Pre GE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

Pre GE2025 Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inawezekana .

hao uliowataja ndio vichwa vya siasa ndani ya chadema.
Mbowe ana misimamo yake lakini hana uwezo wa kujenga siasa za mageuzi kwa awami hii ya siasa za kina JK, Makamba, Kinana na wanaófanana nao.
Mbowe hana tofauti na JK na Samia katika siasa.

Sasa utafanyaje uchaguzi katika siasa ya mirengo inayofanana?

Ni lazima sasa ifikie mahali tujenge mifumo na mirengo tofauti ya kisiasa ili wahuni na majizi yaungane bila kujali vyama na Wazalendo kama akina Lisu wawe upande mwingine.
Na kwa sasa Chadema sio mali ya mbowe bali mali ya Wanachama wote.
Hofu ya Mbowe na kundi lake ni kuona kuwa Watanzania wengi wanamuelewa Lisu zaidi na wanamkubali sana.

Dr.Slaa alikua ndiye kichwa cha siasa za Mageuzi ndani ya Chadema .

Kama Katiba mpya ni mpaka 2026 basi uchaguzi uwe 2027chini ya katiba mpya . Amani ya nchi yetu ma uhuru wa Tanganyika ni muhimu kuliko ushindi wa mtu mmoja kutoka mashariki mbali .

Kwa Sasa Lisu ni Mwana maguzi halisi .
Mbowe hakuwezi kucheza na aili za watanzanzania . Siasa za Mbowe kwa sasa hazina uelekeo mana
Mbowe asitoke pale, manaccm yanataka kuvuruga chama. Angalia wanaopiga kelele wote ni CCM
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Hiyo mimba yako inataka ukwaju!
 
Pole mkuu, maana naona CDM inakutesa sana japo imekupa ajira kupitia kuwa chawa wa upande mwingine.
Ila mkuu sikukuona kwenye mjadala wa marehemu kulamba teuzi badala ya nyie chawa
check vizuri 🐒
 
Kuhusu Lema nakataa. Huyo ni mtoto wa nyumbani hawezi kukataliwa na Mbowe. Hao wengine wafukuzwe na nafasi zao zichukuliwe na kina Mushi, Kimaro, Shirima na Kweka.
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Kama ni kweli. Afadhali kumbe wanatupigia kelele na mitusi juu wakati hawana chao chamani, safi sana. Kazi iendelee.
 
Heshima ya JF haitegemei ninachoandika.

Kwa ivo akitajwa Mbowe ndiyo wengine tunageuka chawa!!
Ndiyo ni chawa Kwa kuwa haujatuambia Chanzo Cha taarifa za Mbowe kutowataka hao. Unasema umesikia nani kasema? Kama kusikia wote tumesikia kama ulivyosema ila tunataka kauli za wasiotakiwa waseme siyo wewe, au aseme Mbowe kuwa hawataki.
 
Kama ni kweli. Afadhali kumbe powanatupigia kelele na mitusi juu wakati hawana chao chamani, safi sana. Kazi iendelee.
Tumia akili zako kupokea taarifa huyo kasikia kama wewe. Halafu unasapoti na kuanza kuwaponda. Akili za kushikiwa
 
Mbowe asitoke pale, manaccm yanataka kuvuruga chama. Angalia wanaopiga kelele wote ni CCM

Kwa sasa Chadema ni Chama kikubwa na kina watu makini sana hata Mbowe akistaafu na kuwa miaongoni ya Wajumbe wenye nafasi maalumu katika maamuzi ya kichama chama kina watu waliomwaga damu zao.

Wapo akina Heche , Lisu, Lema , ambao kwa hakika wanakijua Chama .
Mbowe anaweza akabaki kama mjumbe na mwanachama lakini asibaki kwenye uenyekiti.
Ni rahisi kuangalia chama kwa jicho la juu juu na kuona kuwa Mbowe anafaa mpaka Chama kiingie madarakani lakini Kuna hatari kubwa sana kwani chama kinaanza kuonekana kama mali ya mtu badala ya taasisi.
Hakuna Mweyekiti anayeweza kupata nafasi kwenye chama kikubwa kama Chadema halafu akiuze. Mrema alisalitiwa na wenzake ambao walijiona ni wasomi hawawezi kuongozwa na Mrema. Ilikua ni vita ya madaraka ndani ya Chama CCM hua wanakoleza tu vurugu lakini vurugu zinaanzia ndani ya Chama.

Wanasiasa wote wanafanana.
Kuna wanasiasa wanaharakati kama Lisu ,Mwabukusi ,Dr. Slaa n.k. Na kuna wanasiasa wanaopenda madaraka na kuwa na heshima popote wanapokuwa . Kuna wanasiasa wanawaza maslahi binafsi . Haya makundi yapo kwenye vyama vyote . Ukichunguza sana utaweza kunaini alipo Mbowe. Chama kinahitaji siasa tofauti na wakati wowote uliopita kutokana na makosa waliyoyafanya ya kupoteza uelekeo uliokuwa umekijengea heshima kubwa ya kupambana na Mafisadi . Wakati wa JPM chama kikaingilia vita vya mafisadi na magufuli ndani ya CCM na kujikuta wanawapa CCM nafasi ya kuitangaza Chadema kama Chama cha kupingapinga.

