Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Inawezekana jamaa anayo kamba ya hivyo anajaribu kupromoti biashara.Ulivyowauliza hao hapo kijiweni walisemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana jamaa anayo kamba ya hivyo anajaribu kupromoti biashara.Ulivyowauliza hao hapo kijiweni walisemaje?
Sisiemu yangu umewapea wabongo limbwata la maji ya ItiKama ilivyo maji yaliyooshea maiti,limbwata lake huchomoki,unakuwa bwege kama maiti,nusu lita inauzwa 100000
Labda watu wasijue si watafukua...Aisee hatari!
hata mtu aliejinyonga huwa anazikwa kimila ili kuondoa mikosi kwenye ukoo na uzikwa na zana zake.
Nilishawahi kushuhudia kwa macho yangu.
Baadhi ya makabila ni zaidi ft 6Labda watu wasijue si watafukua...
Si umeona watu wanaagizwa na waganga wa jadindo raha ya uhuru wa kuongea! Fafanua zaidi
Dunia ina mambo kama wasemavyo watu pori.Kama ilivyo maji yaliyooshea maiti,limbwata lake huchomoki,unakuwa bwege kama maiti,nusu lita inauzwa 100000