Aliens mmeshawai kuwaona? Na kwanini waende kwa wazungu tu na si sehemu nyingine hapa dunian? acheni kulishwa uongo, dunia ni makazi ya watu,mimea na wanyama tu, aliens hawapo..Naamini katika aliens, ni viumbe vyenye akili sana. Nasikia hata haya mataifa yaliyoendelea kiteknologia wanawatumia kwa siri.
Mbona wapo mpka Sasa huko vijijini, sema ni vile tumesaliti ASILI na kuvipa attention vitu vya kipuuzi kutoka kwa wazungu hasa mifumo ya elimu+diniHao waliojenga hayo mapyramid walikuwa binadamu wenye akili ya juu mno.
kukuelezea kwa maneno itakuwa tabu nenda YouTube zipo video nyingi tu na pia Google uone ramani ndani ya pyramid zilivyo!, kwa jindi ramani zake zilivyo sisiti kusema hayakuwa majengo kwaajili ya makazi!.Kuuliza si ujinga hivi hump ndani ya pyramid papo kama nyumba au?View attachment 3190677
uki Google taarifa zote zipo mkuu ila nachojua giza pyramid inaukubwa kama wa kiwanja cha mpira!, urefu kwenda juu nishasahauNa je hizo pyramids zina ukubwa kiasi gani (urefu na upana)?
Naomba kuungana nawe kuuliza pia.
Unaposema kwamba hii teknolojia ilikuwa ya mtu mweusi mbona haijaendelezwa..?Mnafuatilia documentary za ujenzi wa pyramids kutoka kwa hao washenzi wazungu/waarabu alafu mnategemea wawaambie ukweli kuhusu ujenzi wa hayo mambo?
Iko wazi Afrika ni makao ya watu weusi tangu zamani, na kabla hata uvamizi wa watu weupe Afrika ilikuwa ya mtu mweusi, so hata majengo yaliyopo yalijengwa na black people, hapo hakuna aliens wala TAKATAKA mnazoaminishwa za akina anunnak sijui vitu gani, havipo hivyo ni stories tu wanatumia kuficha ukweli na ukuu wa black people.
Suala ni kuwa wazungu walishindwa na wameshindwa kuiba hiyo technology basi wanabaki kudanganya uhalisia hawataki kusema ukweli wala kumpa credit mtu mweusi kwa kufanya maajabu ambayo hawatowai kuyafanya.
Narudia Tena acheni kudanganywa na hizo documentary za kipuuzi huko YouTube zinazowapa elimu ya uongo kuhusu Maajabu ya mali za Afrika, Kila ukionacho kimefanywa kwa mikono ya mtu, hapo hakuna miujiza wala Nini,
Aliens hawapo na hawatowai kuwepo, ndiomaana hata ushahidi wa uwepo wao haupo zaidi ya uzushi, Kuna mengi wanafichaficha kuhusu technology ya pyramids kuwa hayakutumika kama makaburi wala hifadhi ya wafu, Bali chanzo cha nishati ya umeme na mwanga bila kutegemea power generation through fuels/natural sources, hili hamtaambiwa.
Ukitaka kuamini kuwa pyramids ni ujenzi wa mtu mweusi tizama majengo yote ya watu weusi Afrika nzima yanafanania na umbo la pembe tatu juu, iwe kijengo cha nyasi, kilinge cha matabibu ya tiba za asili umbo lake la paa huwa na ama mfanano wa pembe tatu the same to pyramids.
Babu zetu waliyajua haya mambo lkn bahati nzuri hawakuigawa wala kuvujisha technology hii japo mengi sana waliyavujisha ambayo hivi Sasa mnaaminishwa kuwa ni wazungu ndie wameyagundua, kumbe mijizi mitupu.
Hakuna jipya duniani, Kila jambo ni marudio wa yaliyopita.
Yaani akili ndogo ya mzungu ya kipindi hicho ikaizidi akili kubwa ya mtu mweusi??We unadhani tungejijua toka kipindi kile life ingekuwaje, Kwanza tungekuwa na sayansi kuwashinda wao, tungekuwa na Uchumi au mali nyingi na utajiri kuwashinda wao pia hivi vita vya kisenge senge ili watu wafanye biashara za silaha zisingekuwepo na pia Haki ingesimama afu kungekuwa na Black supremacy ki2 ambacho ngozi nyeupe iliweka mikakati kuhakikisha hilo swala halitokei milele na milele...
Hapo nimekupata vizuri, kumbe ni midude. Maana ukiona kwa picha vinaonekana vidogo tu.kukuelezea kwa maneno itakuwa tabu nenda YouTube zipo video nyingi tu na pia Google uone ramani ndani ya pyramid zilivyo!, kwa jindi ramani zake zilivyo sisiti kusema hayakuwa majengo kwaajili ya makazi!.
uki Google taarifa zote zipo mkuu ila nachojua giza pyramid inaukubwa kama wa kiwanja cha mpira!, urefu kwenda juu nishasahau
eti hata mi mwenyewe hili nalitupa kwenye dust bin!..π€£Yaani akili ndogo ya mzungu ya kipindi hicho ikaizidi akili kubwa ya mtu mweusi??
