Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Katika pitapita zangu vijiweni nilikutana na hii mada kwamba, kamba ya mtu aliyejinyongea ni dili sana kwa Polisi.

Mara nyingi mtu akijiua kwa kujinyonga huwa hatolewi hadi polisi wafike wao ndio wanamtoa na kuondoka nae pamoja na dhana zake zote.

Sasa kijiweni nikiambiwa ile kamba raia uwa wanaenda kuchukua vituoni kwa pesa mingi sana wakiagizwa na wataalamu wa jadi. Natamani kujua kuhusu hili kama ni kweli au uzushi wa kitaa?

Na inakuwa mtu anahitaji sana nini hadi aagizwe kamba kama hii? Wataalamu tupeni shule.
Weka na picha hata moja basi
 
Watanzania sijui tukoje ase.

Sikia mkuu,baada ya kuskia hyo mada ulipaswa kwenda kituo cha polisi kilichopobkaribu na wewe ili ujiridhishe kwa kuwauliza na hatimae uje hapa na full detailed informations
Aende kituo cha polisi akaulizie?
Kwa polisi wetu wa sasa hivi
wangemsweka ndani halafu akaonye sehemu alipomnyongea mtu.
 
Kwa maisha ya police wetu siwezi kupinga....


Kwanza ni kweli kabisa wataalamu wa jadi hitaka sana hiyo kamba na kitu chochote kile kilichohusika kuua mtu.
Iwe rungu,shoka,panga nk lazima liwe na diri.

Ziwani zinatumika sana kuliko sehem yoyote Ile Kwa wavuvi.

Nakumbuka Kuna wezi walikuwa Kwa mawe na rungu na fimbo baada ya tukio mawe yali zolewa yote wenye marungu yaliyo shiriki wakipata Hela sana.

Kwenye yowe Huwa Kuna mambo mengi sana yaan Bado mwizi au mharifu anahojiwa anamtokea mtu anasema Mme kawiza anaanza rungu la kichwa na wengine wanafata kumbe huyo mtu ana maana yake pengine kashaambiwa atafute rungu lililo UA na hajafanikiwa so akiona mtu kawekwa kati hapotezi muda ndo kajua Tyr hapa kapata issue yake na wengine lazima wafate tu kupiga na kuua kabisa!!

Pia wanaosha maiti Huwa wanqchota maji na shanga za maiti ya kike ni diri Huwa Wana wavulisha!!
 
Kamba ya mtu aliejinyonga laki 3, mchanga wa sehemu iliyotekea ajali na una damu kijiko laki, nguo ya mfungwa kipande hakizidi inch 5 laki, mchanga wa mikutano mikubwa kama ile ya ccm, kina mwamposa kijiko 10000 , maji ya maiti nusu lita 10000, sanda ya marehemu ambae tayari alishazikwa kipande laki 300000, ngozi mifupa ya marehemu kipande laki 300000....... Omba sana upate mwanamke asietumia hivyo vitu. Sorry nimepost na Kilimanjaro kichwani. Wadogo zangu wa kiume nawaombea sana bwana pepsi msikutane nae
 
Kamba ya mtu aliejinyonga laki 3, mchanga wa sehemu iliyotekea ajali na una damu kijiko laki, nguo ya mfungwa kipande hakizidi inch 5 laki, mchanga wa mikutano mikubwa kama ile ya ccm, kina mwamposa kijiko 10000 , maji ya maiti nusu lita 10000, sanda ya marehemu ambae tayari alishazikwa kipande laki 300000, ngozi mifupa ya marehemu kipande laki 300000....... Omba sana upate mwanamke asietumia hivyo vitu. Sorry nimepost na Kilimanjaro kichwani. Wadogo zangu wa kiume nawaombea sana bwana pepsi msikutane nae
 
Katika pitapita zangu vijiweni nilikutana na hii mada kwamba, kamba ya mtu aliyejinyongea ni dili sana kwa Polisi.

Mara nyingi mtu akijiua kwa kujinyonga huwa hatolewi hadi polisi wafike wao ndio wanamtoa na kuondoka nae pamoja na dhana zake zote.

Sasa kijiweni nikiambiwa ile kamba raia uwa wanaenda kuchukua vituoni kwa pesa mingi sana wakiagizwa na wataalamu wa jadi. Natamani kujua kuhusu hili kama ni kweli au uzushi wa kitaa?

Na inakuwa mtu anahitaji sana nini hadi aagizwe kamba kama hii? Wataalamu tupeni shule.
Sasa unaingia Tanzania, karibu sana na ujisikie upo nyumbani
 
Sema Watanzania tunaamini sana kwenye ushirikina.

Yaani hata leo ukifanikiwa kwa njia za kawaida (hata kam ume laghai au kuiba) hizo naita njia za kawaida maana ndo kanunia za upataji mali. Watu wataamini umetumia ushirikina(Njia ambazo kamwe huwezi toboa maisha) Yaani hela zinaingia tuu bila kuzipa njia zaidi ya ushirikina.

Na haya mambo ndo yakukemewa maana wako radhi wakunyonge ili wapate hiyo kamba wakimini inamsaada waotaka.
 
Back
Top Bottom