Ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara?

Niteseke maisha yenyewe mafupi haya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Niteseke maisha yenyewe mafupi haya πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
See! I told ya, being an average joe in relationships kwa dunia yetu ya leo ambayo Girls are exposed kwenye lavish lifestyle ni ngumu. As you said hakuna anaependa maisha magumu na shida hazizoeleki πŸ˜….

The bottom line, no matter una mapenzi ya dhati kiasi gani, tafuta hela, mapenzi bila pesa ni magumu nyie πŸ˜‚πŸ˜‚ tutakuonea huruma tu.
 
Kwakweli umemaliza kila kitu πŸ€—
 
Hayatabiliki..
 
Jamani [emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji119],, inawezekana my friend trust me [emoji855]
UWONGO. maisha yetu yanaongozwa na external forces kuanzia mitazamo ya wazazi, ndugu, jamaa na wazazi mfano ukiwa na demu mbaya utafanya kila liwezekanalo watu wasimjue kwa hofu ya kuchekwa.

Let's back kwa nyinyi dada zetu mliokulia Mjini mshatengeneza mtazamo mwanaume anatakiwa kuwa na pesa tena kwa bahati nzuri uwe umejaliwa uzuri ndio utaona Mwanaume masikini kama trash yaani takataka.
 
Aisee πŸ˜ƒπŸ˜ƒ, basi sawa πŸ˜ŒπŸ™Œ
 
Bila pesa watoto wazuri utaishia kuwaita mashemeji na mimi siku nikizipata nitatembeza bakora aisee wanawake wamenidharau sana
JamaniπŸ˜ƒπŸ˜ƒ,, usikamie sana hivyo usije unapata pesa nguvu za kiume zimeisha sijui utafanyajeπŸ˜‚( am kidding πŸ™ƒπŸ™ƒ)
 
Your browser is not able to display this video.

Ni kweli.
 
Kwa hiyo mtoa mada una maanisha unawajua wanawake vizuri kwa kupitia mfano wa mama yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…