Kwahiyo kura nazo hamtaki mngenyimwa fomu ingekuwaje, Lissu hana ubavu wa kusepa na kijiji kama Self hana base labda asepe na computer warriors wa ulaya.Mbowe kushinda kwa kishindo sio hoja maana ana hela za kuhonga wajumbe kadhaa, tatizo liko kwenye mvuto wake wa kisiasa kwa wafuasi wa cdm. Mbowe akishinda itakuwa kama Lipumba alivyoshinda CUF, kisha Maalim Seif mwenye ushawishi akasepa na wafuasi karibia wote.
Yericko ni Jasusi mbobevu, atafaa sana.Basi mpeni Yeriko Nyerere mtoto wa baba wa ubatizo wa Freeman Mbowe 😄
Kama Mbowe amechoka (hawezi tena kuendelea kuongoza Chadema) na Lissu sio mtu sahihi wakuachiwa Chama, sasa Chama kiongozwe na nani?Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Ni wapi sitaki kura boss, au unataka kunilisha maneno? Subiri wala usijali utaona usichotamani kukiona. Zama za Mbowe zimeshapitaKwahiyo kura nazo hamtaki mngenyimwa fomu ingekuwaje, Lissu hana ubavu wa kusepa na kijiji kama Self hana base labda asepe na computer warriors wa ulaya.
Ngoja chama kimtafute mtu sahihi.Kama Mbowe amechoka (hawezi tena kuendelea kuongoza Chadema) na Lissu sio mtu sahihi wakuachiwa Chama, sasa Chama kiongozwe na nani?
Umesema ataibiwa kura hamjiamini.Ni wapi sitaki kura boss, au unataka kunilisha maneno? Subiri wala usijali utaona usichotamani kukiona. Zama za Mbowe zimeshapita
I second thisTuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Hilo la chaguzi utakaogubikwa na pesa chafu wala hakuna mjadala. Sio suala la kutojiamini bali ndio uhalisia.Umesema ataibiwa kura hamjiamini.
Mkuu endelea vivyo hivyoFasts gani unataka kama kusoma hujui hata picha huoni anavyoropoka.
ni wiki iliyopita tu wala sio zamani, tena ilikua alhamisWakati huo nilikuwa sijamjua vizuri nimebadili mawazo baada ya kuanza kulopoka hovyo hovyo.
Yes before, ila alipoanza kuropoka naona hekima zimeanza kupungua.
Miaka mitano ni mingi sana watu hubadilikaYaani mtu aliyeaminiwa kwa 100% na Chadema kuwa;
1. Anafaa kuwa rais wa Tanzania
2. Anamudu kuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA.
Vipi tena leo ghafla baada ya kuchukua fomu za kugombea uenyekiti awe hana sifa za kuongoza CHADEMA?
Pwenti!Tuseme ukweli Mbowe kachoka miaka 20+ akiwa Mwenyekiti si mchezo ni moja ya mwanasiasa mahiri kuwahi kuongoza chama cha upinzani Tanzania ukimtoa Maalim Self.
Mbowe anamjua Lissu in and out anaijua nguvu (strength) na madhaifu (weaknesses) zake, ndio sababu ya Mbowe kutomwachia Lissu uongozi wa chama.
Lissu ni mpiga kelele mzuri tu lkn hana leadership skills, namfananisha Lissu na kiranja mkuu wa shule au nyapara wa magereza wanaochaguliwa kutokana na kelele zao.
Namshauri Mbowe baada ya kushinda tena January aanze kumwandaa mrithi wake, akishampata ashauriane na chama ajiuzulu asisubiri hadi miaka 5 iishe.
Upo sahihi kabisa baadhi ya watanzania ni machiziTukisema baadhi ya Watanzania ni Machizi tunamaanisha hawa
Lissu lazima akudatishe mwezi huu!Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.
You're a Sucker.Ni wazi Lissu si mwanachadema kiakili na kisaikoloji, kisheria ni mwanachama
Nje ya chadema hawezi kufanya siasa ambazo lissu anafanya.
Sababu kubwa 4.
1. Hakuna chama ambacho lissu ataenda kujiunga kusiwe na migogoro
2. ACT wazalendo ambaocho kidogo kina nguvu kwa upande wa Zanzibar ni siasa tofauti na za lissu. Lissu hushambulia lkn act wao wanatumia akili zaidi kuliko kushambulia
3. Lissu na team yake watataka madaraka ya juu ya uongozi kwa muda mchache jambo ni gumu.
4. CCM watambana kila atapopita katiks vyama kwa sababu ni looser yaani atakuwa kashatoka chama imara yupo chama legelege.
Hatma yake kisiasa ndio huu.