Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Hapo ndio tujue kocha kakaa kimaslahi zaidi.Mkuu hata juzi kule Twitter nilisema Kati ya mawaziri wenye akili kubwa ni mh lukuvi Leo nashangaa Tena haya ya hangaya Nadhani utendaji wake ulio tukuka ndio umemgalimu, Nadhani namba anayo icheza inawezekana uwezo allo uonyesha umetishie kibaluwa cha kocha hivyo iri kibaluwa vha kocha kiwe na uhai niladhima lukuvi asepe
Dah! Nimepamis shambaKila Zama na kitabu chake imeisha hiyo... View attachment 2073903
Utake usitake kukosewa ama kupatiwa kwa teuzi hizo lazima zilete athari kwako either positively or negatively
Tuanzisheni mchakato wa kumuondoa Samia kikatiba ya CCM kwani anaonekana wazi wazi kwamba hana nia nzuri na nchi yetu mishipa ya shingo inamtoka jukwaani akisisitiza atakopa atakopa Rais gani wa nchi anasimama jukwaani kulilia kwenda kuyavaa mabenki ya nje kukopa??,,, kumtoa Lukuvi wizara ya ardhi kweliii??? Nape kumbe kujipendekeza kote kule ilikuwa ni dili la uwaziri na Ridhiwani pia waziri ama kweli Tanzania sasa imeisha
Angalieni utumbo wa teuzi za Tanesco kwenye ulaji na leo ardhi ambako umiliki wa ardhi wa vigogo ilikuwa ishu nzito leo Lukuvi kaondolewa ili Samia awafurahishe wahalifu
Kiufupi Samia hatufai na mjadala sasa uwe huo
Kijana uliingia JF oktoba 2021 umekuja mumtetea Lukuvi ambaye JPM alimwambia hawezi kuwa Rais b'se Nini Age ameshazeeka
Mkuu kama umekasirika piga ngumi ukuta au kama zimezidi sana vunja vunja vipande vya chupa unywe.
hii picha inamaana kubwa sanaaaaaa kwangu.... AHSANTEKila Zama na kitabu chake imeisha hiyo... View attachment 2073903
Shida sio mama, tatizo ni walio nyuma ya mama..
Wanamjaza hofu mnoo mama! Hadi anakosa utulivu! Sjui kina nani hawa! Ndio usalama wa Taifa au vigogo flani hapo CCM?
kila tunavyosonga mbele ndivyo hofu inamjaa mama hasa ya 2025! Yaani nasikitika hao walionyuma ya mama wanamfanya awaze zaidi 2025 kuliko yampasayo sasa!
#MPUMZISHENI MAMA!
Anatarajia kugombea urais 2025?Shida sio mama, tatizo ni walio nyuma ya mama..
Wanamjaza hofu mnoo mama! Hadi anakosa utulivu! Sjui kina nani hawa! Ndio usalama wa Taifa au vigogo flani hapo CCM?
kila tunavyosonga mbele ndivyo hofu inamjaa mama hasa ya 2025! Yaani nasikitika hao walionyuma ya mama wanamfanya awaze zaidi 2025 kuliko yampasayo sasa!
#MPUMZISHENI MAMA!
Hahaaaa. Au akapige naye pichaMkuu kama umekasirika piga ngumi ukuta au kama zimezidi sana vunja vunja vipande vya chupa unywe.
Visasi havina faida hata kidogo.Mi mtu kama wewe ni baadhi ya mizanzibar inayofuraia ushenzi wa katili
Kama ni ukweli hauwezi kukusaidia kwa njia yoyote ile.Wala sio ubaguzi mzee, huo ni ukweli tu. Usiogope.
Anaenda kuwa Spika wa Bunge1 Nchi yetu kupata maendeleo ya kweli, mpaka watu wote wenye wivu kwa watu wachapa kazi watakapoacha kuzaliwa!
2. Ili nchi yetu ifikie maendeleo ya kweli, tunapaswa tupate katiba itakayotoa mwongozo wa wananchi wenyewe kuwakataa wazembe na kuwakingia kifua wote wachapakazi na wapenda maendeleo katika nchi yetu
3. Ili nchi yetu tupate maendeleo ya dhati, nashawishika kusema, hata mgombea wa uraisi wananchi ndio watoe mapendekezo ya nani wanafikiri anaweza kupeperusha Bendera kutoka kwenye vyama vyao, hii itasaidia kuondoa hira za watu wachapa kazi!
Sifahamu njia bora itakayotumika kwa urahisi kufanyika hilo,
Watu wote wenye ndoto kubwa na Tanzania huwa wanaishia kufukuzwa chama, ama kufanyiwa mizengwe ili tu wasifikie huko, hasa wenye misimamo ya kweli isiyo yumba kuhusu ukweli wa haki za wananchi
Ndiyo, Tumekuwa na mawaziri wengi, ila Mh Lukuvi amekuwa zaidi ya waziri
Mh Lukuvu, popote ulipo, watanzania wanajua, dunia inajuwa kwamba wewe, ni mmoja kati ya watu wachache wenye uwezo Mkubwa wa kuchapa kazi na kusimamia kwa nguvu zote haki za wananchi
Wayahudi wakamuuliza Herode, Kwa nini umeamlisha Msalabani kuandikwe, Huyu ndiye mfalme wa wayahudi,?
Herode akasema, Lililoandikwa limeandikwa!
Mh Lukuvu, Kilichoandikwa juu yako, hakitajarisha chichote katika safari yako,Ni sharti kitimie, Mungu akubariki kwa kazi yako njema na kubwa sana kwa nchi yako unayoipenda kwa moyo wako wote!!
Nakupenda Tanzania nitakulinda kwa nguvu zangu zote!
Ni zamu ya Zanzibar kula lkeki ya taifaBusiness as usual
Wadanganyika tupo kwenye usingizi wa pono.
Kama kawaida yetu yaani.
Katiba ni mbovu sn hiiNaomba ile nidhsmu ya uwoga ituishe sasa,
Mawaziri hawawezi kupitisha miswada mibovu ya serikali, Ni wakati wa wabunge sasa kusimamia haki bila kuogopa ukubwa wa vyama, miradi mibovu yote pigeni chini hata kwa kura ya wazi!
Umekariri mkuu...Kama ni ukweli hauwezi kukusaidia kwa njia yoyote ile.