Ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara?

Ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara?

I’m telling you Lee, mambo hayo wanayaweza wenzetu wazungu, (loving unconditionally) kibongo bongo pesa/mali inaplay part kubwa sana kwenye mapenzi, hasa kwenye dunia ya leo.

Nakupa mfano mmoja relevant kabisa.

Kuna mwanaume X anakupenda kwa dhati ila ni fukara, ungaunga, kwangu pakavu kabisa, na anapambana kujitafuta.

Then at the same time kuna mwanaume Y, he’s super fine anakupenda kwa dhati sana na alishajipata kitambo sana kimaisha, ana kugharamia na kukuspoil on different good ways.

Ebu tuambie which way will you go, just be honest 😅.
Niteseke maisha yenyewe mafupi haya 😂😂😂🙌
 
Niteseke maisha yenyewe mafupi haya 😂😂😂🙌
See! I told ya, being an average joe in relationships kwa dunia yetu ya leo ambayo Girls are exposed kwenye lavish lifestyle ni ngumu. As you said hakuna anaependa maisha magumu na shida hazizoeleki 😅.

The bottom line, no matter una mapenzi ya dhati kiasi gani, tafuta hela, mapenzi bila pesa ni magumu nyie 😂😂 tutakuonea huruma tu.
 
See! I told ya, being an average joe in relationships kwa dunia yetu ya leo ambayo Girls are exposed kwenye lavish lifestyle ni ngumu. As you said hakuna anaependa maisha magumu na shida hazizoeleki 😅.

The bottom line, no matter una mapenzi ya dhati kiasi gani, tafuta hela, mapenzi bila pesa ni magumu nyie 😂😂 tutakuonea huruma tu.
Kwakweli umemaliza kila kitu 🤗
 
Naombeni mnipe majibu, ni kweli mwanamke hawezi kumpenda mwanaume fukara? Lakini mbona baba yangu alipendwa na mama yangu akiwa hana kitu, mimi nimezaliwa Mpaka nafikia umri wa kujitambua nimekuta baba yangu anaishi kwao, yaani kwenye nyumba ya wazazi wake nayo ilikuwa chumba kimoja na sebure.

Lakini mbona ndoa za uswahili asilimia kubwa zinadumu ukilinganisha na zile za ushuwani? yaani unakuta mtu anaishi na mke wake wamepanga chumba kimoja na wanaishi maisha ya kuungaunga Lakini wanadumu wanazaa watoto wanafanikiwa kujijenga na kuwa na makazi yao.

Lakini mbona mwanamke huyohuyo unaweza kumpa kila kitu na bado akaenda kumpa penzi fukara?
Hayatabiliki..
 
Jamani [emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji119],, inawezekana my friend trust me [emoji855]
UWONGO. maisha yetu yanaongozwa na external forces kuanzia mitazamo ya wazazi, ndugu, jamaa na wazazi mfano ukiwa na demu mbaya utafanya kila liwezekanalo watu wasimjue kwa hofu ya kuchekwa.

Let's back kwa nyinyi dada zetu mliokulia Mjini mshatengeneza mtazamo mwanaume anatakiwa kuwa na pesa tena kwa bahati nzuri uwe umejaliwa uzuri ndio utaona Mwanaume masikini kama trash yaani takataka.
 
UWONGO. maisha yetu yanaongozwa na external forces kuanzia mitazamo ya wazazi, ndugu, jamaa na wazazi mfano ukiwa na demu mbaya utafanya kila liwezekanalo watu wasimjue kwa hofu ya kuchekwa.

Let's back kwa nyinyi dada zetu mliokulia Mjini mshatengeneza mtazamo mwanaume anatakiwa kuwa na pesa tena kwa bahati nzuri uwe umejaliwa uzuri ndio utaona Mwanaume masikini kama trash yaani takataka.
Aisee 😃😃, basi sawa 😌🙌
 
Bila pesa watoto wazuri utaishia kuwaita mashemeji na mimi siku nikizipata nitatembeza bakora aisee wanawake wamenidharau sana
Jamani😃😃,, usikamie sana hivyo usije unapata pesa nguvu za kiume zimeisha sijui utafanyaje😂( am kidding 🙃🙃)
 

Ni kweli.
 
Kwa hiyo mtoa mada una maanisha unawajua wanawake vizuri kwa kupitia mfano wa mama yako?
 
Back
Top Bottom