I don't buy this, yaani ni sawa leo hii Tz ikaipore rasilimali US hivi inaingia akilini kweli???
Hiyo tech ya hali ya juu iliwasaidia nini watu weusi wa wakati huo??
Sijui huwa wanasoma vinini hawa wati vinavyofanya waamini mtu mweusi alikua imara enzi hizo na mzungu akaja kuwaibia, sijui kuwanyonya na kuipoteza historia yao. Wakati huohuo wanasema walimzidi maarifa mzungu na wao ndio waliostaarabika sasa sijui ustaarabu ukapotelea wapi.eti hata mi mwenyewe hili nalitupa kwenye dust bin!..π€£
acha tu mkuu ni aibu kusimulia..πSijui huwa wanasoma vinini hawa wati vinavyofanya waamini mtu mweusi alikua imara enzi hizo na mzungu akaja kuwaibia, sijui kuwanyonya na kuipoteza historia yao. Wakati huohuo wanasema walimzidi maarifa mzungu na wao ndio waliostaarabika sasa sijui ustaarabu ukapotelea wapi.
Mbaya zaidi hatuna vithibitishi vya hayo makubwa ya mtu mweusi.
Wenzetu China, India , Japan pamoja na kutaliwa na mavita kibao bado wana vitu asili vya miaka hiyo vinatumika mpakd kesho.
Ila sisi kama hapa Tz yamejaa magofu tu, nyumba za mkoloni tu za juzi nyingi ni magofu.
One of the generation brain washed,Yaani akili ndogo ya mzungu ya kipindi hicho ikaizidi akili kubwa ya mtu mweusi??
I don't buy this, yaani ni sawa leo hii Tz ikaipore rasilimali US hivi inaingia akilini kweli???
Hiyo tech ya hali ya juu iliwasaidia nini watu weusi wa wakati huo??
Hakuna maajabu ni kama mkibosho aliyesahau tuu namna ya kutengeneza mtego wa fuko au rimbiKila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.
Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.
Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??
Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..
Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!
Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?
Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.
Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.
Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.
Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.
Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.
Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..π
Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?
Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.
Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.
Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..π
Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.
Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
Hii ndio shida ya wengi wenu mnaoamini mtu mweusi alikua bora zaidi ya races nyingine.One of the generation brain washed,
Navofaham mm watata wengi hufanya utata kwenye vitu wasivokuwa na idea navyo ok in shot ni ivii in terms of Art medicine, mathematics na maswala ya astronomy yani Unajim africans walikuwa juu kumshinda hata huyo zeruzeru unayemtukuza ambae hawez hata kustahimili jua bila kupaka skincare ila Black anaweza kustahmili jua kwa masaaa zaid,
Back to the point hebu jarib kukumgoogel MANSA MUSA tajiri wa Mali Empire alie sumbua dunia kwa utajiri ambao hata aliko Dangote au huyo bilionea wa dunia hamfikii, ukiachilia mbali the richest man in Babylon
Tujaribu tuwe tunasoma vitabu kidgo kupanu Medula zetu tusiwe tunakurupuka kama watu walioamshwa kutoka usingizin.....
Tatizo baba yangu lilianzia hapaKila nikifatilia historia juu ya majengo makubwa na yenye stori lukuki pale Egypt, yani pyramids napata mashaka ya nini kinachoendelea.
Hususani kumekuwa na stori tofauti tofauti lakini bado hazijategua kitendawili!, vilevile uwepo wake hapa Africa na nikiambiwa kuwa waafrika ndio waasisi wa majengo yale ndo kabisa naona tafrani.
Hii ni kutokana na umaridadi wa majengo yale inaonyesha kabisa alieyatengeneza alikuwa ni fundi haswa!, sasa kama ni sisi waafrika mbona hatuna majibu na utaalamu huo uliishia wapi..??
Kwa uchache nitagusia nadharia mbalimbali ambazo zinadai kuwa watu ama jamii fulani ndio waliratibu majengo yale!..
Annunaki.
Baadhi ya watu huamini kuwa majengo yale yalitengenezwa na viumbe waitwao annunaki ambapo kwa wakati huo walikuwa na utaalamu wa aina yake!, haiishii hapo tu wapo pia wanaosema hao annunaki ndio waliotuumba sisi binadamu!, lakini nadharia hii bado haina majibu ya uhakika/uthibitisho!. so bado ni fumbo...!
Wayahudi/Israel
Hii inatoka kwenye biblia ya kwamba waisrael walichukuliwa kwenda uhamishoni hapo misri wakati wa utawala wa mafarao na walifanyika kuwa watumwa, na walitumika kujenga hayo ma pyramid wakati huo wa utumwa wao!, utata unakuja haifahamiki walitumia utaalamu upi maana kwa kipindi hicho ni ngumu kwa mwanadamu Kutengeneza majengo kama yale kutokana na teknolojia ya wakati huo ni ngumu!, kupandikiza yale majabali mengi kiasi kile na yenye uzito mkubwa huo ufanisi binadamu wa wakati huo uliutolea wapi..?
