Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Kaunara

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
249
Reaction score
452
Katika pitapita zangu vijiweni nilikutana na hii mada kwamba, kamba ya mtu aliyejinyongea ni dili sana kwa Polisi.

Mara nyingi mtu akijiua kwa kujinyonga huwa hatolewi hadi polisi wafike wao ndio wanamtoa na kuondoka nae pamoja na dhana zake zote.

Sasa kijiweni nikiambiwa ile kamba raia uwa wanaenda kuchukua vituoni kwa pesa mingi sana wakiagizwa na wataalamu wa jadi. Natamani kujua kuhusu hili kama ni kweli au uzushi wa kitaa?

Na inakuwa mtu anahitaji sana nini hadi aagizwe kamba kama hii? Wataalamu tupeni shule.
 

Attachments

  • Mothers-body-hanging-from-ceiling-fan.png
    Mothers-body-hanging-from-ceiling-fan.png
    135.5 KB · Views: 12
Katika pitapita zangu vijiweni nilikutana na hii mada kwamba, kamba ya mtu aliyejinyongea ni dili sana kwa Polisi.

Mara nyingi mtu akijiua kwa kujinyonga huwa hatolewi hadi polisi wafike wao ndio wanamtoa na kuondoka nae pamoja na dhana zake zote.

Sasa kijiweni nikiambiwa ile kamba raia uwa wanaenda kuchukua vituoni kwa pesa mingi sana wakiagizwa na wataalamu wa jadi. Natamani kujua kuhusu hili kama ni kweli au uzushi wa kitaa?

Na inakuwa mtu anahitaji sana nini hadi aagizwe kamba kama hii? Wataalamu tupeni shule.
Mkuu ni kweli kabisa hiyo Kamba ni dili nakumbuka kile kipindi cha sakata la Escrow nilienda kumsalimia Mama Mkubwa maeneo ya Mbezi Malamba nikamkuta Jamaa ni mtaalam wa Jadi akawa anaongea kuhusu kupata hiyo kamba na panga liloua na akawa anawasiliana na Mkubwa ambaye ndiye alikuwa anataka kufanyiwa kazi. Na yeye nikawa namsikia kwenye simu anamwambia huyo mkubwa kuipata hiyo kamba au panga kwa urahisi ni vituo vya polisi. Nadhani huwa inakuwa na namna.
 
Mkuu ni kweli kabisa hiyo Kamba ni dili nakumbuka kile kipindi cha sakata la Escrow nilienda kumsalimia Mama Mkubwa maeneo ya Mbezi Malamba nikamkuta Jamaa ni mtaalam wa Jadi akawa anaongea kuhusu kupata hiyo kamba na panga liloua na akawa anawasiliana na Mkubwa ambaye ndiye alikuwa anataka kufanyiwa kazi. Na yeye nikawa namsikia kwenye simu anamwambia huyo mkubwa kuipata hiyo kamba au panga kwa urahisi ni vituo vya polisi. Nadhani huwa inakuwa na namna.
Rubbish washirikina utawajua tu huu ni mtego, next
 
Back
Top Bottom