Awamu hii ndiyo awamu sahihi kabisa iliyoletwa na Mungu ili Chadema kiingie madarakani kuteleleza sera ya kupambana na mafisadi kwa sababu CCM ilipoteza nafasi ya kupambana na Mafisadi ikabaki kupambana na Demokrasia na vyama vya upinzani pamoja na mazuri aliyofanya Magufuli akajikuta anawapa mafisadi nafasi ya kupumua na kutengeneza njama zao dhidi ya watu waadilifu .

Mbowe anachotakiwa ni kuacha Demokrasia ifanye kazi kwa uwazi. Chadema ikiendelea kuingilia michakato ya kidemokrasia ndani ya chama kwa kisingizio cha kuwaita watu fulani kuwa ni wasaliti tutakuja kuzalisha taifa la ajabu sana.

Kauli ya Usaliti kwa wale wanaotofautiana kisiasa ni kauli mbaya na ya hatari sana. Chadema wanapaswa kuiacha haraka sana .
Kauli hiyo ilitolewa na JPM kama Kauli ya kusimamia misimamo yake dhidi ya mafisadi na wezi lakini ikapokekewa tofauti na watu ndani ya mifumo fulani na kujikuta inagharimu usalama wa Baadhi ya wanasiasa akiwemo Lisu.

Kauli ya usaliti imekua ikiwaumiza sana baadhi ya wanasiasa ndani ya Chadema na wengine kujikuta wanakosa hata marafiki kwa hofu ya kuitwa wasaliti . Sio kauli nzuri. Hata kusema kuwa kuwa hakuna mtu anayeweza kukiongoza kwa sasa chama Chenye wanachama zaidi ya milioni Nane wengi wakiwa vijana sio kauli ya kujenga. Ni kauli za watu wasio na dira. Haina tofauti na kauli ya CCM kuwa kwa sasa hakuna kama mama .

Chadema kinapaswa kuwaaminisha wananchi kuwa kwa sasa Chadema kuna watu wengi wenye uwezo wa kuongoza chama kwenda mbele zaidi na wajitokekeze kugombea nafasi mbali mbali ikiwemo uenyekiti. Hapo ndipo tunapoweza kuwaona wenye uchu wa madaraka na wenye kutumwa na CCM na mawakala wengine kwa sababu wataanza kukosa adabu na wengine kujionyesha wazi tabia zao na hapo wanachama wenyewe watawaaibisha kwa kuwanyima kura.

Demokrasia ya kweli kamwe haiwezi kuangusha Taasisi. Vyama hata CCM vinakwepa demokrasia kwa sababu ya kuweka mbele maslahi binafsi ya kakundi kadogo.

Hata Mbowe akigombea mara mia moja ni sawa mana suala la ukomo halimaanishi ndiyo demokrasia . La hasha . Demokrasia ni Uongozi unaotokana na watu kwa haki na uwazi . Pawe na demokrasia ya kweli na uchaguzi wa wazi na wa haki na kampeni ziwe wazi na midahalo ya wazi bila kuwatusha wengine au kuwapa majina mabaya ya usaliti ndani ya Chadema .
Neno usaliti linaweza likasababisha mtu akapigwa mawe na wananchi jambo ambalo ni hatari sana .
 
Kwa sasa Chadema ni Chama kikubwa na kina watu makini sana hata Mbowe akistaafu na kuwa miaongoni ya Wajumbe wenye nafasi maalumu katika maamuzi ya kichama chama kina watu waliomwaga damu zao.

Wapo akina Heche , Lisu, Lema , ambao kwa hakika wanakijua Chama .
Mbowe anaweza akabaki kama mjumbe na mwanachama lakini asibaki kwenye uenyekiti.
Ni rahisi kuangalia chama kwa jicho la juu juu na kuona kuwa Mbowe anafaa mpaka Chama kiingie madarakani lakini Kuna hatari kubwa sana kwani chama kinaanza kuonekana kama mali ya mtu badala ya taasisi.
Hakuna Mweyekiti anayeweza kupata nafasi kwenye chama kikubwa kama Chadema halafu akiuze. Mrema alisalitiwa na wenzake ambao walijiona ni wasomi hawawezi kuongozwa na Mrema. Ilikua ni vita ya madaraka ndani ya Chama CCM hua wanakoleza tu vurugu lakini vurugu zinaanzia ndani ya Chama.

