Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣🤣 yule wizo wangu sio mjamaa ni mshangazi uleKuna jamaa anajiita kichwa Nini sijui Kila comment yake naona cc.lamomy ni gani Tena mke wa boss ya mboka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 yule wizo wangu sio mjamaa ni mshangazi uleKuna jamaa anajiita kichwa Nini sijui Kila comment yake naona cc.lamomy ni gani Tena mke wa boss ya mboka?
🤣🤣🤣🤣 sasa dada sijakuona na mtu pekee wa kujua ulipo ni bro GUna kiranga wewe mtoto😅😅😅😅nakuzoom tu
Mnatuchora mfyuuu!! Mnaamka pamoja halafu mnajifanya hamjuani 🤣🤣🤣Ofcozz Kuna vitu vinanikeep busybusy ila nikiwa loose na pop in😁
MnoBasi wewe ni wa thamani sana jirani.
🤣🤣🤣🤣 Kwa sababu anajua unamzinguaNamuona anavyozuga tu hapa 🤣🤣🤣
Sijamzingua kweli nilikuwa serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa sababu anajua unamzingua
Tuko kwaresma tumefunga bwana😁Sijamzingua kweli nilikuwa serious 🤣🤣🤣
Huenda maana bikira ili iyo🤣🤣🤏Mi bikra 😜
Wee wizo una nn lakiniii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimwi ungekuwa unaenezwa kwa ngono, nusu ya watanzania wote wangekuwa na miwaya.
You must realize, this is a well crafted propaganda to entrap the gullibe into an ARV medical net.
Plus, watu waone kwamba mbona nilifanya na muathirika wa UKIMWI sijaambukizwa sababu ya ARV.
Hii inathibitisha kwamba (to the advantage of pharmaceuticals):
1. UKIMWI NA VVU ni gonjwa la zinaa.
2. UKIMWI unaponywa na ARV.
3. Wenye UKIMWI wabugie ARV.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nahudumia ndoa yangu jamani, niko bize mnoo muda wote namlambalamba baba tamu na kumbebisha awwwwhhhh[emoji3059][emoji3059] [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee pekee ako ndo huna uduguuu.Mxiewwww!! Wizo nimecheka kwa sauti ya dharau huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu na baba tamu zenu!! Kupatwa kwa wizo
Jamaniii hii ni kweli au ndo mnataka na kupunguza unyanyapaa kwa watu wenye HIV?HUjaelewa upande upi cocastic?
Kiukweli Wengi huwa wnahisi Ni kama utani au Tunavutia watu..
Ila kiukwel mimi nimefanya kazi CTC kwa muda Mrefu sana couple nyingi sana tumeziona zikiwa hivyo na ziliishi kwa muda mrefu hivyo..
Pia wengi tu Huwa wanaendelea kuishi hivyo na tunawapima mara kwa mara kwa Index Testing..
Na hata Study za Index Testing Tanzania pia zipo unaweza ukazitafuta utakuta watu wenye wenza wenye maambukizi wapo wengi tu ila wenyewe hawana maambukizi
Ukimwi ungekuwa unaenezwa kwa ngono, nusu ya watanzania wote wangekuwa na miwaya.
You must realize, this is a well crafted propaganda to entrap the gullibe into an ARV medical net.
Plus, watu waone kwamba mbona nilifanya na muathirika wa UKIMWI sijaambukizwa sababu ya ARV.
Hii inathibitisha kwamba (to the advantage of pharmaceuticals):
1. UKIMWI NA VVU ni gonjwa la zinaa.
2. UKIMWI unaponywa na ARV.
3. Wenye UKIMWI wabugie ARV.
Coca!Jamaniii hii ni kweli au ndo mnataka na kupunguza unyanyapaa kwa watu wenye HIV?
Yanawezekana kweli hayaa??
Kile ni kitu kingine kabisa, wala sio ngono.I second you aseee
Kwa vurugu nazofanya kuanzia September hadi December haupo kwenye ngono. Naomba kuishia hapa
Hivi dokta nafsi yako haikusuti unapowapa watu yale madonge ya ARV wakayabugie?Coca!
Ni kweli na nimeyashuhudia kwa macho na kuyaishi kuyaona..
Mimi sio wa kuyasoma nimehudumia wagonjwa wenye hizo hali kwa muda mrefu na nakuhakikishia Ni kwwli kwa 100%