Ni kweli mawazari tunao wengi, ila Mh Lukuvu ni zaidi ya waziri, kuna mtu anaogopa kufunikwa....

Hapo ndio tujue kocha kakaa kimaslahi zaidi.
Ipo siku muda utazungumza tu....!
 
Samia anatumia jinsia yake kutaka kuendelea ongoza.
Akipita 2025 tutajua hatujui
 
Aise, mkuu kalikalanje, yanasikitisha sana matrndo ya huyu mwanamke, najua wabara tukisimama bila woga kampeni ya kumng'oa uyu mwanamke katili ni rahisi sana atakuwa chali
 
Kuna waru wanaonekana wageni umu JF baada ya kula ban wanakuwa wamerudi tena.
Hawa ni wenyeji sana umu jf zaidi hata ya babako.
Kijana uliingia JF oktoba 2021 umekuja mumtetea Lukuvi ambaye JPM alimwambia hawezi kuwa Rais b'se Nini Age ameshazeeka
 
Asante kwan umemalizia vizuri
 
William Lukuvi anafaa kuwa Spika,aombe nafasi hiyo,Chama chake kitampitisha ,ana uzoefu mkubwa kwenye masuala ya Bunge na Serikali
 
Anatarajia kugombea urais 2025?
 
Anaenda kuwa Spika wa Bunge
 
Naomba ile nidhsmu ya uwoga ituishe sasa,

Mawaziri hawawezi kupitisha miswada mibovu ya serikali, Ni wakati wa wabunge sasa kusimamia haki bila kuogopa ukubwa wa vyama, miradi mibovu yote pigeni chini hata kwa kura ya wazi!
Katiba ni mbovu sn hii
 
#SAMIA HATUFAI , NI MMJOJA KATI YA WAHUNI TUNAOPASWA KUWAKATAA.
 
Wapigaji dili kwenye ardhi wana raha ya ajabu. Labda Lukuvi alizidisha sana ukweli. Alichoma sana mioyo ya mafisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…