Faiza wewe najua ni mtu mzima sasa nakushangaa sana unapokuwa kama mtoto
Uliniuliza swali halafu kabla ya kukujibi nilitaka muongozo wa namna ambavyo nitakujibu,hujanijibu maswali yangu ambayo majibu yako yangenipa muongozo ili nikujibu na matokeo yake unaniuliza tena mimi swali,huu ni utaratibu gani wa majadiliano?
Jibu maswali niliyokuuliza ili tuendelee au kama hutaki kujibu nitakuwa nimeishia hapa kwenye mjadala huu mimi na wewe!
Hakushindwa bali kwasababu Mungu wangu hajipingi wala habadiliki badiliki kimaamuzi aliamua kuziheshimu sheria zake alizoziweka kwani alisema kwamba hakuna dhambi ambayo haitaadhibiwa kwasababu kuadhibu ni kutoa stahiki na kutoadhibu ni kuvunja sheria yake mwenyeweEiyer we mungu wako alishindwa kuwasamehe madhambi mpaka akaamua kujitoa roho yake mwenyewe..
Soma sifa za Mungu wangu anapotaka kusamehe madhambi. .
Quraan As-shuaraa.
وَهُوَ الَّذِي يَقْبَلُ التَّوْبَةَ عَنْ عِبَادِهِ وَيَعْفُو عَنِ السَّيِّئَاتِ وَيَعْلَمُ مَا تَفْعَلُونَ
Naye ndiye anaye pokea toba kwa waja wake, na anasamehe makosa, na anayajua mnayo yatenda. Eiyer Mungu wa Kweli Hana haja ya Kufa ili wewe usamehewe, yeye anatoa amri tu mambo yakawa.
Wewe achana na utoto wangu, hiyo ni sifa kubwa sana unanipa.
Jibu hoja, kama hauna majibu kaa kimya. Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
sifa za mungu wenu
1. wa upendo
2. mwenye nguvu
3. mjuzi wa yote
4. muweza wa yote
4. mponyaji
6. mwokoaji
lakini kwanini dunia yetu haionyeshi kuna nguvu inaconotrol hayo yote watoto wadogo wanafanyiwa ukatili wa ajabu, majanga ya kutisha, vita kila siku global warming at alerming rate bado ajali zinaua hata wachungaji.
Hakushindwa bali kwasababu Mungu wangu hajipingi wala habadiliki badiliki kimaamuzi aliamua kuziheshimu sheria zake alizoziweka kwani alisema kwamba hakuna dhambi ambayo haitaadhibiwa kwasababu kuadhibu ni kutoa stahiki na kutoadhibu ni kuvunja sheria yake mwenyewe
Pamoja na hilo,Mungu wangu alisema yeye ni hakimu wa haki na ni Mungu mwenye huruma,isingewezekana kufanya kimojawapo bila kutumia njia aliyoitumia
Kwasababu Mungu ni wa huruma na ni hakimu wa haki lakini pia aliahidi kila dhambi ataiadhibu na kwasababu ni hakimu wa haki na kwasababu alitupenda zaidi wanadamu aliamua aadhibiwe yeye kwa makosa yetu ili tuwe huru
Kama unataka maelezo mazuri kuhusu hili soma mada ...
Mungu wako ni hakimu wa haki na ni mungu mwenye huruma?
Hakushindwa bali kwasababu Mungu wangu hajipingi wala habadiliki badiliki kimaamuzi aliamua kuziheshimu sheria zake alizoziweka kwani alisema kwamba hakuna dhambi ambayo haitaadhibiwa kwasababu kuadhibu ni kutoa stahiki na kutoadhibu ni kuvunja sheria yake mwenyewe
Pamoja na hilo,Mungu wangu alisema yeye ni hakimu wa haki na ni Mungu mwenye huruma,isingewezekana kufanya kimojawapo bila kutumia njia aliyoitumia
Kwasababu Mungu ni wa huruma na ni hakimu wa haki lakini pia aliahidi kila dhambi ataiadhibu na kwasababu ni hakimu wa haki na kwasababu alitupenda zaidi wanadamu aliamua aadhibiwe yeye kwa makosa yetu ili tuwe huru
Kama unataka maelezo mazuri kuhusu hili soma mada ...
Mungu wako ni hakimu wa haki na ni mungu mwenye huruma?
Wewe unamjuwa Mungu? wewe unalijuwa sanamu la mzungu lililovishwa nepi unaloliabudu.
Hapo sasa.
Haki maana yake nini kwa mtazamo wako?Unapomjadili Mungu wangu tafadhali usiniandikie jina lake ukaanza na "m".
Ndio Mungu wangu ni Hakimu wa Haki Na Ni mwenye Rehema Na Huruma.
Sasa leta maswali yako ya mtego.
Hakuna kitu cha ajabu sana duniani kama mtu anapoamua kuwa mjinga kwa hiyari yake mwenyewe
Kwanini unaniwekea maneno mdomoni?
