Tusikuze mambo bila sababu. Kuwa na ndugu wa karibu nje ya nchi ni kawaida. Obama alitawala Marekani kwa miaka 8 nduguze wa karibu wakiwa Kenya.
Mkapa akiwa Rais, mdogowe yasemekana alikuwa CDF Msumbiji.
Kagame alikuwa Waziri Ulinzi Uganda sasa Rais wa Rwanda. What is the big deal with Mama.
Kabila Snr. Akishindwa Tanzania kwa zaidi ya miaka 20, akaacha watoto hapa na akaenda kuwa Rais wa Congo. Kabila Jr. Alizaliwa na kukulia Tanzania na baadae akawa Rais wa Congo.
Kuna wamatumbi masikini wa kutupwa baada ya Uhuru bado wana mentality hizo
Basi tutabaki hivyo hivyo mpaka kiyama
Kuna wabunge 15 wenye asili ya kihindi [emoji636] na wanaongezeka
Kuna blacks wachache na uzuri hata kama baadhi ya wananchi ni wabaguzi lakini Serikali inapambana kwa hilo
USA mpaka Wasomali tena wakimbizi wa kuja lakini wamepata kazi Bungeni
Mneshindwa kumaliza ubaguzi hapo tu Zenji sembuse TZ, mbona watu wa bara hamtaki wamiliki ardhi na mkija huku mmejazana kwenye mashamba, mbona unaongea kama umezaliwa na kukulia "maskati"? tuhahoji uhusiano huu na wanyama wetu na sio dINI KAMA MNAVYOTWIST
Ukweli nikiambiwa kuhusu ubaya wa mkoloni. Simkumbuki mzungu wala mwafrika ninamkumbuka mwarabu.
Hawa ndio waliowahasi watumwa wao na kuacha kizazi chetu kikiwa hakina mabaki wala mahalf cast wa kiafrika na kiarabu,
Hawa ndio wanyama kuliko wanyama!! I HATE THEM!
Haya hata kijiweni hawaongei utumbo huu bali kwenye mataptapu au mbege
Halafu neno half caste ni ubaguzi mkubwa sana tena sana maana neno Caste ni Pure sasa utamuitaje mtu Half Pure?
Wanaitwa mix race sawa
Nyie ni zaidi ya watumwa maana huijui hata historia ya utumwa kuwa baadhi ya babu zako waliwakamata wenzao na kwenda kuwauza
Sasa kama waliwahasi babu zetu Mbona waarabu hao hao tena Wafalme walioa vijakazi wao na kuwazalisha?
Nikupe mfano mmoja huko Kuwait ambapo Marehemu King Abdallah Al Salim Al Sabah (mwarabu ) alimuoa mtumwa wake Mweusi na kuzaa watoto ambapo Mtoto wake mmoja Sheikh Saad (marehemu) akaja kuwa Mfalme pia tena kafuata weusi wa mama kabisa
Sasa kama ni wabaya hivyo huyo angefika hapo alipofika tena Black?
Kuna wamatumbi masikini wa kutupwa baada ya Uhuru bado wana mentality hizo
Basi tutabaki hivyo hivyo mpaka kiyama
Kuna wabunge 15 wenye asili ya kihindi [emoji636] na wanaongezeka
Kuna blacks wachache na uzuri hata kama baadhi ya wananchi ni wabaguzi lakini Serikali inapambana kwa hilo
USA mpaka Wasomali tena wakimbizi wa kuja lakini wamepata kazi Bungeni
Unasaba na familia ya kifalme havina sababu ya kukushtua hata kama ni kweli. Na sidhani kama rais au kiongozi yeyote yule yuko kwa ajili ya kuuza au kusafirisha wanyama. Nafikiri tuangalie zaidi namna ya kuitoa Tanzania ilipo kwa sasa na kuipeleka next level. Tuache kuangalia huyu ni ndugu yake nani! Sisi sote ni ndugu!
Suruali kuvuka ilikuwa zamani wakati wanachukuwa watumwa siyo sasa. Waarabu wengi wamebobea kwenye kwenye kuhonga viongozi wa serikali kwa manufaa yao. Hili lipo kwa kila race, lakini waarabi ni zaidi.
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...
