Miafrika ndivyo ilivyo , ubishi mwingiTusikuze mambo bila sababu. Kuwa na ndugu wa karibu nje ya nchi ni kawaida. Obama alitawala Marekani kwa miaka 8 nduguze wa karibu wakiwa Kenya.
Mkapa akiwa Rais, mdogowe yasemekana alikuwa CDF Msumbiji.
Kagame alikuwa Waziri Ulinzi Uganda sasa Rais wa Rwanda. What is the big deal with Mama.
Kabila Snr. Akishindwa Tanzania kwa zaidi ya miaka 20, akaacha watoto hapa na akaenda kuwa Rais wa Congo. Kabila Jr. Alizaliwa na kukulia Tanzania na baadae akawa Rais wa Congo.
What is the big deal with Mama.
NASABAUhusiano gani, precisely?
Mneshindwa kumaliza ubaguzi hapo tu Zenji sembuse TZ, mbona watu wa bara hamtaki wamiliki ardhi na mkija huku mmejazana kwenye mashamba, mbona unaongea kama umezaliwa na kukulia "maskati"? tuhahoji uhusiano huu na wanyama wetu na sio dINI KAMA MNAVYOTWISTKuna wamatumbi masikini wa kutupwa baada ya Uhuru bado wana mentality hizo
Basi tutabaki hivyo hivyo mpaka kiyama
Kuna wabunge 15 wenye asili ya kihindi [emoji636] na wanaongezeka
Kuna blacks wachache na uzuri hata kama baadhi ya wananchi ni wabaguzi lakini Serikali inapambana kwa hilo
USA mpaka Wasomali tena wakimbizi wa kuja lakini wamepata kazi Bungeni
Sisi tutakufa na umasikini na roho za Korosho
Ukweli nikiambiwa kuhusu ubaya wa mkoloni. Simkumbuki mzungu wala mwafrika ninamkumbuka mwarabu.
Hawa ndio waliowahasi watumwa wao na kuacha kizazi chetu kikiwa hakina mabaki wala mahalf cast wa kiafrika na kiarabu,
Hawa ndio wanyama kuliko wanyama!! I HATE THEM!
Baraka Shamte aliyemkosoa Rais wa Zanzibar, ajeruhiwa, akufukuzwa uanachama CCM Angalia hio video uone baadhi ya wazenji wasivyotaka kutawaliwa na Waarabu kwa kigezo cha uwekezajiKuna wamatumbi masikini wa kutupwa baada ya Uhuru bado wana mentality hizo
Basi tutabaki hivyo hivyo mpaka kiyama
Kuna wabunge 15 wenye asili ya kihindi [emoji636] na wanaongezeka
Kuna blacks wachache na uzuri hata kama baadhi ya wananchi ni wabaguzi lakini Serikali inapambana kwa hilo
USA mpaka Wasomali tena wakimbizi wa kuja lakini wamepata kazi Bungeni
Sisi tutakufa na umasikini na roho za Korosho
Kutaka KUUZA WANYAMA HAI OMAN thats a very big dealWhat is the big deal with Mama.
Si umemsikia akiahidi kudumisha usafiri ya majini kwa ajili ya KUSAFIRISHA WANYAMA HAI unangisha na yanayoendelea LOLIONDO na NGORONGOROHakuna shida lakini shida itakuja pale ata-abuse nafasi yake kwa ajili ya kuwapa faida jamaa zake
Suruali kuvuka ilikuwa zamani wakati wanachukuwa watumwa siyo sasa. Waarabu wengi wamebobea kwenye kwenye kuhonga viongozi wa serikali kwa manufaa yao. Hili lipo kwa kila race, lakini waarabi ni zaidi.Tatizo ni nini mkuu? Mbona munaogopa waarabu kiasi hicho? au ndio nyinyi wale mkiwaona tu waarabu suruali zinaanza kuvuka wenyewe?
Ina maana hukumsikiliza au?Na sidhani kama rais au kiongozi yeyote yule yuko kwa ajili ya kuuza au kusafirisha wanyama.
Na huu mradi wafadhili si walikuwa hawahawa?Mama ni predictable natoa miezi mitatu mradi wa Bagamoyo unapigwa sign vivo hivyo na incentives za ajabu wanazotaka.
Mbona marehemu alikuwa raia wa Rwanda?? Cha ajabu ni kitu gani hapo?Habarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
Mbona marehemu alikuwa raia wa Rwanda?? Cha ajabu ni kitu gani hapo?
Mneshindwa kumaliza ubaguzi hapo tu Zenji sembuse TZ, mbona watu wa bara hamtaki wamiliki ardhi na mkija huku mmejazana kwenye mashamba, mbona unaongea kama umezaliwa na kukulia "maskati"? tuhahoji uhusiano huu na wanyama wetu na sio dINI KAMA MNAVYOTWIST
Kwaio tunakubaliana Zenji wanatubagua sana wabara?Mkuu mimi napinga ubaguzi mnaoushupalia
Kuna human rights ujue
Kama mjadala ulikuwa wa wanyama why you didn’t stick to that then
Mbona na wewe unahama hama mara huku mara huku
Halafu nilikuwa nadhani una akili kiasi kumbe kichwa kutupu kabisa
Unawezaje ku assume rangi ya mtu na wakati humjui
Mtu mwenye mwenye akili zake humu hawezi kubuni tu na kumdhani mwenzie ni mzanzibari au mbara bila yeye kukuambia
Kwa taarifa yako kute huko unakonipeleka Mimi sipo sina hata unasaba na Wazenji wala waarabu ila nachangia tu kama mdau
Acha Ramli Mkuu
Mimi ni mweusi tena mzaliwa wa Bara usitafute ushawishi kwa wengine ok
Tupingane kwa hoja tu ila usiniite mwarabu wala nini maana mimi pia sijabuni wewe asili yako na wala sitaki kuijua bali napigania kuacha Ubaguzi tu
Wanyama nawapenda sana na siwezi kukubaliana eti muwekezaji achukue Eneo ili mimi mwananchi nipigwe marufuku kwenda big NO
Tutakubaliana baadhi na mengine tuyaache
But don’t provoke me
Baraka Shamte aliyemkosoa Rais wa Zanzibar, ajeruhiwa, akufukuzwa uanachama CCM Angalia hio video uone baadhi ya wazenji wasivyotaka kutawaliwa na Waarabu kwa kigezo cha uwekezaji
Hata mm nina vinasaba vya Oman sema matatizo ya maji sijaoga ndo maana naonekana hiviHabarini
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Nijuzeni kuhusu hili swala.
View attachment 2260879
===========================================
Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...www.jamiiforums.com
Kwaio tunakubaliana Zenji wanatubagua sana wabara?