Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Ni kweli Polisi Wanauza Kamba ya Mtu aliyejinyongea Gharama sana?

Umerogwanini humu kila unayemuona unamuona km mtoto mwenzio wa 2000 na 8 si ndio?
Una makasiriko ya Ki Phaller sana We Jamaa halafu ni mara nyingi tu. Nakuona kwenye posts zangu. Mwanaume kuwa na makasiriko huo ni utoto. Kama hujui jambo tafuta njia ya kutaka kuelekezwa. Vipi kuna sehemu ipo Kamba ya mtu aliyejinyonga tupate hela ???
 
Katika pitapita zangu vijiweni nilikutana na hii mada kwamba, kamba ya mtu aliyejinyongea ni dili sana kwa Polisi.

Mara nyingi mtu akijiua kwa kujinyonga huwa hatolewi hadi polisi wafike wao ndio wanamtoa na kuondoka nae pamoja na dhana zake zote.

Sasa kijiweni nikiambiwa ile kamba raia uwa wanaenda kuchukua vituoni kwa pesa mingi sana wakiagizwa na wataalamu wa jadi. Natamani kujua kuhusu hili kama ni kweli au uzushi wa kitaa?

Na inakuwa mtu anahitaji sana nini hadi aagizwe kamba kama hii? Wataalamu tupeni shule.
Hiyo kamba ikisagwa vizuri Kisha ikachanganywa na dawa flani ya limbwata mwanamke akikutengenezea hiyo makitu siku akikukataa unajinyonga fasta!
 
Una makasiriko ya Ki Phaller sana We Jamaa halafu ni mara nyingi tu. Nakuona kwenye posts zangu. Mwanaume kuwa na makasiriko huo ni utoto. Kama hujui jambo tafuta njia ya kutaka kuelekezwa. Vipi kuna sehemu ipo Kamba ya mtu aliyejinyonga tupate hela ???
Usifikirie kilamtu anakaa kwenye makochi ya shemeji yako wengine humuwanaweza kuhudumia wewe na ukoowako mzima uwena nidhamu bwamdogo
 
Waswahili Wana misemo mingi Sanaa.
Ukiwa na kesi mahakama or elsewhere na unataka kesi yako kuimaliza.

1.Okota kile kijiti ambacho mwewe amekidondosha niki maanisha huwa Wana mtindo wa kuokota vijiti au kipande Cha mti na kupaa nacho angani akikidondosha kiwai ukichukue.

2.kuna mti UNAITWA MZIMA sijui kwa lugha yenu UNAITWAJE? Chuma kipande Cha mti wa mzima.

3. Chukua kipande Cha mti A + mti B ( mti uliodondoshwa na mwewe na mti wa mzima) then viweke kwa pamoja nenda ukavilaze makaburini kwa siku 3 baada ya siku 3 nenda vichukue then banjua mti A + mti B then weka kipande kidogo Cha A+B Chini ya ulimi mdomoni baada ya hapo nenda kwenye kesi /jalada lako.

Utashangaa maajabu ya miti (miti inaongea)
 
Kuhusu kupatikana polisi labda ni kwakua wao ndio wanamshusha marehemu juu ya mti...ila kiukweli hivo vitu ni Dili upande wa ushirikina,,lakini pia mfano ajali ikitokea na mshirikina Mmoja akachota mchanga uliotokana na ajali hiyo kwa ajili ya Kinga..Yani literally ni kua akienda kuzindikwa anaonekana ni mtu aliyekufa Incase akitafutwa kwenye rada za kichawi
 
Katika pitapita zangu vijiweni nilikutana na hii mada kwamba, kamba ya mtu aliyejinyongea ni dili sana kwa Polisi.

Mara nyingi mtu akijiua kwa kujinyonga huwa hatolewi hadi polisi wafike wao ndio wanamtoa na kuondoka nae pamoja na dhana zake zote.

Sasa kijiweni nikiambiwa ile kamba raia uwa wanaenda kuchukua vituoni kwa pesa mingi sana wakiagizwa na wataalamu wa jadi. Natamani kujua kuhusu hili kama ni kweli au uzushi wa kitaa?

Na inakuwa mtu anahitaji sana nini hadi aagizwe kamba kama hii? Wataalamu tupeni shule.
Unaitaka?
 
Back
Top Bottom