Mneshindwa kumaliza ubaguzi hapo tu Zenji sembuse TZ, mbona watu wa bara hamtaki wamiliki ardhi na mkija huku mmejazana kwenye mashamba, mbona unaongea kama umezaliwa na kukulia "maskati"? tuhahoji uhusiano huu na wanyama wetu na sio dINI KAMA MNAVYOTWIST
Mkuu mimi napinga ubaguzi mnaoushupalia
Kuna human rights ujue
Kama mjadala ulikuwa wa wanyama why you didn’t stick to that then
Mbona na wewe unahama hama mara huku mara huku
Halafu nilikuwa nadhani una akili kiasi kumbe kichwa kutupu kabisa
Unawezaje ku assume rangi ya mtu na wakati humjui
Mtu mwenye mwenye akili zake humu hawezi kubuni tu na kumdhani mwenzie ni mzanzibari au mbara bila yeye kukuambia
Kwa taarifa yako kute huko unakonipeleka Mimi sipo sina hata unasaba na Wazenji wala waarabu ila nachangia tu kama mdau
Acha Ramli Mkuu
Mimi ni mweusi tena mzaliwa wa Bara usitafute ushawishi kwa wengine ok
Tupingane kwa hoja tu ila usiniite mwarabu wala nini maana mimi pia sijabuni wewe asili yako na wala sitaki kuijua bali napigania kuacha Ubaguzi tu
Wanyama nawapenda sana na siwezi kukubaliana eti muwekezaji achukue Eneo ili mimi mwananchi nipigwe marufuku kwenda big NO
Tutakubaliana baadhi na mengine tuyaache
But don’t provoke me
Mkuu mimi napinga ubaguzi mnaoushupalia
Kuna human rights ujue
Kama mjadala ulikuwa wa wanyama why you didn’t stick to that then
Mbona na wewe unahama hama mara huku mara huku
Halafu nilikuwa nadhani una akili kiasi kumbe kichwa kutupu kabisa
Unawezaje ku assume rangi ya mtu na wakati humjui
Mtu mwenye mwenye akili zake humu hawezi kubuni tu na kumdhani mwenzie ni mzanzibari au mbara bila yeye kukuambia
Kwa taarifa yako kute huko unakonipeleka Mimi sipo sina hata unasaba na Wazenji wala waarabu ila nachangia tu kama mdau
Acha Ramli Mkuu
Mimi ni mweusi tena mzaliwa wa Bara usitafute ushawishi kwa wengine ok
Tupingane kwa hoja tu ila usiniite mwarabu wala nini maana mimi pia sijabuni wewe asili yako na wala sitaki kuijua bali napigania kuacha Ubaguzi tu
Wanyama nawapenda sana na siwezi kukubaliana eti muwekezaji achukue Eneo ili mimi mwananchi nipigwe marufuku kwenda big NO
Tutakubaliana baadhi na mengine tuyaache
But don’t provoke me
Pongezi kwao kuna watu wanajielewa
Kila mtu ana haki ya kutoa mawazo yake ila huyo ameenda mbali sana
Kama ni opposition sawa (kwa Africa)
Kwa nchi zilizoendelea hata anaetoka chama hicho hicho anatoa mawazo yake bila kupigwa wala kufukuzwa uanachama huo ni uonezi wa hali ya juu
Haukubaliki
Nimeona hii kitu ikanistua, naomba kujuzwa juu ya huu undugu na kama kweli, wanyama wetu watabaki kweli?
Maana enzi za awamu ya mzee ruksa, mkewe alituhumiwa/shutumiwa kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni saivi Rais Samia anasema ataimarisha usafiri wa majini ili kusafirisha wanyama hai.
Salaam Wakuu, Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman. Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema...
Mimi nimeenda Zanzibar kutalii kama mara tatu hivi tena nilienda Unguja na Pemba pia
Mkuu hao wana shida sana hata biashara wateja ni wachache sana Ndio maana unaona wamejaa kwetu
Hawana ardhi kubwa na ukienda Pemba ndio kabisa utaona mashimo makubwa sana yaliyochukua nafasi kubwa sana nafikiri ni volcano [emoji291] iliyopiga hapo miaka million iliyopita
Sasa hao ndugu ni wa kuwahurumia tu
Waacheni maana walioharibu ni watangulizi kwa makubaliano yao ambayo kila kukicha wanafanya amendments
Hitimisho hawabagui bali hawana pa kutuweka ardhi yenyewe kama kijiji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.