Ni kweli mchekeshaji Leornardo ana huu uwezo mkubwa wa kufikiri au kuna mtu nyuma ya kamera?

Ni kweli mchekeshaji Leornardo ana huu uwezo mkubwa wa kufikiri au kuna mtu nyuma ya kamera?

Nilisikia kuwa watu wanaokula samaki sana kichwa huwa wako vizuri sana sasa hivi nimeanza kuamini.
Nikiwa chuoni nilisoma na Wakerewe,Wajita,Wasukuma,Wahaya aisee hawa watu ni hatari karibia wote GPA zao wanagonga kuanzia 4.0 na kuendelea.
Na hata waliokuwa wanashika best students ukifuatilia unakutana na majina ya kanda hiyo.
Mbona hatuwaoni kwenye utendaji? Mimi haya mambo ya kupass shuleni eti kuwa na alama nzuri kwa Bongo Mhh..
 
Sio kawaida. Acha kujipaisha.
Hatufanani, Mungu katuumba na kututunuku tunu tofauti, hata wewe kuna unavyoweza wengine hatuwezi, mimi kwenye ulimwengu wa hisabati niko vema kidogo na wewe kuna angle yako ambayo uko njema pia.

N.B, by professional mimi ni Mathematician
 
Mbona hatuwaoni kwenye utendaji? Mimi haya mambo ya kupass shuleni eti kuwa na alama nzuri kwa Bongo Mhh..
Kwenye utendaji ni jambo lingine ndugu.
Kwenye utendaji huko wanapewa nafasi watu wanaoongea sana bila vitendo na pia wenye connection ndio wanapewa kipaumbele na sio uwezo wa kichwani.
Ila mfano mmoja wa dhahiri ambao naweza kukupa ni wa kipenzi cha watu Hayati JPM uwezo wake umeuonaje kwenye utendaji wake?sasa yule ndio aliingia kihalali kwa uwezo wake bila connection Mungu alimbariki kuingia na uwezo wake ukaonekana dunia nzima.
Sasa hapo ndio upate picha kwamba wapo watu wenye uwezo kama wa JPM lakini hawapati hiyo nafasi ya kuingia kwenye mfumo na gawajulikani kabisa.
 
Kwenye utendaji ni jambo lingine ndugu.
Kwenye utendaji huko wanapewa nafasi watu wanaoongea sana bila vitendo na pia wenye connection ndio wanapewa kipaumbele na sio uwezo wa kichwani.
Ila mfano mmoja wa dhahiri ambao naweza kukupa ni wa kipenzi cha watu Hayati JPM uwezo wake umeuonaje kwenye utendaji wake?sasa yule ndio aliingia kihalali kwa uwezo wake bila connection Mungu alimbariki kuingia na uwezo wake ukaonekana dunia nzima.
Sasa hapo ndio upate picha kwamba wapo watu wenye uwezo kama wa JPM lakini hawapati hiyo nafasi ya kuingia kwenye mfumo na gawajulikani kabisa.
Kama umefikia hatua ya kusema kuwa JPM alikuwa na uwezo basi hata hao uliosema wako vizuri kichwani ni watu wa hovyo kabisa. I mean uko serious kusema kuwa Magufuli alikuwa na uwezo wa kuongoza au upeo wa kuona mambo? Huu ni utani mbaya sana. Nyie ndiyo watu mnaosifia watu kama kina Makonda bila shaka.
 
Kama umefikia hatua ya kusema kuwa JPM alikuwa na uwezo basi hata hao uliosema wako vizuri kichwani ni watu wa hovyo kabisa. I mean uko serious kusema kuwa Magufuli alikuwa na uwezo wa kuongoza au upeo wa kuona mambo? Huu ni utani mbaya sana. Nyie ndiyo watu mnaosifia watu kama kina Makonda bila shaka.
Kabla hujaponda au kuonyesha chuki kwa mtu hebu tuoneshe uwezo wako wewe binafsi ili tulinganishe na hao uliowaponda.
Umefanya kitu gani cha maana na kikakubalika na wengi hata kwenye ngazi ya kata yenu?
 
Kabla hujaponda au kuonyesha chuki kwa mtu hebu tuoneshe uwezo wako wewe binafsi ili tulinganishe na hao uliowaponda.
Umefanya kitu gani cha maana na kikakubalika na wengi hata kwenye ngazi ya kata yenu?
Mimi nimewahi kuwa rais wa nchi au kiongozi? Na nikikuambia kuwa nafanya kazi IT consultant kwenye mambo ya security in cyber crime na nimeshawezesha wahalifu wengi kushikwa na fedha walizoiba kurudishwa, una ushahidi wa kusema kuwa nasema uongo? Jaribu kuwa more reasonable!
 
Huo mfano uliotoa ni very minor,hiyo ni kazi yako inayokupa ugali wewe na watoto wako pamoja na mkeo,na kila mtu ana utaalamu kwenye kazi yake inayompa ugali.
Ingekuwa Tanzania nzima IT inafanywa na wewe peke yako au ingekuwa wewe ndio mvumbuzi wa hiyo IT unayofanya hapo kidogo ungewashtua watu.
Labda tukiendelea na mada yetu wewe mtumishi bora anakuwa vipi kwa mtazamo wako?na je unaweza kunitajia mtumishi mmoja au wawili ambao wewe ndio unawaona wako smart nchini Tanzania?
Mimi nimewahi kuwa rais wa nchi au kiongozi? Na nikikuambia kuwa nafanya kazi IT consultant kwenye mambo ya security in cyber crime na nimeshawezesha wahalifu wengi kushikwa na fedha walizoiba kurudishwa, una ushahidi wa kusema kuwa nasema uongo? Jaribu kuwa more reasonable!
 
Back
Top Bottom