Wanasiasa wote wanafanana.
Kuna wanasiasa wanaharakati kama Lisu ,Mwabukusi ,Dr. Slaa n.k. Na kuna wanasiasa wanaopenda madaraka na kuwa na heshima popote wanapokuwa . Kuna wanasiasa wanawaza maslahi binafsi . Haya makundi yapo kwenye vyama vyote . Ukichunguza sana utaweza kunaini alipo Mbowe. Chama kinahitaji siasa tofauti na wakati wowote uliopita kutokana na makosa waliyoyafanya ya kupoteza uelekeo uliokuwa umekijengea heshima kubwa ya kupambana na Mafisadi . Wakati wa JPM chama kikaingilia vita vya mafisadi na magufuli ndani ya CCM na kujikuta wanawapa CCM nafasi ya kuitangaza Chadema kama Chama cha kupingapinga.

Awamu hii ndiyo awamu sahihi kabisa iliyoletwa na Mungu ili Chadema kiingie madarakani kuteleleza sera ya kupambana na mafisadi kwa sababu CCM ilipoteza nafasi ya kupambana na Mafisadi ikabaki kupambana na Demokrasia na vyama vya upinzani pamoja na mazuri aliyofanya Magufuli akajikuta anawapa mafisadi nafasi ya kupumua na kutengeneza njama zao dhidi ya watu waadilifu .

Mbowe anachotakiwa ni kuacha Demokrasia ifanye kazi kwa uwazi. Chadema ikiendelea kuingilia michakato ya kidemokrasia ndani ya chama kwa kisingizio cha kuwaita watu fulani kuwa ni wasaliti tutakuja kuzalisha taifa la ajabu sana.

Kauli ya Usaliti kwa wale wanaotofautiana kisiasa ni kauli mbaya na ya hatari sana. Chadema wanapaswa kuiacha haraka sana .
Kauli hiyo ilitolewa na JPM kama Kauli ya kusimamia misimamo yake dhidi ya mafisadi na wezi lakini ikapokekewa tofauti na watu ndani ya mifumo fulani na kujikuta inagharimu usalama wa Baadhi ya wanasiasa akiwemo Lisu.

Kauli ya usaliti imekua ikiwaumiza sana baadhi ya wanasiasa ndani ya Chadema na wengine kujikuta wanakosa hata marafiki kwa hofu ya kuitwa wasaliti . Sio kauli nzuri. Hata kusema kuwa kuwa hakuna mtu anayeweza kukiongoza kwa sasa chama Chenye wanachama zaidi ya milioni Nane wengi wakiwa vijana sio kauli ya kujenga. Ni kauli za watu wasio na dira. Haina tofauti na kauli ya CCM kuwa kwa sasa hakuna kama mama .

Chadema kinapaswa kuwaaminisha wananchi kuwa kwa sasa Chadema kuna watu wengi wenye uwezo wa kuongoza chama kwenda mbele zaidi na wajitokekeze kugombea nafasi mbali mbali ikiwemo uenyekiti. Hapo ndipo tunapoweza kuwaona wenye uchu wa madaraka na wenye kutumwa na CCM na mawakala wengine kwa sababu wataanza kukosa adabu na wengine kujionyesha wazi tabia zao na hapo wanachama wenyewe watawaaibisha kwa kuwanyima kura.

Demokrasia ya kweli kamwe haiwezi kuangusha Taasisi. Vyama hata CCM vinakwepa demokrasia kwa sababu ya kuweka mbele maslahi binafsi ya kakundi kadogo.

Hata Mbowe akigombea mara mia moja ni sawa mana suala la ukomo halimaanishi ndiyo demokrasia . La hasha . Demokrasia ni Uongozi unaotokana na watu kwa haki na uwazi . Pawe na demokrasia ya kweli na uchaguzi wa wazi na wa haki na kampeni ziwe wazi na midahalo ya wazi bila kuwatusha wengine au kuwapa majina mabaya ya usaliti ndani ya Chadema .
Neno usaliti linaweza likasababisha mtu akapigwa mawe na wananchi jambo ambalo ni hatari sana .
Umeongea point .Mwaka huu ndo utaamua kwamba cdm ni chama cha familia au cha wananchi .tutajua kwenye uchaguzi
 
Kwenye hivi vyama hakuna kinacho shindikana sio ccm au upinzani kote kumejaa wababaishaji tu
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Wewe umesikia wapi?
 
Kuna uvumi mkubwa sana ndani ya CHADEMA kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe hawataki ndani ya chama viongozi wenzake walioko ndani ya Kamati Kuu ya sasa CHADEMA.

Inasemekana kuwa Mbowe anahisi wajumbe hao wa Kamati Kuu wana mrengo wa kuunga mkono harakati za Makamu Mwenyekiti (Tanganyika) Tundu Lissu kuifanya CHADEMA iwe na mrengo wa siasa kali.

Wajumbe hao ni Godbless Lema, John Heche, Peter Msigwa, na Ezekia Wenje ambao inaonekana Mbowe HAWATAKI.
Ngoja tuone,kule Kaskazini mumegoma kufanya uchaguzi Hadi Sasa 😁😁
 
Back
Top Bottom