JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,392
- 1,578
- Thread starter
- #21
Ni wajibu wa CRDB Kuhakikisha hili suala kama lipo basi wachukue hatua za haraka na kulisitisha mapema iwezekanavyo ili kutokupoteza wateja,ulimwengu wa sasa sio wa kujibana ktk mazingira hayo utakosa wateja wengi sana kwa Tanzania ya sasa