Ni kweli mchekeshaji Leornardo ana huu uwezo mkubwa wa kufikiri au kuna mtu nyuma ya kamera?

Ni kweli mchekeshaji Leornardo ana huu uwezo mkubwa wa kufikiri au kuna mtu nyuma ya kamera?

Nilisikia kuwa watu wanaokula samaki sana kichwa huwa wako vizuri sana sasa hivi nimeanza kuamini.
Nikiwa chuoni nilisoma na Wakerewe,Wajita,Wasukuma,Wahaya aisee hawa watu ni hatari karibia wote GPA zao wanagonga kuanzia 4.0 na kuendelea.
Na hata waliokuwa wanashika best students ukifuatilia unakutana na majina ya kanda hiyo.
Kama ingekua ni kweli basi wapemba wote wangekua maprofesa,wala tusingekua na wimbi la watengeza kacholi.
 
Kama ingekua ni kweli basi wapemba wote wangekua maprofesa,wala tusingekua na wimbi la watengeza kacholi.
😃😃😃😃😃Lakini hata hao wa kanda ya ziwa kuna wavuvi na wauza samaki pia haiwezekani mkoa mzima watu wote wawe matajiri ni ngumu na kumbuka pia kuna wapemba wanamiliki biashara kubwa na kumiliki magorofa kariakoo.
 
Kabla ya kuchekesha ana maisha ambayo wewe huyajui........watu vichwa
 
Back
Top Bottom