Niulize mimi namjua Mungu ama simjui na huyo Mungu ninaemjua ni yupi na sio kujilisha ujinga tu!
Wewe achana na utoto wangu, hiyo ni sifa kubwa sana unanipa.
Jibu hoja, kama hauna majibu kaa kimya. Wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Huyu mzungu mnaemuabudu mlio mvisha nepi vipi?
Tazama usivyokuwa na haya, unaibadili biblia kwa mkono wako, kuna "Jesus" kwenye hiyo aya ya 6? hata Wakristo wenzako wakiisoma watakushangaa jinsi unavyojaribu kuichakachuwa Biblia kijinga kabisa.
Hoya quote context ujione ulivyo juha:
Revelations 21: 1-8
1 And I saw a new heaven and a new earth: for the first heaven and the first earth were passed away; and there was no more sea. 2 And I John saw the holy city, new Jerusalem, coming down from God out of heaven, prepared as a bride adorned for her husband. 3 And I heard a great voice out of heaven saying, Behold, the tabernacle of God is with men, and he will dwell with them, and they shall be his people, and God himself shall be with them, and be their God. 4 And God shall wipe away all tears from their eyes; and there shall be no more death, neither sorrow, nor crying, neither shall there be any more pain: for the former things are passed away. 5 And he that sat upon the throne said, Behold, I make all things new. And he said unto me, Write: for these words are true and faithful. 6 And he said unto me, It is done. I am Alpha and Omega, the beginning and the end. I will give unto him that is athirst of the fountain of the water of life freely. 7 He that overcometh shall inherit all things; and I will be his God, and he shall be my son. 8 But the fearful, and unbelieving, and the abominable, and murderers, and whoremongers, and sorcerers, and idolaters, and all liars, shall have their part in the lake which burneth with fire and brimstone: which is the second death.
This is not Jesus speaking but rather the Father. As it says I will be his God and he will be my son. Or does Jesus have a son now?
Ndiyo maana ulikuwa unaweka manamba badala ya aya? ulijuwa hapa huchomoki.
Na kama hiyo ya Kiingereza haikutoshi hii hapa ya Kiswahili:
1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena.
2 Nami nikauona mji ule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.
3 Nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atafanya maskani yake pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.
4 Naye atafuta kila chozi katika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena; kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.
5 Na yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi akasema, Tazama, nayafanya yote kuwa mapya. Akaniambia, Andika ya kwamba maneno hayo ni amini na kweli.
6 Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
7 Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar
Hapo kwa kuchakachuwa kwako maneno ya biblia kama uko mahakama ya Kanisa hukumu yako ni nini?
Unasikitisha sana. Hivi ndivyo mnavyodanganyana na ndivyo unavyodangaya wenzako humu?
Ngija Mkristo mwenzako aje kukusaidia na awe mkweli, kama yu amfata Kristo.
Eiyer njoo msaidie Ishmael tumembamba anachakachuwa biblia. Ndiyo sababu alikuwa anaweka manamba hataki kuweka aya, kuiweka kuiona haikidhi matakwa yake akatia maneno yake kwenye biblia. Aibu kubwa sana.
Ishmael fanya toba ya ukweli la sivyo hutouona "uzima wa milele", njoo kwenye haki, amini tu kuwa Yasu ni mtume wa Mwenyeezi Mungu kama walivyo mitume wengine, huna haja ya kuchakachuwa biblia kupoteza wenzako na kujipoteza mwenyewe kwa ajili ya kutafuta ushindi wa kubishana. Elimika, fanya toba, Shahadia kuwa hapana Mungu apasae kuabudiwa ila mmoja tu na Muhammad ni mtume wake, kama ilivyo kwa Yesu, Ibrahim, Mussa, Daud, Ishaqa na wengine wengi. Kubali usamehewe, bila hivyo huna ujanja.
Haki maana yake nini kwa mtazamo wako?
Huruma ni nini kwa mtazamo wako?
Nataka nikuulize swali kutokana na maoni yako wewe kuhusu yote hayo mawili ndio maana nimekuuliza hayo maswali,hivyo basi nijibu ili nikuulize swali!
Sasa we unauliza vitu ambavyo hata maana yake Hujui?
Au unataka kurefusha uzi kwa maswali ya kitoto?
We mtu mzima unauliza nini maana ya haki?
Eiyer ubarikiwe sana mkuu,binafsi nimekusoma na kupata mambo mazuri mengi hapo,na hasa hapo mwisho jinsi Mungu alivyosolve equation ya kumuokoa binadamu bila kutangua adhabu bali kuitimiliza kwa kumtumia Yesu,na ndio maana siku ya kiama wale wasiokubali dhabihu ya mwana wa Adamu (kwa makusudi) wataibeba adhabu wenyewe.Nimekupata uzuri sana,pamenigusa hapo mno.Nina jambo moja la kuuliza humu wana jf tujadili.Hivi wana jf,tunaelewa nini tunaposikia maneno haya matatu:wema,uovu na haki?
Dini ya kweli ni Islamic tu nyingine ni biashara.