Ni kweli Rais Samia alikuwa mapumzikoni Dubai?

Mungu amsaidie
 
Inashangaza kuona hadi leo watu hawajui ndege na hata meli zinakuwa tracked. Mara mwingine anakwambia Airforce One ni stealth, tangu lini Boeing 747 ikawa stealth.

Natumia sana Flightradar kutazama maeneo yenye migogoro kama Black Sea
 
Inashangaza kuona hadi leo watu hawajui ndege na hata meli zinakuwa tracked. Mara mwingine anakwambia Airforce One ni stealth, tangu lini Boeing 747 ikawa stealth.

Natumia sana Flightradar kutazama maeneo yenye migogoro kama Black Sea
Watanzania ni wajinga.

Kule blacksea zile drones zinaonekana vizuri
 
Mengine ni kujaza matakataka tu tu nn kibaya sasa hapo? Raisi ni binadamu kama wewe kuwa mapumzikomi nayo ni story wakuu?
 
Wakenya hawana mshahara mwezi wa wa 3 sasa, wavumilivu sana!! Nyinyi mkikatiwa umeme siku 1 tu makelele kwa waziri kipara
 
Haya ni mapuuzi yanayoamini kulala na analog mafaili kitandani ndiyo UCHAPAKAZI mkuu, with all technology and kila kitu tulichonacho sasa, AKINA WANAHARAKATI HURU
 
Hii nchi inawapumbavu wengi sana mkuu, ni rahisi sana kumezeshwa ujinga na kuubeba kama ulivyo!
Mmmh!! Sidhani kama kuna uongo 100%, kuna dogo alikuwa akitract ndege za Musk, Bezzo hata trump, kila wajijaribu update system zao jamaa anabypass anatrak na kusema wanapoenda..
 
Mmmh!! Sidhani kama kuna uongo 100%, kuna dogo alikuwa akitract ndege za Musk, Bezzo hata trump, kila wajijaribu update system zao jamaa anabypass anatrak na kusema wanapoenda..
Na wewe unaamini huo ujinga? Hao watu uliowataja wakiamua kukutupia coordinates matango upambane nazo hawawezi? MAMA YUPO SEHEMU SALAMA ANAENDELEA NA MFUNGO, NI VILE TU WATU WAMEMMISS WANATOA HAYA MANENO YOTE, People wanatamani vile vijembe vyake, siyo mbaya pia watu kummiss Rais wao
 
Duhh🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…