Isitoshe wataalum walipima nakugundua pyramid za pale misri zapata kuwepo miaka 4500 iliyopita!.. vilevile hao wa misri wao walikuwa wanadai waliyatengeneza kwaajili yakuzikia wafalme na malkia zao!, ama waweza sema royal family.
Lakini kwa mujibu wa watafiti hawajawahi kupata mwili wowote kwenye pyramids!, miili imekuwa ikipatikana maeneo ya mbali na yalipo hayo ma pyramid!.
Hata hivyo haingii akilini mtu kujenga mijengo kama ile ati kwaajili tu ya kuzika mafalao na malkia zao!, mh! bado inatia shaka!.
Viumbe toka anga za mbali ama Aliens.
Wengine huamini kuwa majengo yale yaliratibiwa na viumbe wenye uwezo mkubwa wa kiteknolojia maarufu kama aliens, na lengo la wao kujenga hayo madude ilikuwa ni kwaajili ya Kutengeneza umeme ama nguvu ambayo wenyewe ndo wanajua ilikuwa kwaajili ya nini!!.
Nadharia hii ya yale madude kuwa sehemu ya power implant inachagizwa zaidi na nguli wa maswala ya umeme nikola tesla!, ambae alisema kuwa haswa hiyo ndo ilikuwa kazi ya yale madude, pia wapo wataalum wengine pia wamejaribu kugusia hilo na kutokana na ramani za yale madude kule ndani wanaafiki kuwa nikola yupo sahihi!, kizungumkuti ni haifahamiki ilikuwa kwa lengo gani na haijathibitika!.
Jamii ama kizazi ambacho kimeshapotea!.
madai ya baadhi ya watu husema pyramids zilijengwa na jamii ambayo ilikuwa na uwezo huo na hapa katikati kukatokea janga hiyo jamii ikapotea!, hivyo ndio maana tunakosa majibu!..π
Nadharia juu ya nani ni mjenzi wa zile pyramid zipo nyingi nimegusia chache ambazo nazo hazijatoa majibu!, sasa hoja yangu ni tutakuwa kwenye giza la kukosa majibu ya hakika mpaka lini..?
Naona kama hatupo serious! madude makubwa kiasi kile na hatujui yameratibiwa na nani!, hapohapo ma injinia wanakili hata teknolojia ya sasa haiwezi kujenga yale madude!!!! WTF!.
Wanakiri pia yale mawe yaliyotengenezewa pyramid yaonyesha yalikuwa yanakatwa kwa ustadi mkubwa halafu ndo yanajengewa pyramid!, wakati huohuo mawe yale yalikuwa yanapatikana umbali mrefu toka zilipo pyramid!, hivyo maswali ni mengi maana kwa wakati huo walisafirisha na nini kwenye kuyabeba!.
Pia utata mwengine ni ile perfection ya kuyabebanisha yale mawe!, unaambiwa nafasi kati ya jiwe moja na lengine ni ndogo sana kiasi kwamba hata kucha ya binadamu haipiti!..π
Maoni yangu.
Inaweza ikawa kweli tukawa hatujui, ila pia wapo wanaojua na wameamua watunze siri kwa minajili ya kwao wenyewe!, ijapo bado tafiti zinaendelea kufanyika mpaka leo.
Ndugu msomaji nini maoni yako juu ya hili, unafikiri tutaendelea kukaa kwenye hichi kitendawili mpaka lini?
Nenda Iringa utakuta viwanda vya kufua vyuma vilivyoachwa na mababu zetuHii ndio shida ya wengi wenu mnaoamini mtu mweusi alikua bora zaidi ya races nyingine.
Huyo Mansa Musa huwezi kumfananisha na Elon Musk kwangu mimi Elon ni the best aliefanikiwa kwenye dunia yenye nyingi changamoto na a lot of competitors, matajiri wengi, rasilimali chache na a lot of elites wanaoweza kukosoa mawazo yako and mind you Elon sio kiongozi wa kisiasa/kidini.
Mkuu hatutukuzi watu weupe, andika ukweli ukishirikisha ubongo wako. Race nyeusi kuna mahali tunafeli nayo ni kukubali mapungufu yetu na kuyafanyia kazi. Badala yake sisi tunatupa lawama kwa watu weupe ati wao ndio sababu ya sisi kua hivi.
Ukiachana na hao kina Mansa Musa, kanda yetu hii ya Afrika mashariki na kati tuna jambo gani la kuthibitisha tulikua juu zaidi ya mzungu??
Hoja zenu mkiwa mnaitetea race hii mnabase sehemu ambazo sio zenu, Ethiopia, Misri na huko Aftika magharibi na kaskazini...
Ninyi wasukuma, waha, wafipa, wanyakyusa, wagogo, wamasai, wamang'ati , wahehe and the like kabla ya mkoloni mlikua wapi na mnafanya nini????
Mtakuja na hoja kua mmetoka huko kaskazini mkaja huku chini, je hamkuja na technolojia??