OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nilimsikia alikuwa anafanya comed ya kingereza. Yupo vizuri huyu dogo kichwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wengi mnapata stress pale mnapoletewa ngebe na HR aliepitia HKL..Hiyo kawaida kwa sisi Mathematician, ila nyie wazee wa ngeli na vishazi vikurupushi lazima mtoke patupu.
Ni mfumo wa maisha tu ndugu umeamua hivyo, ila huwa tunamshukru sana Mungu kwa tunu aliyotuzawadia, pia tunajivunia tulichonacho kichwani japo mifukoni tunaweza kuwa watupu kwa vile tunatambua Mungu hakupi vyote😭😭Ndio maana wengi mnapata stress pale mnapoletewa ngebe na HR aliepitia HKL..
Yeah uzuri wake wakiamua kusoma hawanaga stress za mambo mengine ya nje ya masomoNimewafundisha hao wakipenda shule ni wanakupa one za single digit tu
Sasa vipi kuhusu zenji pale tatizo nini 😁??? Maana nao wapo karibu na samaki wale...Nilisikia kuwa watu wanaokula samaki sana kichwa huwa wako vizuri sana sasa hivi nimeanza kuamini.
Nikiwa chuoni nilisoma na Wakerewe,Wajita,Wasukuma,Wahaya aisee hawa watu ni hatari karibia wote GPA zao wanagonga kuanzia 4.0 na kuendelea.
Na hata waliokuwa wanashika best students ukifuatilia unakutana na majina ya kanda hiyo.
Ni mfumo wa maisha tu ndugu umeamua hivyo, ila huwa tunamshukru sana Mungu kwa tunu aliyotuzawadia, pia tunajivunia tulichonacho kichwani japo mifukoni tunaweza kuwa watupu kwa vile tunatambua Mungu hakupi vyote😭😭
Labda kuna vitu vingine vinaharibu kama urojo na vinginevyo.Sasa vipi kuhusu zenji pale tatizo nini 😁??? Maana nao wapo karibu na samaki wale...
Tunapambana mkuu wengine tuna ahueni, japo kuna wenzetu wameishia kukokotoa number na kufikiri nje ya space ila kimaisha tunasema wame-differentiate constant wakapata zero.Ni kawaida tu, kwenye maisha ya kawaida haitumiki four figure wala differentiation.. Kama Mungu alikubless na kitu, atakubless na kingine. Pambana mkuu
Iwe,waguma?We kiazi ni cram sio claim.Huwezi kucram tarakimu nyingi na mchanganyiko kama hizo anazoulizwa Leonardo bila kujiandaa.
Tatizo lenu waswahili hamtaki kukubali kwamba mtu amewazidi,mtatunga kila aina ya visingizio ili kumshusha thamani.
ni mjita sio mkerewe, ingawa hayo makabila wanafanana kidogoMkerewe huyo ki asili hao huwa ni wabad sana kwenye elimu hasa upande wa science na sheria
Itakuwa matumizi ya mafuta ya nazi Yana waharibu. Elewa kwanzaSasa vipi kuhusu zenji pale tatizo nini 😁??? Maana nao wapo karibu na samaki wale...
Hazina✅️Huyo jamaa ni hadhina.
Alisema mwenyewe ni mkereweni mjita sio mkerewe, ingawa hayo makabila wanafanana kidogo
Naguma kyoma,agebiro bingi?Iwe,waguma?
sawa mkuu ni mkerewe.Alisema mwenyewe ni mkerewe