Pre GE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

Pre GE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chawa kakosa hoja,sawa

Utachelewa sana uteuzi chawa kisa huna hoja
Uteuzi wa kitu Gani??

Unataka kuonesha kwenye siasa kumzuia mtu ni kupiga kura tu.

Tunaposema CCM inaiba kura huwa inaibaje kura. Si huwa tunasema Magufuli alivuruga uchaguzi. Kwa ivo Magufuli alikuwa kwenye kila kwenye kila kituo cha kupiga kura!!??
 
Tuna mengi sana nchini ya kujadili sio personality na ugomvi was watu!

Kwamfano!

"Wakati wanajeshi wakilinda mipaka ya nchi yetu,wanasiasa walipaswa kulinda rasilimali za nchi yetu,je ulinzi wa rasilimali zetu unaridhisha!!!?
Kwa 400 tons of Gold kutoroshwa keenda UAE sidhani kama wanajali
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Lini Msigwa alikuwa na siasa Kali?
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
sasa za ndani ya Chadema, za EFF ya malema na Together for the Republic ya M.Katumbi zinafanana sana....

ni harakati za kusita sita tu, mpaka inafika mahali haieleweki wanataka nini na haijulikani wanaelekea wapi, na hatimae uchaguzi unafika wanafanya vibaya mno, kwa malumbano yasiyo isha na yasiyo na maana 🐒
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Hili swali lako ni tetesi au ni "confirmed infos" na kwa hiyo umeuliza Ili tulijadili?

Kama ni tetesi, bora ungekaa nazo tu maana peke yako huko ndani.

Kwa sababu the fact is always kuwa CHADEMA ni chama cha mrengo harakati za kisiasa za ukombozi. Freeman Mbowe ndiye mwanaharakati namna Moja.

Mpaka hapo unaweza kuona kuwa hisia zako za "inasemekana kuna ugomvi" ni butu sana zenye uelekeo wa kichonganishi zaidi..
 
kama ni kweli nitakuwa upande wa Mbowe angalau unaweza hata kumsikiliza akiongea yuko composed na katulia plus ana support base kubwa ya wachaga na wameru ambao ndio uti wa mgongo wa chadema …
 
Heshima ya JF haitegemei ninachoandika.

Kwa ivo akitajwa Mbowe ndiyo wengine tunageuka chawa!!
Usiandike mambo ambayo level yake haiendani nayo. Wewe position yako ni ku philosophize, si kukopi na ku paste mambo ya kutoka mitaani.................nisamehe labda nakuweka kwenye dirisha ambalo si lako
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe kuwa hawataki ndani ya viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya Sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Tupe uthibitisho
 
Back
Top Bottom