Lissu ni mtu wa kukurupuka anataka kupigiwa magoti na kila kiongozi ndani ya CDM.Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea M/kiti @TunduALissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi. Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
100% perfectViongozi wote walikuwa wanaharakati,uanaharakati ni kuwa na msimamo na jambo fulani.
Mtalala na viatu hadi akili ziwaruke......kubalini yaishe.Lissu ni mtu wa kukurupuka anataka kupigiwa magoti na kila kiongozi ndani ya CDM.
Uwenyekiti wenyewe alikurupuka sahv Hana pesa ya kuendesha chamaLissu ni mtu wa kukurupuka anataka kupigiwa magoti na kila kiongozi ndani ya CDM.
Wabongo wengi ni watu wa kuchukua maneno na kukimbia nayo sana, bila ya uhakiki hata wa msingi kabisa.Ndio nashangaa, yaani Sharifa mwenyewe hajasema ila mtu aliye uhamishoni ndio anakuwa source? Ajabu sana
Kukanusha ni kusema hii habari si ya kweli, ni ya uongo.Umekanusha na kusema kwamba hii habari sio ya uhakika.
Ili habari iwe ya uhakika inatakiwa Kiranga atumie njia zake anazojua kuihakiki ndio habari inakuwa ya uhakika.
Ngurumo aliyetumiwa ujumbe na source iliyoenda kwa mwenyekiti alichoripoti sio cha uhakika mpaka Kiranga ahakiki.
Dunia ina maajabu sana!
Halafu mwenyewe anajiona ana uwezo mkubwa sana wa kuwachota watu.Mjamaa alikuwa na chuki kubwa sana na Lissu mara tu baada ya Lissu kutangaza anawania uwenyekiti wa chama.
Sasa maneno kama haya kutoka kwa mtu mwenye chuki za wazi wazi na Lisuu wanawachanganyaje?
Hivi Ngurumo bado anafanya Nini Ughaibuni,mbona wenzake walirudi! Nimeanza kumfuatilia hivi karibuni naona kam amepagawa...yaelekea alikuwa kunguni wa Mbowe!Hayo maneno ya Ngurumo unayahakiki vipi?
Ngurumo kama muandishi wa habari alitakiwa kumtafuta Lissu, kumsikiliza anasemaje, na kuripoti upande wake pia.Hivi Ngurumo bado anafanya Nini Ughaibuni,mbona wenzake walirudi! Nimeanza kumfuatilia hivi karibuni naona kam amepagawa...yaelekea alikuwa kunguni wa Mbowe!
Huyo amekalia kuti kavu unataka kumletea majanga😁Erythrocyte unasemaje juu ya tetesi/tuhuma hizo?
Zoea hiyo... Zoea hiyo... Zoea hiyoooo🤣🤣🤣Team lisu hatuna presha.team fisadi kubali asali imeisha zoea kujitegemea sio kuishi kama kunguni.
Si kweli.Anaandika Ngurumo kwenye X.
Nimepigiwa simu na BAWACHA waliomtembelea Mwenyekiti Tundu Lissu jana. Ujumbe: "Tulienda kwa upendo, lakini tumeondoka na hisia za visasi.
Uongozi mpya haumtaki Sharifa, eti hafai. Tayari njama za kumng'oa zimeanza. Soon, wataanza kampeni hiyo mikoani. Hii si haki!" Kaeni chonjo!
Soma Pia: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Kama kweli Lissu anataka kufanya haya ataua hiki chama.
Nyerere hakuwa mwanaharakati?.Lissu sio Kiongozi, ni mwanaharakati. Na harakati Moja ikiisha huanzishwa nyingine just for the sake of public attention
Aliyetupa hatari ni Ngurumo ameitoa kwa chanzo chake ambacho kilikuwa sehemu ya tukio.Kukanusha ni kusema hii habari si ya kweli, ni ya uongo.
Mimi sijasema hivyo.
Nimesema hii habari haijahakikiwa.
Unaelewa tofauti?
Nimekwambia uhakiki wa kimantiki wa sources zaidi ya moja, huu si wa Kiranga.
Kwa nini unapenda ubishi kwenye jambo lililo na objective standard?
This is a simple matter of objectivity and verification.
Why are you making this about Kiranga?
That is ad hominem fallacy.
Do you know and care about verification?
Or are you one of those fake news spreaders who are here to push a certain narrative regardless of thefacts?
Huu ni ushahidi moja kwa moja kuwa alikuwa hamtaki.SharifaMjumbe wa Mkutano Mkuu wa BAWACHA. Kama unataka na wewe, au mwanamke mwenzako anayefaa nae apate fursa za uongozi bungeni au kwenye udiwani miaka ijayo, nakushauri upige kura ya mabadiliko kwenye Uchaguzi wa BAWACHA kesho na Uchaguzi Mkuu wa chama tarehe 21 Januari.
Ni kura ya mabadiliko pekee itakayoondoa umalkia katika ubunge na udiwani wa viti maalum katika chama chetu. Ni kura ya mabadiliko pekee itakayohakikisha wanawake wengine nao wanapata fursa za kuwa wabunge na madiwani wa viti maalum.
Celestine Malley-Simba ameweka msimamo wake wazi kwamba atapiga kura ya mabadiliko tarehe 21 Januari. Na mimi namuunga mkono; lakini mimi sio mpiga kura kesho, na wala viti maalum havinifaidishi mimi binafsi.
Wewe uliye mpiga kura wa BAWACHA kesho na viti maalum vya ubunge na udiwani vinakuhusu, nenda kaunge mkono mabadiliko ndani ya chama chetu. Piga kura yako kwa Celestine Malley-Simba kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA.
MANENO YA LISSU
Yule Halima aliyemchagua ujumbe wa sekretarieti ya kamati kuu ni mkristo?Kachaguliwa na nani? Labda kwa sababu shariffa muislam. Na yeye katika safu yake hataki waislam hasa hijab
Kale kamama kaliposhinda kakawahi kusema kanamuunga mkono mbowe tena kwa mbwembwe na msimamo wake ni huo hakamuungi mkono lissu hata kidogo sasa mtu km huyo unafanyaje nae kazi si bora awekwe pembeniKama ana uwezo mdogo atolewe tuu.