MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Samaki wa baharini wana chumvi(halite) nyingi hivyo zinadumaza ubongo.Sasa vipi kuhusu zenji pale tatizo nini 😁??? Maana nao wapo karibu na samaki wale...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samaki wa baharini wana chumvi(halite) nyingi hivyo zinadumaza ubongo.Sasa vipi kuhusu zenji pale tatizo nini 😁??? Maana nao wapo karibu na samaki wale...
kumbeSamaki wa baharini wana chumvi(halite) nyingi hivyo zinadumaza ubongo.
na uchawi pia mkuu umesahauMkerewe huyo ki asili hao huwa ni wabad sana kwenye elimu hasa upande wa science na sheria
Uchawi ni hapana wanasingiziwana uchawi pia mkuu umesahau
Hii ndio shida ya watu kukimbia hesabu binafsi sioni maajabu hapo hasa kama 35 x 35 na 35 x 37 kwenye jibu la 35 x 35 ameadd 70 chapu kupata 35 x 37...pia hizo zengine walizomuuliza zina masifuri mbele ni rahisi....
Hiyo ya mwisho imemshinda akasema namba mbili za mwisho na nmba moja ya kwanza whichi kwa mtu wa hesabu nayo ni kawaida.
After all jamaa yuko vzr.
dogo anajua ....Nimetafakari sana nikajikuta nacheka tu bila sababu. Hivi huyu Leonardo ana huu uwezo mkubwa wa kudadavua hesabu za kuzidisha namna hii? Ama ni vile Clouds wameamua ku-create content kwa lengo la kuteka attention za watu?
View attachment 2990672
Naona wachekeshaji wengi wana proffesional zao,ukiwaondoa hawa wakina mpoki na yule kutwa kuhifanya demanaclaim tu,sasahvi ni mchekeshaji ila professional yake ni engeneer
Familia kapotezwa... Haamini anachokiona.. 😂Familia😂
hazina=HazinaHadhina = hazina
Umemjibu vyema. Mswahili kukupa compliment labda awe ndugu yakoWe kiazi ni cram sio claim.Huwezi kucram tarakimu nyingi na mchanganyiko kama hizo anazoulizwa Leonardo bila kujiandaa.
Tatizo lenu waswahili hamtaki kukubali kwamba mtu amewazidi,mtatunga kila aina ya visingizio ili kumshusha thamani.
Halafu itakusaidia nini? hesabu zako utazitumia wapi???wakati wasiojua hesabu wala kusoma ..ndiyo wenye hela na wanajua kuhesabu hela tuVitu vya kawaida hivyo. Kwa sie tuliosoma na akina Joseph kabila, ile four figure ipo kichwani yote sio kwa kukariri bali kuelewa. Kwenye kuzidisha kuna mbinu nyingi ukihitaji kujua nitafute kwa wakati wako nikupe misingi itakayokuwezesha kutoboa.
We're not talking about money counting, bitch you don't have even half of what I make per day.Halafu itakusaidia nini? hesabu zako utazitumia wapi???wakati wasiojua hesabu wala kusoma ..ndiyo wenye hela na wanajua kuhesabu hela tu
L x c lAlisema mwenyewe ni mkerewe