Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Mkuu ni kweli kabisa hiyo Kamba ni dili nakumbuka kile kipindi cha sakata la Escrow nilienda kumsalimia Mama Mkubwa maeneo ya Mbezi Malamba nikamkuta Jamaa ni mtaalam wa Jadi akawa anaongea kuhusu kupata hiyo kamba na panga liloua na akawa anawasiliana na Mkubwa ambaye ndiye alikuwa anataka kufanyiwa kazi. Na yeye nikawa namsikia kwenye simu anamwambia huyo mkubwa kuipata hiyo kamba au panga kwa urahisi ni vituo vya polisi. Nadhani huwa inakuwa na namna.
Janja ya policcm na waganga feki
 
Nyinyi ndio mna sababisha mauaji Kwa upuuzi WA kuamini mambo ya kijinga.
Shida ya watanzania wanatafuta sababu ya matatizo yao. Hata wewe unadhani umaskini wako ni sababu ya ccm. Kwaiyo unaamini ukiongea na mtoto wako habari za maisha ndo umemfundisha akafanye.
 
Back
Top Bottom