukeni.

hakuna anaye pinga mTanzania kujitosa tena kutafuta nafasi hiyo, lakini isitegemewe kuwa kutakuwepo na upendeleo maalum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…