Lissu na ule mtumbo wake anafaa kwa lipi?Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Kama anachukizwa na Hijab amuombe rafiki yake Kitima ampe parokia akawe Katekista.Akiona hijab ya sharifa roho inamuuma
Tundu Antipas Lissu deserves to eat that frog.Lissu na ule mtumbo wake anafaa kwa lipi?
50% ya wanachama awakumuunga mkono Lissu. Atafukuza wote awa?Kwa demokrasia ya kiafrika kama kwenye kampeni na harakati ulikuwa katika upande ulioshindwa, ni ngumu kuendana na upande uliokuwa unaupinga ingawa ulishinda. Busara ndogo tu ni kuamua kujitoa. Pia busara kubwa zaidi ni kuzika tofauti za kampeni baada ya uchaguzi ili mambo yaende sawa
Dini ipo wapi hapo? Lissu hamjashambulia mwe yekiti mstaafu Mbowe?Dogo, huna hoja hata moja. Ni udini tu
Hawezi nani? Hawezi nini?Hawezi
Mjamaa alikuwa na chuki kubwa sana na Lissu mara tu baada ya Lissu kutangaza anawania uwenyekiti wa chama.Hayo maneno ya Ngurumo unayahakiki vipi?
Unaweza kukuta huyo Erythrocyte ndio Sharifa mwenyewe😁Erythrocyte unasemaje juu ya tetesi/tuhuma hizo?
Nyumbu yupo CCM, mzee anatoa data za mwaka 1970 kuna mtu humo kweli.Nasikia Pambalu anachukua nafasi yake
Hawa nyumbu bana
We Mzee wasira umri umesonga, achia vijana wafanye kazi.... kazi na umri.Team lisu hatuna presha.team fisadi kubali asali imeisha zoea kujitegemea sio kuishi kama kunguni.
Perege anamlaje chura?Tundu Antipas Lissu deserves to eat that frog.
CCM au CHADEMA wenzake?Haters......Lissu atawalaza na viatu
hata kama hawakuchaguliwa? Ni sawa na serikali ya kidikteta inaposema haitaki kuungukwa na wapinzaniMwenyekiti wa chama lazima azungukwe na watu alio comfortable kufanya nao kazi katika ngazi zote.
Viongozi wote walikuwa wanaharakati,uanaharakati ni kuwa na msimamo na jambo fulani.Lissu sio Kiongozi, ni mwanaharakati. Na harakati Moja ikiisha huanzishwa nyingine just for the sake of public attention
Huu ni umbea wa like tu kwani katiba inaweka wazi namna ambavyo viongozi wanatolewa.Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Huyo Ngurumo ni team Mbowe, bado ana vidonda, hawezi kumuongelea vizuri Lisu.Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Kweli aisee.....yaani ndani ya Chadema kuna wanachama hawako tofauti kwa roho mbaya na ccmHuyo Ngurumo ni team Mbowe, bado ana vidonda, hawezi kumuongelea vizuri Lisu.